😂😂😂😂Umefanya nicheke aseeeh Kwamba msinipangie jobless mimiIla watakwambia Subaru sio ya kuanzia maisha kwa sababu inagharama nyingi na inakunywa mafuta sana. Au ndio tusikupangie Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Umefanya nicheke aseeeh Kwamba msinipangie jobless mimiIla watakwambia Subaru sio ya kuanzia maisha kwa sababu inagharama nyingi na inakunywa mafuta sana. Au ndio tusikupangie Mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh daaah hili ni jambo la muhimu sana tushikamane na walioambana nasi kipindi cha shida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msinipangie matumizi ya pesa zangu aseeh hahhhhhh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umefanya nicheke aseeeh Kwamba msinipangie jobless mimi
Kabisa mkuuYani kabisa Mkuu, hao watu wanaokuheshimu muda huu ukiwa jobless siku ukitokea kweupe usiwasahau, hata kama hawajasoma.
😂😂😂😂😂Hahhhh daaah halafu kweli kiongozi nafikiri jobless wanakuwa na mateso sana moyoni mwao kwahiyo mpaka moyo upone ndo anaanza kufanya vyakuelewekaJobless akipenya kwenye pipa la asali huwa bado anakuwa na sumu nyingi alizozibeba kutokana na mateso aliyopitia wakati wa utafutaji wa ajira.
Kwa haraka haraka, hakuna binadamu mgumu sana kushaurika kama jobless aliyetoka kupindua meza na kuingia kwenye ajira, huyu anatakiwa aachwe kwanza apoe, hata kama anachezea pesa aachwe, baada ya muda akishajikuta ameharibu mambo mengi ndipo akili inakaa sawa sasa anashaurika.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sure kabisaJobless akipenya kwenye pipa la asali huwa bado anakuwa na sumu nyingi alizozibeba kutokana na mateso aliyopitia wakati wa utafutaji wa ajira.
Kwa haraka haraka, hakuna binadamu mgumu sana kushaurika kama jobless aliyetoka kupindua meza na kuingia kwenye ajira, huyu anatakiwa aachwe kwanza apoe, hata kama anachezea pesa aachwe, baada ya muda akishajikuta ameharibu mambo mengi ndipo akili inakaa sawa sasa anashaurika.
Gari kwanza mkuu 🤣🤣🤣 nyumba nitajenga tu baada ya gariHahaha! Kaka umenikumbusha mbali sana, kuna jamaa alipopata kazi tu, washauri wakajaa wengi kumwambia awe makini kwenye matumizi ya pesa, ikiwemo kuanza kwa kununua kiwanja na kujenga.
Aliwajibu wasimpangie maisha, yeye ataanza na vilivyomtesa sana kipindi hana kazi, na nyumba wala viwanja havijawahi kumtesa ila watu wenye magari walishamchukulia wanawake wawili aliokuwa nao kwenye mahusiano.
Kwa hiyo gari ndio cha kwanza kabla ya vyote, na kweli alifanya hivyo.
😂😂😂😂Unanunua kinachokutesa asaivi au sioGari kwanza mkuu 🤣🤣🤣 nyumba nitajenga tu baada ya gari
Umenifanya nicheke sna ,yan hawakumshauri jins ya kuwakanda utumishi.wanaona katoboa wanamwmbia awe makin na pesaHahaha! Kaka umenikumbusha mbali sana, kuna jamaa alipopata kazi tu, washauri wakajaa wengi kumwambia awe makini kwenye matumizi ya pesa, ikiwemo kuanza kwa kununua kiwanja na kujenga.
Aliwajibu wasimpangie maisha, yeye ataanza na vilivyomtesa sana kipindi hana kazi, na nyumba wala viwanja havijawahi kumtesa ila watu wenye magari walishamchukulia wanawake wawili aliokuwa nao kwenye mahusiano.
Kwa hiyo gari ndio cha kwanza kabla ya vyote, na kweli alifanya hivyo.
😂😂😂😂Wanampangia matumizi ya pesa zake hahhhUmenifanya nicheke sna ,yan hawakumshauri jins ya kuwakanda utumishi.wanaona katoboa wanamwmbia awe makin na pesa
Selected for null😂😂😂😂Wanampangia matumizi ya pesa zake hahhh
hahhhhh selected for oral😂Selected for null
Mpka placement itoke tutakua tushaumia sana😂😂😂😂
hahhhhh selected for oral😂
😂😂😂😂Wakitaka watuue kabisa watuwekee not selected paleMpka placement itoke tutakua tushaumia sana
Tutachiz😂😂😂😂Wakitaka watuue kabisa watuwekee not selected pale
😂😂😂😂😂Unikute natumia hela zangu halafu unipangie aseeh tutagombana kinoma yaniKila mchakato ni shida tu mpk ukitoboa oral huna amani bongo bahati mbaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kila hatua ni balaa tu yaani hapo mpk tufike nikiipata hela nisipangiwe matumizi kwa style hii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasahivi hawajui tunayopitia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unikute natumia hela zangu halafu unipangie aseeh tutagombana kinoma yani
😂😂😂😂 Hawaelewi kama kila dakika nacheki status labda itabadilika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasahivi hawajui tunayopitia