Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾Umenikumbusha zamani, mimi sinywi pombe ila nikipata toto levi nalinywesha pombe chakari halafu ninalila likiwa nywiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾Umenikumbusha zamani, mimi sinywi pombe ila nikipata toto levi nalinywesha pombe chakari halafu ninalila likiwa nywiiii
One love "broh"....😆😆Sijakimbiza braza, ilikia ni kojo tu
💩💩 pole kwa ulevi pole kwa kutumika vbaya kwasababu ya ulevi... Ila zingatia afya yako... Okay ulale nawe byePole kijana hii ni madhara ya malezi mabovu hii sio shida yako wala, pole mwaya..... Siku moja utakua poa. Ulale sasa bye
🤣🤣🤣🤣 kwakweli. Tujadili na namna ya kupata vyerehani na misumari.😂😂😂 tuone namna ya kudeal na mkondo Ammali sijui ndo unaitwa hivi 😹
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ona uyu mwana mpotevu
Pombe ni Starehe,, lazima iendane na Nyama choma ushibe kindakindaki,, pombe na njaa wp na wpMirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
😅😅😅 Haya ndio maneno.. hiyo tunakuuza kwa mkopo tu kwa wanywa soda .. game likiwa gumu tunakurudisha kwenye chama yetu😂😂😂 sijaacha siku nikiacha lazma mniage kwa sherehe, sijui ndo itakua send off
Bro haujanielewaPombe ni Starehe,, lazima iendane na Nyama choma ushibe kindakindaki,, pombe na njaa wp na wp
Karibu sanaNakuja
Kwahiyo ilikuwa ni furaha yako kudinya waleviUmenikumbusha zamani, mimi sinywi pombe ila nikipata toto levi nalinywesha chakari halafu ninalila likiwa nywiiii
"Maisha yafaa nini bila mvinyo" 😍Sijasema nimeacha ila bia tu....zingine nitakunywa
Maisha yafaa nini bila mvinyo
Zipo nyingi kwavile umesema hutaki za bei kubwa basi Dompo au IMAGI zitakufaa.Fortfied ndo kama zipi?
Kwamba unasusu hadi unanuka mkojo, hiyo sasa ni kujikojolea bro
Nimekuona😀Njoo kitambaa cheupe hapa sinza, nipo karibu na Dj nimevaa shat ya draft na kofia malbolo. bucket mbili zinakusubiri
😀😀😀😀ukute unakunywa serengeti au castle 😀😀😀Mirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
Yesuuuuu dompo?Zipo nyingi kwavile umesema hutaki za bei kubwa basi Dompo au IMAGI zitakufaa.
Usipopenda hizo ukienda sehemu ukiulizia wine omba wakuletee uone Kama imeandikwa fortified wine.
Mara nyingi huwa red wine siyo white wine. Usinunue mild au semi sweet wine.
😀😀😀😀😀😀sema kuna raha yakeUmenikumbusha zamani, mimi sinywi pombe ila nikipata toto levi nalinywesha chakari halafu ninalila likiwa nywiiii
hansonchoice na CocacolaMirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰