Kubenea ashinda kesi dhidi ya Makonda. Alidaiwa kumtusi na kuhatarisha usalama

Kubenea ashinda kesi dhidi ya Makonda. Alidaiwa kumtusi na kuhatarisha usalama

Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda .

Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)

Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala .

Chanzo: MwanaHalisi .

Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.

KILA UBAYA UTALIPWA

=====

ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.
Basi nyie Chadomo kazi yenu ni kufurahia tu kesi mnazoshinda Mahakamani za kina Makonda na za CCM. Hamna mikakati wala nia ya kuleta mabadiliko ya kweli nchi hii.
Zile kesi mnazoangumia pua utasikia "hatuna mahakama huru" mara "jaji kapewa maagizo kutoka juu"
 
Wewe ndie mpiga zumari wetu tegemezi wa Chadema ndani ya JF,
Sasa unapoanza kuleta mada za kipuuzi na kushupalia ujinga ujinga unatupa sana mashaka ya kiuwezo kwa Chadema kwasasa

Inasikitisha sana..!!!
mmenipa lini cheo hicho ?
 
Makonda ni Shetani kwenye mwili wa binadamu. Kile kiumbe achana nacho, yeye na Mwendazake wote walikuwa mashetani
Mwenyezi Mungu ndio wa kumuachia.......Hakuna alie mkamilifu hapa chini ya jua..
Mkuu bila shaka wewe ni malaika..
 
Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda.

Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)

Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala.

Chanzo: MwanaHalisi.

Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.

KILA UBAYA UTALIPWA

=====

ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.
Weka nakala ya hukumu hapa kuthibitisha hilo na kwamba kwenye hukumu hiyo hakuna nafasi ya kukata rufaa.....
 
Weka nakala ya hukumu hapa kuthibitisha hilo na kwamba kwenye hukumu hiyo hakuna nafasi ya kukata rufaa.....
Ya rufaa yanatuhusu nini sisi ? kesi imeisha na Makonda kaangukia pua ndio lililopo , hayo mengine hayatuhusu .
 
Back
Top Bottom