Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #181
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ni upumbavu (kwa sauti ya mzee baba Likud)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ni upumbavu (kwa sauti ya mzee baba Likud)
Nipo bar nakunywa maji 😂Nakupigia nakupigia
Uko wapi?
Hans ni nzuri na tamu, ila pombe tamu zikianza kukolea zinaletaga kichefuchefu....hansonchoice na Cocacola
K vant inaleta njaa balaa unaweza tafuna karatasi wakati unasubiria pakuche, ila ni nzuri.Kunywa either wine au spirits. Mimi sio regular kabisa ila k-vant nikiwa na kiu/stress zangu au smirnoff ice au wine kibingwa sana.
Mibia siikubali hata kidogo, kitu gani mtu anaweza kunywa crate nzima, wastage of time.
Dompo ni juice tuMbona umepiga kelele hivyo? 😄Tatizo ukali au bei rahisi?
Amesema hataki ya bei ya juu na hataki laini kama juice (sharubati).
Nipe lipa namba Yao wakuongeze majiNipo bar nakunywa maji 😂
HahahahaK vant inaleta njaa balaa unaweza tafuna karatasi wakati unasubiria pakuche, ila ni nzuri.
Kwanini unanipenda ( uhindi flani hivi hivi kuch kuch au sio 😹)Kumbe JF napo ni kama ofisini kwangu tu ila
NOTE THIS
These are not physical intimacy,kwani hata sijawahi kukuona ila for sure nakupenda sana bibie,ask me why?
Ngoja nimuombe mhudumu lipa namba, ulipie maji bro.Nipe lipa namba Yao wakuongeze maji
Hahahaha,Haina tatizoNgoja nimuombe mhudumu lipa namba, ulipie maji bro.
Duh!Dompo ni juice tu
Kapime sukari, usikute una sukari ila haujijuwi tu.Mirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
😀😀😀😀naichukia iyo wine jamani loooh😀😀😀😀Mbona umepiga kelele hivyo? 😄Tatizo ukali au bei rahisi?
Amesema hataki ya bei ya juu na hataki laini kama juice (sharubati).
😂😂😂😂 eti kiteja.. k vant na konyagi. Au gonga dompo na nduguzeHivi hapana aseee vimekaa kiteja
SinaKapime sukari, usikute una sukari ila haujijuwi tu.
Ndo hapo nashangaa inakuaje dompo 18 sisikii lolote afu bia 5 kuna muda nasikia lolote.Duh!
Bia gani inafika 13% to 18% alcohol?
Kila kitu kiko nomo 😁 itakua malaika wanantoa kwenye kamnyweso kiainaBia mbili mkojo ndoo nzima. Kacheki figo hizo 😁 iko shida mahali