Kuanzia leo 19.01.2025 sitakunywa tena bia......

Kuanzia leo 19.01.2025 sitakunywa tena bia......

Mirinda nyeusi inaniita.....

kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋

Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.

Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.

Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599

Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.

Sijaacha pombe nimeacha bia.

Walevi wote peponi 🥰
Ule wimbo unaimba haufai kanisani, haufai msikitini wa kilabuni
 
Pole kijana hii ni madhara ya malezi mabovu hii sio shida yako wala, pole mwaya..... Siku moja utakua poa. Ulale sasa bye
Unakuta wengine mazingira ama malezi waliyolelewa ndio yanaakisi ukubwani, yaani hakuna namna walipandikizwa hizi mbegu saivi ni matunda, yaani yeye Kama yeye hana shida, yaani magugu maji kuota ziwani sema ndio yameumbwa ivyo. Kumbe una uelewa mkubwa, yaani hata mtu anayetukana matusi ndio akafundishwa ivyo ama kaanza kuyasikia matusi akiwa mdogo mno akayazoea anajua lugha za kawaida zinazotumiwa na watu.
 
downloadfile.jpg
 
Kuna muda Leo nilikua nasikiliza you tube kipindi Cha THE CLASSIC Cha EFM juma natura... Anasema alianza kunywa GONGO akiwa na miaka 14_18
GONGO ilimsaidia Sanaa kuwa na vibe na kuweza kutoa NGOMA zake kwa Hali ya juu..
 
Bro ameacha bia.. hajaacha pombe 😅

Mi naweza kuacha kila kitu, hata kujiacha mwenyewe naweza. My detachment game is very strong.

Njoo tupige kvant huku tunaujadili mtaala mpya🤣🤣

Bro bia mbili unapiga trip za toi? Pombe ishaanza kukataa, wenzio tunapiga kreti na tuko fit…!!
Sponsor anaanza kulewa yeye unaamua kumuitia boda awahi kwake 😹😹😹
😂😂😂😂😂🙌
Ma broo mmenishinda, ila mmebariki mchana wa J'3 yangu..!!
 
Back
Top Bottom