Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wine haijawahi kunichosha!, ila makali duh! kama vipi wine kunywa sparkling wine ama champagne..🤣Mimi Bora spirit...wine ukipiga zile CHUPA kubwa mbili kesho zinachosha MWILI...
Labda uwe mtu wa kunywa maji mengiii
Alooo...Umenikumbusha zamani, mimi sinywi pombe ila nikipata toto levi nalinywesha pombe chakari halafu ninalila likiwa nywiiii
Mimi alcohol persistence yangu ni kubwa / yaan hii ipo genetically Mimi bia haiwezekani/ haziwezi kunipa stimu yeyote...wine haijawahi kunichosha!, ila makali duh! kama vipi wine kunywa sparkling wine ama champagne..🤣
Imeniuma sana!!!!Usalama eneo lipi bro 😹
Jaribu ugoro wa kimasai utakuja kunishukuruBangi inaumiza kichwa changu hapana situmii
Piga BLACK LABEL.....Ninywe nini mbadala wa bia
Nawachukiaga sana watu kama nyie msiolewa,kubafuBro bia mbili unapiga trip za toi? Pombe ishaanza kukataa, wenzio tunapiga kreti na tuko fit…!!
Sponsor anaanza kulewa yeye unaamua kumuitia boda awahi kwake 😹😹😹
Nitaijaribu hii nione kama tutawezanaView attachment 3206615
Haina hangover kabisa
nimeiweka kwenye list ya nitakazojaribu.Piga BLACK LABEL.....
Hebu simama hapo hapo nakupigia tuongee.....Imeniuma sana!!!!
Fortfied ndo kama zipi?Usinywe Saint Anna kunywa fortified wine yeyote utaiona kali na utalewa haraka kuliko bia.
Hakuna kero za kupiga kojo kila dakika hadi ukipishana na watu unanuka kojo yale matone yanayo dondokea kwenye underwear.
Kapime sukari (diabetes).
Yote haya Utopolo 🐸 🐸 kasababisha....Mirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰