Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #121
KilimanjaroUlikunywa beer gani kwanza tuanzie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KilimanjaroUlikunywa beer gani kwanza tuanzie hapo
Kijana huwa unaliwa kisa bia? Hii kaliNdiyo shida ya bia za bure... Unanyweshwa bia unaenda kuliwa bure... Kwanin usikojoe hovyo kama bata...
Anyways una dalili za kisukari, mind your health
Unataka kunywa mirnda fruto ili iweje sasa?Mirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
Maza ako na dingi yako nawala sana tgo nikiwapa bia za bure... Naona wamekusimulia nawe unataka... Sasa hiyo familia si imejaa mabwabwa 💩Kijana huwa unaliwa kisa bia? Hii kali
NakujaYani hapa umenitamanisha😅ngoja nikanywe😜..,,
Kunywa wine.
Hapana mie hata sipo hivo nikisema naacha kitu nitaacha kweli na nitaacha kabisa..... Labda kama sijaamua.Unaajidanganya tu , wewe na bia nakuambia bia ina nguvu kubwa kuliko wewe , jaribu kumuacha bwana bia ili tuone , yaani huwezi muacha bwana bia. Jaribu uone kwanza mie mwenyewe nataka nikupe offer ya bia njoo hapa bonasera Kama upo Mwanza, yaani haiwezakani usome hapa jhapa nyanza primary usikute nilikuwa nakuona wakati napita hapo kwenu balewa road naenda kitangiri. Njoo unywe bia Maisha duniani ni mafupi mno
Dadaa nashukuru Mungu mimi mwezi wa pili sasa sijavuta sigara sijanywa pombe haina yeyote sio rahisi lkn nitashindaMirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
Pole kijana hii ni madhara ya malezi mabovu hii sio shida yako wala, pole mwaya..... Siku moja utakua poa. Ulale sasa byeMaza ako na dingi yako nawala sana tgo nikiwapa bia za bure... Naona wamekusimulia nawe unataka... Sasa hiyo familia si imejaa mabwabwa 💩
Hadi mbususu kikono.....dah malemgo yako makubwa sana bro hongeraDadaa nashukuru Mungu mimi mwezi wa pili sasa sijavuta sigara sijanywa pombe haina yeyote sio rahisi lkn nitashinda
Mungu anisaidie zaidi nipunguze na mbususu pia au nipite hata miez 6 nisifanye ngono
AMEN
Mwanamke akiwa mlevi hafai maana kuliwa ovyo ni kugusa tuuMirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
😂😂😂 sijaacha siku nikiacha lazma mniage kwa sherehe, sijui ndo itakua send offHujatoa notes kwenye chama cha walevi.. kuacha kwako ni batiri.. 😅😅
Sema nini kuliwa ni raha brazaMwanamke akiwa mlevi hafai maana kuliwa ovyo ni kugusa tuu
Hapana divai muhimu mkuuAchana na vilevi ...ishi maisha bila ya vilevi wala sigara utanishukuru!!!
Hatari sana.Naomba bia ulizoziacha niletee nizichunguze mkuu.Watakuwa wamekuwekea dawa usizipende.Mirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
Hamia smarg gin, visungura hivyo hakuna mambo kama ya biaSijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote pepon
Sijakimbiza braza, ilikia ni kojo tuUnakimbiza mwenge hadi pa kunyea panapata moto dadadeeeq!😃
Hivi hapana aseee vimekaa kitejaHamia smarg gin, visungura hivyo hakuna mambo kama ya bia