Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #101
Dahhh kisungura ni sumu, hicho hapana aseee 😁Hongera sana kwa uamuzi huu mkuu, karibu kwenye timu yetu ya visungura, smart gin🐰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahhh kisungura ni sumu, hicho hapana aseee 😁Hongera sana kwa uamuzi huu mkuu, karibu kwenye timu yetu ya visungura, smart gin🐰
😹😹😹 Tulewe ili iweje?Nawachukiaga sana watu kama nyie msiolewa,kubafu
Hapana sitaki kabisa habari za bia, imenikera sana.Uko wapi, kuna kama 1.2 mill ya bear.. upige ya muogano.. utaacha kesho
Sasa bro nikitaka kunywa nianze kufunga safari kuzungukia pombe.....niambie nyingine ambayo nitaipata kirahisi.inategemea na ulipo ila kuipata hiyo lazima ukaulizie liquor store maana kuikutakuta tu sehemu za kawaida ngumu maana watz wengi si wanywaji wa liqueur ila liquor!.
huku nilipo ni around hamsini ama sixty!.
siku ukibahatisha kuitia mdomoni mwako hautanisahau...😁
Teh teh teh 😃 😃 😃 ubakaji huu Mr.Accountant..Umenikumbusha zamani, mimi sinywi pombe ila nikipata toto levi nalinywesha pombe chakari halafu ninalila likiwa nywiiii
Afu wakat huo wew kichwa kiko vzur unamchora tu😹😹😹 Tulewe ili iweje?
Mwanaume akilewa anachekesha anaahidi vitu visivyotekelezeka km ilani ya CCM 🤣
Hujatoa notes kwenye chama cha walevi.. kuacha kwako ni batiri.. 😅😅Hapana sitaki kabisa habari za bia, imenikera sana.
Bro maisha yafaa nini bila mvinyo.....na masikini tumeruhusiwa tunywe tusahau shida zetu. 😹Bro ameacha bia.. hajaacha pombe 😅
Mi naweza kuacha kila kitu, hata kujiacha mwenyewe naweza. My detachment game is very strong.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hadi mchwa 🤣🤣🤣🤣🤣Mirinda nyeusi bora unywe bia tu. Misukari ile utaviziwa na kisukari, unene, matatizo ya moyo, mapafu, figo na bado nyuki, nzi, sisimizi, siafu, mchwa watakutamani.
Maisha mafupi haya, sema YANGA Sio bingwaDah umenikumbusha mbali sanaa Mzee baba.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
😂😂😂 tuone namna ya kudeal na mkondo Ammali sijui ndo unaitwa hivi 😹Njoo tupige kvant huku tunaujadili mtaala mpya🤣🤣
Hilo cheko lazma ana jichupa la bia 😁
Wine kali ni ipi hiyo?wine haijawahi kunichosha!, ila makali duh! kama vipi wine kunywa sparkling wine ama champagne..🤣
Acha tu mkuu. Kuna vinywaji sio kabisa.😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hadi mchwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Si ndio hapo bro, hadi nikahisi labda narogwa 😂😂 kweli vi bia viwili nakesha!!!!! Imeniuma sanaBro bia mbili unapiga trip za toi? Pombe ishaanza kukataa, wenzio tunapiga kreti na tuko fit…!!
Sponsor anaanza kulewa yeye unaamua kumuitia boda awahi kwake 😹😹😹