Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

Cha msingi ni kukaa nao kihasibu tu
 
Kuna kitengo nilikuwa nasoma kwa makini nione kama umekitimiza kumbe zero kabisa hapo ulipoferi kaka yaani kwenye kunyandua papuchi upo vzr? hata ungekuwa masikini kama unazichanga sawasaw kwny umaliziaji wala usingejibiwa jeuri! pole sana we aga mashindano huwezi ushindani
 
Nimechukua notice mkuu
 
Huyo hakuwa fungu lako ...
 
Kimeumana okay hpo kwenye English thatha😅 ndo pazito.

Bai ze wei, samaki mmoja akioza sio wote wameoza, na wazima wapo.
Ila pia hakuna sehemu paliandikwa ni lazima kuoa au kuolewa ukiweza kujizuia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…