Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #41
Bro serious kabisa ๐น๐ ๐ ๐ ๐ nimecheka.
Ukipitisha miezi 6 hujanywa ndo nitaamini umeweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro serious kabisa ๐น๐ ๐ ๐ ๐ nimecheka.
Ukipitisha miezi 6 hujanywa ndo nitaamini umeweza
inategemea na ulipo ila kuipata hiyo lazima ukaulizie liquor store maana kuikutakuta tu sehemu za kawaida ngumu maana watz wengi si wanywaji wa liqueur ila liquor!.Inauzwaje hilo jina tu nkilewa siwezi kulitamka, nitawaomba franco ๐
Uko wapi, kuna kama 1.2 mill ya bear.. upige ya muogano.. utaacha keshoMirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. ๐
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu๐ mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi ๐ฅฐ
Hizo ndizo matured people hutumiiaga Kuna ex girlfriend ndie alie nifundisha.Nyagi? Vant?
Wine ni light sana, lile chupa la dompo kama chai tu linaisha sisikii kituAcha bia kunywa RedWine.
Anyways Check High Blood Pressure check Diabetes
Nimejivunjia heshima au sioNlikuwa nakuheshimu sana kumbe unataka kuacha vitu vya TBL
Unaniangusha bro. Usipokunywa pombe utakuwa mchumba tu ujueBro serious kabisa ๐น
mkuu hiyo espresso martini naitaka...๐คฃView attachment 3206615
Haina hangover kabisa
Ur chronicWine ni light sana, lile chupa la dompo kama chai tu linaisha sisikii kitu
demi lugha gani hii..? kwa staili hii ndoa yangu mi nawewe itakuwaje sasa...๐คฃUnaniangusha bro. Usipokunywa pombe utakuwa mchumba tu ujue
Vant inaleta njaa unaweza tafuna godoro.Hizo ndizo matured people hutumiiaga Kuna ex girlfriend ndie alie nifundisha.
Ndoa gani?demi lugha gani hii..? kwa staili hii ndoa yangu mi nawewe itakuwaje sasa...๐คฃ
Demi mie tajiri huku kigamboni hivi una ntu?Ndoa gani?
Nipo singleDemi mie tajiri huku kigamboni hivi una ntu?
tayari ushalewa wewe...๐Ndoa gani?
Ha haa hebu siku tulewe wote tuonetayari ushalewa wewe...๐