Kubenea ashinda kesi dhidi ya Makonda. Alidaiwa kumtusi na kuhatarisha usalama

Kubenea ashinda kesi dhidi ya Makonda. Alidaiwa kumtusi na kuhatarisha usalama

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda.

Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)

Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala.

Chanzo: MwanaHalisi.

Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.

KILA UBAYA UTALIPWA

=====

ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.
 
Baada ya kulambishwa asali hizi ndo thread pekee mlizobakiza kuleta Jamii forums. Wenzako akina SalarySlip na mmawia ndo wamepotea kabisa na bado mna matumaini ya kuitoa CCM madarakani. Aliyewaita NYUMBU aliona mbali sana.
 
Kuna mambo ya muhimu kuyaongelea kuliko Makonda
Mkuu hutawaona wakianzisha topic yoyote ya maana inayohusu wananchi sio live au mitandaoni.

Wote wamepigwa ganzi as if matatizo ya wananchi waliyokuwa wakiyasemea yote yametatuliwa, wamebakiza kushabikia ishu za kijingakijinga,., hivi mwanaume unakaa unawawaza wanaume wenzako Makonda na Kubenea kwa bifu zao za kifala una akili timamu!?,

Halafu mleta mada anajionaga tajiri na kuwaita watu maskini, niliwahi kumwambia hakuna tajiri duniani anashinda mitandaoni huku akianzisha thread za kipumbavu. Ila mbongo akimiliki Brevis au Alphard na waliomzunguka mtaani hawana kitu anajiona tajiri. Kumbe ni kukosa exposure ya kinachoendelea duniani.
 
Screenshot_20220817-151944.jpg
 
Mkuu hutawaona wakianzisha topic yoyote ya maana inayohusu wananchi sio live au mitandaoni. Wote wamepigwa ganzi as if matatizo ya wananchi waliyokuwa wakiyasemea yote yametatuliwa, wamebakiza kushabikia ishu za kijingakijinga,., hivi mwanaume unakaa unawawaza wanaume wenzako Makonda na Kubenea kwa bifu zao za kifala una akili timamu!?, Halafu mleta mada anajionaga tajiri na kuwaita watu maskini, niliwahi kumwambia hakuna tajiri duniani anashinda mitandaoni huku akianzisha thread za kipumbavu. Ila mbongo akimiliki Brevis au Alphard na waliomzunguka mtaani hawana kitu anajiona tajiri. Kumbe ni kukosa exposure ya kinachoendelea duniani.
Mbona wewe hujawahi kuandika cha maana kusaidia hao wananchi? Kwanini utegemee wengine ndio wawasemee? Au wewe ni beki tatu anayemiliki simu hivyo kwa vile kula kulala unajiona uko sawa maisha yako byee?
 
Back
Top Bottom