ery mendez
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 298
- 626
Ila wizy una nini mzee si tulishakubaliana shortlisted = mkando 🤣 🤣Una uhakika mzee??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wizy una nini mzee si tulishakubaliana shortlisted = mkando 🤣 🤣Una uhakika mzee??
😂😂😂😂😂Hahhhhh kwanza tulikubaliana status hazina effect mzeeIla wizy una nini mzee si tulishakubaliana shortlisted = mkando 🤣 🤣
Mwenye kulitafta utalipata bora tukae kwa kutulia tusubr pdf kama mkando tutajua😂😂😂😂😂Hahhhhh kwanza tulikubaliana status hazina effect mzee
😂😂😂😂hahhhh Asaivi sitaki tena habari za statusMwenye kulitafta utalipata bora tukae kwa kutulia tusubr pdf kama mkando tutajua
Ndo ivo😂
😂😂😂😂hahhhh Asaivi sitaki tena habari za status
😂😂😂Ndo ivo
Mkuu tukumbuke haya :Una uhakika mzee??
okay sawa lakini umeshawahi kuthibitisha kwa mtu ilikuwa shortlisted na kapata kazi?Mkuu tukumbuke haya :
Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo. Ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Imani kama chembe ya haradali inaeza kufanya mambo.
Hajawah kutokea labda sasa hvokay sawa lakini umeshawahi kuthibitisha kwa mtu ilikuwa shortlisted na kapata kazi?
AmenMkuu tukumbuke haya :
Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo. Ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Imani kama chembe ya haradali inaeza kufanya mambo.
😂😂😂😂hahhhh daaah umefanya nicheke kinoma mzee hahhhh yani unataka nipanik tuHajawah kutokea labda sasa hv
Sema mie ndugu zangu kwa mshahara huoo achana na apartment mie lazima ninue gari kwanza jobless mie[emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂Hahhhhh eti anaanza na vilivyo mtesa daahHahaha! Kaka umenikumbusha mbali sana, kuna jamaa alipopata kazi tu, washauri wakajaa wengi kumwambia awe makini kwenye matumizi ya pesa, ikiwemo kuanza kwa kununua kiwanja na kujenga.
Aliwajibu wasimpangie maisha, yeye ataanza na vilivyomtesa sana kipindi hana kazi, na nyumba wala viwanja havijawahi kumtesa ila watu wenye magari walishamchukulia wanawake wawili aliokuwa nao kwenye mahusiano.
Kwa hiyo gari ndio cha kwanza kabla ya vyote, na kweli alifanya hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh eti anaanza na vilivyo mtesa daah
😂😂😂Hapa naanza kuulizia bei za gari mzee hivi kisubaru kile bei gani? HahhhHahaha! Kabisa Mkuu, muda huu ukiwa jobless ni lazima kuna vitu unaona vinakutesa sana na solusheni yake ni kupata kazi. Sasa jamaa alijiapiza hivyo ndivyo ataanza navyo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapa naanza kuulizia bei za gari mzee hivi kisubaru kile bei gani? Hahhh
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapa naanza kuulizia bei za gari mzee hivi kisubaru kile bei gani? Hahhh
😂😂😂😂Hahhhhh daaah hili ni jambo la muhimu sana tushikamane na walioambana nasi kipindi cha shidaNa asipangiwe na mtu.
Ukiwa huna kazi, hata washauri wanakukimbia huwapati. Ila ukishapata tu, utashangaa kuna watu wanakusalimia bila sababu, ukiwasogeza karibu wanajipa nafasi kukushauri na kuona kila unachofanya unakosea kama hujawashirikisha.
😂😂😂😂😂Msinipangie matumizi ya pesa zangu aseeh hahhhhhhIla watakwambia Subaru sio ya kuanzia maisha kwa sababu inagharama nyingi na inakunywa mafuta sana. Au ndio tusikupangie Mkuu?