😂😂😂😂HahhhhDuh nauli hatuna bhana kule Dom n mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂HahhhhDuh nauli hatuna bhana kule Dom n mbali
Tuombe yatoke vizuriDuh nauli hatuna bhana kule Dom n mbali
TA walishafanya interview mkuu walipiga simu directlyHv wadau mkeka wa UDOM Bado hujatoka..?
😂😂😂😂Huo ni mkando wa ndoigeHv hii wakuu inaitwaje hii.. weka Maneno 😂😂😂
Duh mbona hatar aseeHapo n ngoma draw cha Msing n kisubir jamv tu
hizo status naona ni kawaida tu kubadilika Kwahiyo tuishi tu kama kawaidaDuh mbona hatar asee
Kuna mtu nimemuuliza aliepangiwa za juzi TRA anasema ilikua selected for oral tuhizo status naona ni kawaida tu kubadilika Kwahiyo tuishi tu kama kawaida
😂😂😂😂😂hizi status zitatuua bure hazina maana yoyoteKuna mtu nimemuuliza aliepangiwa za juzi TRA anasema ilikua selected for oral tu
Wanasema tangaza tena hawaHv hii wakuu inaitwaje hii.. weka Maneno [emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima watangaze mara ya piliWanasema tanagaza tena hawa
Na mara nyingi hiz nafasi za Vyuo Tutorial Assistant hazinaga Kanzidata.. maana hata Usaili wake unakuwa na presentation.. hawawez kuchukuwa tu mtu aliyefanya interview ya kawaida.. Changamoto nyingi ipo kwenye GPA zinazohitajika.. Kuna mtu anaweza kuwa in database Ila GPA yake ni 2.5.. hawezi kutoboa TA tena UDSM🤔🤔Lazima watangaze mara ya pili
TA ni ngumu sana kukaa data base maana kwanza hutangazwa mpaka miaka ipite ndo zije zitokee tenaNa mara nyingi hiz nafasi za Vyuo Tutorial Assistant hazinaga Kanzidata.. maana hata Usaili wake unakuwa na presentation.. hawawez kuchukuwa tu mtu aliyefanya interview ya kawaida.. Changamoto nyingi ipo kwenye GPA za zinazohitajika.. Kuna mtu anaweza kuwa database Ila GPA yake ni 2.5.. hawezi kutoboa TA tena UDSM🤔🤔
UDSM wako So strictly kwenye mambo za GPA.. niliona hata Normal Staff(Technicians) kwenye mkeka wa kazi uliotoa mwezi July... Wanataka kuanzia LOWER UPPER SECOND kwa FTC yoyote, tena unaweza Kuta kwenye selection wakachukuliwa 3.5+
Hv mkuu pale UDSM TA analamba pesa ngapi..?TA ni ngumu sana kukaa data base maana kwanza hutangazwa mpaka miaka ipite ndo zije zitokee tena
Sina hakika lakini Kuna jamaa aliniambia anakula 1.6m yeye ana bachelor ya miaka mitatu wale wa miaka minne na mitano sijui ni ngapiHv mkuu pale UDSM TA analamba pesa ngapi..?
Au scale yake ipoje..?
Tufanye Makato ni Laki 3 net.. hakosi 1.3 take home.. ndani ya mwaka unajenga apartment ya maana tu😁Sina hakika lakini Kuna jamaa aliniambia anakula 1.6m yeye ana bachelor ya miaka mitatu wale wa miaka minne na mitano sijui ni ngapi
😂😂😂😂Hahhhhh daaah mzee unamipango yakupindua nchi wewe hahhhh kiapartment fulani iviTufanye Makato ni Laki 3 net.. hakosi 1.3 take home.. ndani ya mwaka unajenga apartment ya maana tu😁
Hyo ni mipangao tu ya kawaida.. Sasa uta-rent kwenye nyumba za watu Hadi lini...? Lazima ujibanene upate kiapartment chako😂😂😂😂Hahhhhh daaah mzee unamipango yakupindua nchi wewe hahhhh kiapartment fulani ivi
Sema mie ndugu zangu kwa mshahara huoo achana na apartment mie lazima ninue gari kwanza jobless mie😂😂Tufanye Makato ni Laki 3 net.. hakosi 1.3 take home.. ndani ya mwaka unajenga apartment ya maana tu😁