Kuanzia leo 19.01.2025 sitakunywa tena bia......

Kuanzia leo 19.01.2025 sitakunywa tena bia......

1656568024-hardywood-empress-evelyn-dipa-17-05-08_cbb_issue_20_reviews-133.jpg
 
Mirinda nyeusi inaniita.....

kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋

Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.

Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.

Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599

Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.

Sijaacha pombe nimeacha bia.

Walevi wote peponi 🥰

Bia gani unakunywa nikuagizie braza
 
Bia zina sukari sana na zinaongeza uzito kizembe sana , binafsi pia nimeacha bia .
 
Mirinda nyeusi inaniita.....

kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋

Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.

Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.

Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599

Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.

Sijaacha pombe nimeacha bia.

Walevi wote peponi 🥰
nataka kujua kwanza kabla sijatia neno,
wewe ni mnywaji au mlevi wa bia? :whatBlink:
 
Bro bia sitaki kabisa, bia za kijinga sana yani bia mbili nakesha nasusu??? Ujinga huu....

Hivi ningekua ugenini si wangesema kuna kitu/mtu namnyapia huo usiku....imenikera

Braza...kukojoa kuna faida nyingi sana kuliko maamuzi haya ya kipuuzi ya kuacha bia

Amin amin nakwambia maamuzi uliyofanya sio ya busara
 
Bia zina sukari sana na zinaongeza uzito kizembe sana , binafsi pia nimeacha bia .
Bro una fujo, likes zote hizo???!!! Nmekuta notification kibao hadi nmeshtuka.....kimoyo moyo nkajisemea koneksheni yangu imevuja nini mbona mambo mengi, umenishtua bro
 
Back
Top Bottom