Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa Uamuzi huo, Mungu akutangulie katika maisha yako bila pombe.Hello Jamiiforums
Kichwa cha habari kinajitosheleza, wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo) huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu.
Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na ladha tofautitofauti huku kikiwa na ushawishi wa kipekee, natangaza kuacha rasmi na kuianza ibada.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake. Kwa wale wote niliowakosea pindi natumia pombe nawaomba mnisamehe.
Natangaza msimamo huu Leo 27/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Salaam Jamiiforums
Ukiamua unaweza, Yesu hashindwi kitu, wewe mwamini tu.Sijui niseme nini, ila kuacha pombe ni jaribu kubwa mno.
Natangaza na hakuna siku nitabadili msimamo wanguUkitaka kuacha pombe usitangaze, ikimbie kimyakimya.
Hiyo heshima unayosema inashushwa na pombe, uliijenga ukiwa unakunywa pombe?Pombe inashusha heshima
Ingekuwa hivyo ingepigwa marufuku huko peponiPombe inashusha heshima
Na hata sasa yupo mbwii😂😂walevi wote someni jina la mweka mada na pia angalieni avatar yake,huyu bado wakwetu...🥃😁
kuna manabii ndani ya Biblia walifanya zinaa tena Mungu akabariki vizazi vyaoNakuombea ushinde.
Ulevi na zinaa vinaondoa fahamu
Hongera sana, Kwa kufanya uamuzi wa busara sana wa kuachana na pombe.Hello Jamiiforums
Kichwa cha habari kinajitosheleza, wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo) huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu.
Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na ladha tofautitofauti huku kikiwa na ushawishi wa kipekee, natangaza kuacha rasmi na kuianza ibada.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake. Kwa wale wote niliowakosea pindi natumia pombe nawaomba mnisamehe.
Natangaza msimamo huu Leo 27/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Salaam Jamiiforums
kwani maana yeye anataka kuwa na pombe?Acha mkuu pombe haina maana
Siachi pombe kisa sina hela ila ni mipango yangu imeharibikaTafuta hela pombe unaachaje kizembe [emoji16]
😂😂😂Bora uache ndugu, ikiwa mpaka tarehe unachanganya. Leo tarehe 27.
Anza kubadilisha jina lako kwanza from Jack Daniel to....Hello Jamiiforums
Kichwa cha habari kinajitosheleza, wadau na wanywaji wa pombe wote najua tumekuwa tukikutana sehemu tofauti tofauti ili kupoza mioyo (kumwagilia moyo) huku tukiipa miili yetu pole kwa kujipongeza kama ushindi kwenye mishe zetu.
Kinywaji hiki maarufu Duniani chenye shepu na ladha tofautitofauti huku kikiwa na ushawishi wa kipekee, natangaza kuacha rasmi na kuianza ibada.
Kwasababu kwa takiribani miaka 24 nakunywa pombe na sijaona faida zake. Kwa wale wote niliowakosea pindi natumia pombe nawaomba mnisamehe.
Natangaza msimamo huu Leo 27/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Salaam Jamiiforums
Acha niwe mjinga mkuu yamenifika mazitoUmefanya maamuz ya kijinga sana
Pasco, unashawishi sana mkuu!Ubarikiwe sana
Ukiondoa dini ya Islamic na walikole, sisi Wakatoliki divai ni ibada, huo ndio muujiza wa kwanza wa Bwana wetu Yesu Kristo aluoufanya kwenye harusi ya Kana, aligeuza maji kuwa divai safi, hivyo sisi tunapiga divai
Tunaipiga kama sehemu ya ibada.
Pombe ukiinywa kidogo is good for you health ila ukizidisha ndio mbaya, unanaweza kunywa ili uchangamke ila usilewe.
Na kuna mambo fulani ukiyafanya under the influence of alcohol, you enjoy more. Enzi za ujana mimi na house mate wangu, tuligundua kuna wadada wengi, huwa wana ... lakini hawajawahi ..., kileleni due to inhibitions, ukiwapiga pombe kidogo, kabla hamja..., mki ... ni kitonga fasta!, hivyo pombe kidogo kwenye baadhi ya mambo ni muhimu.
P