Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Bora uache ndugu, ikiwa mpaka tarehe unachanganya. Leo tarehe 27.Natangaza msimamo huu Leo 28/7/2024
Vipi na jina utabadilisha au..?Hello jamiiforum
Kichwa cha habari kinajitosheleza ,wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo).huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu.
Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na ladha tofautitofauti huku kikiwa na ushawishi wa kipekee,natangaza kuacha rasmi na kuianza ibada.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake,
Kwa wale wote niliowakosea pindi natumia pombe nawaomba mnisamehe.
Natangaza msimamo huu Leo 28/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Salaam jamiiforum
Bado umelewa subiria pombe iishe kichwani , leo ni tarehe 27 sio 28, Hongera Kwa kumkumbuka MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI.Hello jamiiforum
Kichwa cha habari kinajitosheleza ,wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo).huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu.
Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na ladha tofautitofauti huku kikiwa na ushawishi wa kipekee,natangaza kuacha rasmi na kuianza ibada.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake,
Kwa wale wote niliowakosea pindi natumia pombe nawaomba mnisamehe.
Natangaza msimamo huu Leo 28/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Salaam jamiiforum
Niliwaza hivyo ,ila nitabadili avatarVipi na jina utabadilisha au..?
Namuomba Mungu aniongozeYani apo unaonekana ushalewa matap tap hadi Tarehe ya leo huijui.
Una pepo la ulevi
Pombe inashusha heshimaWale wa kuogelea katika mito ya pombe huko peponi wanakushangaa ewe mlevi muasi.
Unaacha pombe au unaacha uleviHello jamiiforum
Kichwa cha habari kinajitosheleza ,wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo).huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu.
Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na ladha tofautitofauti huku kikiwa na ushawishi wa kipekee,natangaza kuacha rasmi na kuianza ibada.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake,
Kwa wale wote niliowakosea pindi natumia pombe nawaomba mnisamehe.
Natangaza msimamo huu Leo 27/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Salaam jamiiforum
Kuna jambo limekukuta siyo bure. Kuna msemo kwenye Daladala unasema " UKIOTA NDOTO UNAONA CHOO, USIKITUMIE" Pole kwa kushushwa heshima.Pombe inashusha heshima
Jana ilikuwa anniversary ya ndoa yangu. Nimetimiza miezi nane . Sikujua hata kama ni hiyo siku ila niliamka na furaha sana . Nikaenda mahali kukaa tu asubuhi saa moja . Vitu vilishuka paka saa 11 kuelekea jioni. Mfukoni nilikuwa na laki 3. Nimerudi home jioni nampa wife 100k. Nilienjoy na wadau , nilitoa mawazo. Nimeapa sana naiacha ila kuna sehemu nayo pombe ina refresh na pia napata connection nyingi sana kupitia ULABU. Pia nawaomba msamaha wale wote nimewakosea. CCM OYEEEEEE MAMA SAMIA MITANO TENAHello jamiiforum
Kichwa cha habari kinajitosheleza ,wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo).huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu.
Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na ladha tofautitofauti huku kikiwa na ushawishi wa kipekee,natangaza kuacha rasmi na kuianza ibada.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake,
Kwa wale wote niliowakosea pindi natumia pombe nawaomba mnisamehe.
Natangaza msimamo huu Leo 27/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Salaam jamiiforum
Hapo kwenye zinaa hapoNakuombea ushinde.
Ulevi na zinaa vinaondoa fahamu
Hata mimi naacha sasa.Hello jamiiforum
Kichwa cha habari kinajitosheleza ,wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo).huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu.
Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na ladha tofautitofauti huku kikiwa na ushawishi wa kipekee,natangaza kuacha rasmi na kuianza ibada.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake,
Kwa wale wote niliowakosea pindi natumia pombe nawaomba mnisamehe.
Natangaza msimamo huu Leo 27/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Salaam jamiiforum