P h a r a o h
JF-Expert Member
- Mar 25, 2024
- 785
- 1,413
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro maisha yafaa nini bila mvinyo? Tuendelee kunywa bro.😂😂😂😂😂🙌
Ma broo mmenishinda, ila mmebariki mchana wa J'3 yangu..!!
Save water drink beer.Bro maisha yafaa nini bila mvinyo? Tuendelee kunywa bro.
Hakika🤣Save water drink beer.
Bro happy new year 😂😂😂😂😂😂🙌
Ma broo mmenishinda, ila mmebariki mchana wa J'3 yangu..!!
😀 ngoja tuone.Nimependa tu vile umejua swali kabla halijaulizwa, which means huwezi kukiacha🤪
Kili lager, ikanikill akiliUlikunywq pilsner?
Nakupa lipa namba unilipie carton ya maji broWeka namba ya simu nikutumie muamala wa crate nzima ya Balimi, hizo ndiyo beer za wananchi
Mirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
Wine 🍷 huwezi ipiga dry,dondoshea walau toti 2 za black and white 🥃 halafu ulete mrejesho...Mimi hata beer 🍺 bila kupiga 2 to 3 shots za 🥃 ni kujaza tumbo na trip nyingi za 🚽Wine huwa sikikii kitu najiona kama nakunywa azam embe
UmekurupukaBia zina sukari sana na zinaongeza uzito kizembe sana , binafsi pia nimeacha bia .
Hapana kiongozi , japo zipo bia zisizo na sukari ila kwa sasa bia hapana hichi kichwa inabidi kipande level asee.Umekurupuka
Bro bia sitaki kabisa, bia za kijinga sana yani bia mbili nakesha nasusu??? Ujinga huu....Bia gani unakunywa nikuagizie braza
nataka kujua kwanza kabla sijatia neno,Mirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰

Bro bia sitaki kabisa, bia za kijinga sana yani bia mbili nakesha nasusu??? Ujinga huu....
Hivi ningekua ugenini si wangesema kuna kitu/mtu namnyapia huo usiku....imenikera
Bro una fujo, likes zote hizo???!!! Nmekuta notification kibao hadi nmeshtuka.....kimoyo moyo nkajisemea koneksheni yangu imevuja nini mbona mambo mengi, umenishtua broBia zina sukari sana na zinaongeza uzito kizembe sana , binafsi pia nimeacha bia .