Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Kwa kweli wako sahihi katika kuwacomfort watoto wa kimaskini na wale weny uwezo mdogo maana izo shule Zina ubaguzi wanachagua kwanza vichwa na wenye uwezo wa kulipa ada.
 
Ukisema hamna haja ya promotion ya waliofaulu ni kama unawanyima haki ya msingi ya kuwa recognized kutokana na efforts zao.

Hata makazini humo msipopandishwa vyeo huwa mnalalamika sana. Magufuli hakuwaongeza mshahara mkalalamika wee ila hili la wanafunzi wenye juhudi kuwa recognized hamtaki. Eti oh shule itapata umaarufu ni kweli lazma shule ipate umaarufu sababu wamesajili cream.
 
infwact waaya ndio majiniaz wa tanzania any way WAKORA MUNOMUNO kwa kweeeeriiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Tamka KEMEBOS
 

Basi hata mitihani iwe tofauti kulingana na mazingira
 
kama wanajua mazingira tofauti mbona mtihani unatungwa(1) na kufanywa sawa?

wangetunga mitihani ya watu wa waliosoma mazingira magumu na waliosoma mazingira bora.

mitihani inatungwa sawa haijalishi umesoma mazingira gani kwanini kwenye matokeo waogope kutangaza?

kutokutangaza ndo hakuna tija.
 
Basi hata top 10 ya mikoa inayoongoza kwa kukusanya kodi au mikoa bora kwa GDP isitangazwe tena maana wanachochea ukusanyaji wa mapato kwa njia haramu

Wamepuyanga hawa jamaa wameona ku promo shule binafsi hawajui hii pia inatiaga motisha
 
Miaka yote wanashindanishwa iweje leo wasione umuhimu?
 
ilihali unajua wana uwezo tofauti sana wa kufaulu mtihani huo ni kwanini uwatungie mtihani unaofanana. Ellimu ni uwekezaji na ni biashara pia. Unajua fika kwamba kuna wanafunzi wafupi na warefu lakini unawapa mtihani wa kuruka ukuta mrefu. Ila kutangaza huko kulikuwa kunaleta ushindani sana. Nadhani ni negative perspective.
 
Hakuna cha ushindani hapo. Takwimu ni muhimu.

Sema chief hangaya anaogopwa kuumbuka na mikopo Yake ya madarasa.

Analeta habari za kizenji huju Sisi tumeshaziea ligi katika Kila kitu.

Elimu inapoteza morali kabisaa.
 
Milioni ya nyoko imekuwa feza hiyo cheki hizi kamba ada ni 4m bana we dogo muongo sana paaah
 
Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto😂😂,
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula🤷‍♂️
Usikariri hatupo darasani hapa oooohooh jifariji tu kwamba wote waliopata 1 ni mafala mtaani 😒😵
 
Hao jamaa unakumbuka mwaka walikuwa wanazunguka na gari baada ya kuwa wa kwanza hakuna jamii yenye sifa kushinda wahaya bongo ,zile kama sio sifa ni nn?

Angalia hata gari ya mkurugenzi kuweka private plate number kama sio sifa ni nn?
Sasa mtu akifurahia mafanikio yake wewe unaumia kwa nini? [emoji1][emoji1]
 
Pia kuna shule za ndugu wale huwa zinashika mkia tangu zianzishwe ni aibu tupu. Wanaajiri walimu wenye itikadi yao hata kama ni empty set vichwani mwao. Kwa huu mtindo mpya wa kutotaja shule bora kutaficha udhaifu wa shule za hao ndugu
Tunawajua hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…