Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,859
- 4,539
Nyumba & ndo vipaumbele vyangu Aseeeh🤓Sema mie ndugu zangu kwa mshahara huoo achana na apartment mie lazima ninue gari kwanza jobless mie😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba & ndo vipaumbele vyangu Aseeeh🤓Sema mie ndugu zangu kwa mshahara huoo achana na apartment mie lazima ninue gari kwanza jobless mie😂😂
Ila we kijana si ushakula Asali tayar.. kwani kule veta Diploma tutor anapigwa pesa ngapi..?Sema mie ndugu zangu kwa mshahara huoo achana na apartment mie lazima ninue gari kwanza jobless mie😂😂
Nyumba mie naona ni kama gharama kujenga naona Hela itaishia kwenye lenta iishe 🤣🤣Nyumba & ndo vipaumbele vyangu Aseeeh🤓
Uhakika siku wakinitaa kuhusu pesa Sijui hata shingapi mkuuu kwa kweli sijui laki ngapi anayejua atuambie kwa kweli nimegoogle mshahara wa veta mpka nimechokaIla we kijana si ushakula Asali tayar.. kwani kule veta Diploma tutor anapigwa pesa ngapi..?
Kwa haraka huwezi kukosa kilo 8.. naona Si haba ukitokea JoblessnessUhakika siku wakinitaa kuhusu pesa Sijui hata shingapi mkuuu kwa kweli sijui laki ngapi anayejua atuambie kwa kweli nimegoogle mshahara wa veta mpka nimechoka
😂😂😂😂gari muhimu sana mzee jua linaunguza kinoma aseehSema mie ndugu zangu kwa mshahara huoo achana na apartment mie lazima ninue gari kwanza jobless mie😂😂
Kweli jua mateso sana siwezi nikawa nachomekea Miaka mitatu naenda job na daladala kwa kweli 🤣🤣😂😂😂😂gari muhimu sana mzee jua linaunguza kinoma aseeh
Kweli sio hapa kwa Hela hiyo mtu anayetoka joblessKwa haraka huwezi kukosa kilo 8.. naona Si haba ukitokea Joblessness
😂😂😂😂Hahhhh jobless inatakiwa ujipoze kwenye gari bhnaKweli jua mateso sana siwezi nikawa nachomekea Miaka mitatu naenda job na daladala kwa kweli 🤣🤣
Jobless sijaoa na Wala Sina majukumu ya kutisha kweli eti Miaka miwili mzeee nikose Hela ya gari dah basi itakua nahonga sana 🤣🤣😂😂😂😂Hahhhh jobless inatakiwa ujipoze kwenye gari bhna
😂😂😂😂Kuhonga pia ni majukumu yetu mzeeJobless sijaoa na Wala Sina majukumu ya kutisha kweli eti Miaka miwili mzeee nikose Hela ya gari dah basi itakua nahonga sana 🤣🤣
Wewe si umeshanunua tayari gari mkuu bado tu kulichukua showroom [emoji23][emoji23]Sema mie ndugu zangu kwa mshahara huoo achana na apartment mie lazima ninue gari kwanza jobless mie[emoji23][emoji23]
Nakupinga mkuu kila kazi utumishi lazima kuwe na kanzidata kwakua tutorial assistant hazijatangazwa muda mrefu huenda ndomana unasema ivoushahidi ninao miaka ya nyuma kuna mtu kaitwa kupitia kanzidata tena tutorial assistant cha msingi ukiona mwaka umepita tangu ufanye usaili hujaitwa ujue imekula kwakoNa mara nyingi hiz nafasi za Vyuo Tutorial Assistant hazinaga Kanzidata.. maana hata Usaili wake unakuwa na presentation.. hawawez kuchukuwa tu mtu aliyefanya interview ya kawaida.. Changamoto nyingi ipo kwenye GPA zinazohitajika.. Kuna mtu anaweza kuwa in database Ila GPA yake ni 2.5.. hawezi kutoboa TA tena UDSM🤔🤔
UDSM wako So strictly kwenye mambo za GPA.. niliona hata Normal Staff(Technicians) kwenye mkeka wa kazi uliotolewa mwezi July... Wanataka kuanzia LOWER UPPER SECOND kwa FTC yoyote, tena unaweza Kuta kwenye selection/Shortlisted wakachukuliwa 3.5+
TA ni ngumu sana kukaa data base maana kwanza hutangazwa mpaka miaka ipite ndo zije zitokee tena
Ni kweli ukikandwa TA we pamban n post nyingne tu
Wanascale zao hao ninngumu kujua mshahra wao labda mpaka mtu wan ndani asemeUhakika siku wakinitaa kuhusu pesa Sijui hata shingapi mkuuu kwa kweli sijui laki ngapi anayejua atuambie kwa kweli nimegoogle mshahara wa veta mpka nimechoka
Baada ya muda tena inabadilika kutoka shortlisted kwenda selected for oral interview tenaMkuu hii notification ni kwa wote haina impact yoyote . Wakiondoa kule kwenye website yao list ya walioitwa kufanya usahili na kwenye account huwa zinaondoka inabaki hiyo shortlisted Kwa Kumbukumbu zako na zao.
Muafaka nikusubiri pdfso muafaka ni upi wakuu?
Una uhakika mzee??Shortlisted = placement
Tuishi humu wakuu
Pia tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini!!!