Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Zipo njia nzuri tu , Huna haja ya kuumiza kichwa tena kuhusu mkataba

 
 
Unataka kutoka kwenye biashara gani?
 
Akili ya biashara atapata baada ya kubaki na 2M na hapo ndio atakapoanza kuinuka tena.Hela ikiwa nyingi mkononi kunakua na ideas nyingi sana na mara nyingi zinakua chenga.Pesa ikibaki kidogo atapata akili tu
 
Ni uhakika mkuu, unanunua ng'ombe akiwa na mimba mkuu, mimi mpaka sasa sina passion ya kufuga kabisa ila inabidi kufuga maana pesa ipo nyingi, ukiwa na ng'ombe watano tu wa maziwa pure breeding wanakuzalishia shilingi milioni 5 kila mwezi.
Mkuu running costs zake zikoje

Shusha gharama za kuwahudumia hao ng'ombe wa5 Kwa mwezi.
 
Biashara unatakiwa kuianza kidogo. Ilitakiwa uanze na mtaji mdogo then mazingira na soko ndo litakufundisha jinsi ya kuiendeleza au kuikuza. Hautakiwi kuanza na mtaji mkubwa.
 
pharmacy
 

Oil chafu inatumika kwaajil ya nini na wateja wako wapi ?
 

Brother ni Kigamboni sehemu gani ambapo una plot na imekosa soko? Unless kiwanja kipo eneo ambalo halifikiki kirahisi, this can not be any further from the truth.

Japo nakubali ni kweli kwamba biashara ya ardhi inahitaji uwe na hela ambayo hauitegemei kwenye mzunguko wa kila siku ila it's the most ideal kwako kwakua umeshatanabaisha kwamba una wasiwasi na kila wazo la biashara unalopata kuhusu uhakika wa return yake. Biashara ya ardhi odds zote zikibaki constant, basi uhakika wa kupata faida ni 100% guaranteed.

Naungana na member mmoja hapo juu kukushauri hiyo hela ujengee nyumba ya kupanga. Ukishirikisha wataalamu na ukasimamia vizuri, million 35 inatosha kabisa kupata nyumba ya kupangisha.

Kuhusu aina ya nyumba, kama eneo lako lipo karibu na ferry (kwaajili ya urahisi wa wanachuo ambao ndo wengi)basi jenga zile nyumba kama hall (tranka) kisha uigawe kwa vyumba self-contained. Hapo uhakika kupata kodi 100k - 120k per month kwa idadi ya vyumba vilivyopo. Kama eneo liko mbali kidogo na ferry basi jenga nyumba ndogo tu iwe classy kwaajili ya kupangisha mtu mmoja na familia yake halafu uchukue angalau 250k kwa mwezi. Baada ya mwaka unaanza harakati za kutafuta mteja wa nyumba yote.

Niko Kigamboni mwaka wa 4 huu hivyo kwa ufahamu wangu, naiona kabisa hela yako ikirudi.
 

You've said it all.
 
Ni uhakika mkuu, unanunua ng'ombe akiwa na mimba mkuu, mimi mpaka sasa sina passion ya kufuga kabisa ila inabidi kufuga maana pesa ipo nyingi, ukiwa na ng'ombe watano tu wa maziwa pure breeding wanakuzalishia shilingi milioni 5 kila mwezi.

Hakika mkuu! Mimi nishajenga passion ya ufugaji kwa muda sasa ni kitu nitafanya hata nikistaafu kazi ya Jamhuri! So far mwezi ujao Nitaanza ujenzi wa sehemu ya kufugia ng’ombe hao na soko lipo la uhakika eneo nilipopata kiwanja kwa hesabu zangu ng’ombe wa maziwa Wana faida ukiweka management vizuri ukipanda na malisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…