Kuanzia leo naacha pombe na namrudia Mungu

Kuanzia leo naacha pombe na namrudia Mungu

Sijui niseme nini, ila kuacha pombe ni jaribu kubwa mno.
Yakikukuta unaacha automatically yaan automatically..

Pombe sio mbaya unakunywa kwa kiwango na kiasi yaan responsible mfano wazungu wengi wanatumia mvinyo for recreational Tena kujiburudisha baada ya kazi..

Hasara za vilevi uki ABUSE ni uzembe,uvivu,magonjwa, kuharibu kazi, ajari ,ugomvi, migogoro , kutoshaurika hasara zake ni nyingi sanaaa

Kama ukitumia pombe kiasi haina shida Kama hautakua mraibu haina shida..
 
Yakikukuta unaacha automatically yaan automatically..

Pombe sio mbaya unakunywa kwa kiwango na kiasi yaan responsible mfano wazungu wengi wanatumia mvinyo for recreational Tena kujiburudisha baada ya kazi..

Hasara za vilevi uki ABUSE ni uzembe,uvivu,magonjwa, kuharibu kazi, ajari ,ugomvi, migogoro , kutoshaurika hasara zake ni nyingi sanaaa

Kama ukitumia pombe kiasi haina shida Kama hautakua mraibu haina shida..
Tatizo wanywaji wengi they don't know their limits, as a result they end up abusing alcohol.
 
Yakikukuta unaacha automatically yaan automatically..

Pombe sio mbaya unakunywa kwa kiwango na kiasi yaan responsible mfano wazungu wengi wanatumia mvinyo for recreational Tena kujiburudisha baada ya kazi..

Hasara za vilevi uki ABUSE ni uzembe,uvivu,magonjwa, kuharibu kazi, ajari ,ugomvi, migogoro , kutoshaurika hasara zake ni nyingi sanaaa

Kama ukitumia pombe kiasi haina shida Kama hautakua mraibu haina shida..
Yakikukuta hiyo sikuacha kwa ridhaa bali kulazimishwa na hali ya wakati huo.
 
IMG-20240724-WA0414.jpg
 
Jana ilikuwa anniversary ya ndoa yangu. Nimetimiza miezi nane . Sikujua hata kama ni hiyo siku ila niliamka na furaha sana . Nikaenda mahali kukaa tu asubuhi saa moja . Vitu vilishuka paka saa 11 kuelekea jioni. Mfukoni nilikuwa na laki 3. Nimerudi home jioni nampa wife 100k. Nilienjoy na wadau , nilitoa mawazo. Nimeapa sana naiacha ila kuna sehemu nayo pombe ina refresh na pia napata connection nyingi sana kupitia ULABU. Pia nawaomba msamaha wale wote nimewakosea. CCM OYEEEEEE MAMA SAMIA MITANO TENA
Unaelewa maana ya "anivesare"?
 
Back
Top Bottom