DaahBora uache ndugu, ikiwa mpaka tarehe unachanganya. Leo tarehe 27.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaahBora uache ndugu, ikiwa mpaka tarehe unachanganya. Leo tarehe 27.
Tunaanza kimojakimokoHapo kwenye zinaa hapo
SidhaniYESU MWENYEWE ANACHUKUZWA NA MTU MLEVI
Yakikukuta unaacha automatically yaan automatically..Sijui niseme nini, ila kuacha pombe ni jaribu kubwa mno.
Tatizo wanywaji wengi they don't know their limits, as a result they end up abusing alcohol.Yakikukuta unaacha automatically yaan automatically..
Pombe sio mbaya unakunywa kwa kiwango na kiasi yaan responsible mfano wazungu wengi wanatumia mvinyo for recreational Tena kujiburudisha baada ya kazi..
Hasara za vilevi uki ABUSE ni uzembe,uvivu,magonjwa, kuharibu kazi, ajari ,ugomvi, migogoro , kutoshaurika hasara zake ni nyingi sanaaa
Kama ukitumia pombe kiasi haina shida Kama hautakua mraibu haina shida..
Yakikukuta hiyo sikuacha kwa ridhaa bali kulazimishwa na hali ya wakati huo.Yakikukuta unaacha automatically yaan automatically..
Pombe sio mbaya unakunywa kwa kiwango na kiasi yaan responsible mfano wazungu wengi wanatumia mvinyo for recreational Tena kujiburudisha baada ya kazi..
Hasara za vilevi uki ABUSE ni uzembe,uvivu,magonjwa, kuharibu kazi, ajari ,ugomvi, migogoro , kutoshaurika hasara zake ni nyingi sanaaa
Kama ukitumia pombe kiasi haina shida Kama hautakua mraibu haina shida..
Acha mkuu pombe haina maanaHata mimi naacha sasa.
💯Tatizo wanywaji wengi they don't know their limits, as a result they end up abusing alcohol.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake
Ndio maana tunasema ivyoYakikukuta hiyo sikuacha kwa ridhaa bali kulazimishwa na hali ya wakati huo.
Unaelewa maana ya "anivesare"?Jana ilikuwa anniversary ya ndoa yangu. Nimetimiza miezi nane . Sikujua hata kama ni hiyo siku ila niliamka na furaha sana . Nikaenda mahali kukaa tu asubuhi saa moja . Vitu vilishuka paka saa 11 kuelekea jioni. Mfukoni nilikuwa na laki 3. Nimerudi home jioni nampa wife 100k. Nilienjoy na wadau , nilitoa mawazo. Nimeapa sana naiacha ila kuna sehemu nayo pombe ina refresh na pia napata connection nyingi sana kupitia ULABU. Pia nawaomba msamaha wale wote nimewakosea. CCM OYEEEEEE MAMA SAMIA MITANO TENA
YESU MWENYEWE ANACHUKUZWA NA MTU MLEVI