Kuanzia leo 19.01.2025 sitakunywa tena bia......

Kuanzia leo 19.01.2025 sitakunywa tena bia......

wine haijawahi kunichosha!, ila makali duh! kama vipi wine kunywa sparkling wine ama champagne..🤣
Mimi alcohol persistence yangu ni kubwa / yaan hii ipo genetically Mimi bia haiwezekani/ haziwezi kunipa stimu yeyote...

So mpaka vilevi vya spirit/ alcohol ndio vinanipa level🎚️/ stimu so wine 🍷 mpaka ninywe nyingi Sana ndio iniweke sawa ndio maana Ina ma hangover sanaaa ...inakata hamu ya kula/ kichwa kinauma Sanaa 😊 yaani balaa
 
Usinywe Saint Anna kunywa fortified wine yeyote utaiona kali na utalewa haraka kuliko bia.
Hakuna kero za kupiga kojo kila dakika hadi ukipishana na watu unanuka kojo yale matone yanayo dondokea kwenye underwear.
Kapime sukari (diabetes).
Fortfied ndo kama zipi?

Kwamba unasusu hadi unanuka mkojo, hiyo sasa ni kujikojolea bro
 
Ndiyo shida ya bia za bure... Unanyweshwa bia unaenda kuliwa bure... Kwanin usikojoe hovyo kama bata...
Anyways una dalili za kisukari, mind your health
 
Mirinda nyeusi inaniita.....

kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋

Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.

Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.

Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599

Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.

Sijaacha pombe nimeacha bia.

Walevi wote peponi 🥰
Yote haya Utopolo 🐸 🐸 kasababisha....
 
Back
Top Bottom