Kubenea ashinda kesi dhidi ya Makonda. Alidaiwa kumtusi na kuhatarisha usalama

Kubenea ashinda kesi dhidi ya Makonda. Alidaiwa kumtusi na kuhatarisha usalama

Mbona wewe hujawahi kuandika cha maana kusaidia hao wananchi? Kwanini utegemee wengine ndio wawasemee? Au wewe ni beki tatu anayemiliki simu hivyo kwa vile kula kulala unajiona uko sawa maisha yako byee?
Mimi sio mwanasiasa, simsemei mtu yeyote. Ila ukijipambanua kama mfuasi wa CHADEMA na mtetea wananchi endeleza Ili tujue unachokipambania. Sio leo KATIBA MPYA.

Halafu ghafla umelambishwa asali unaanza kuleta story za bifu za wanaume wawili tusio na faida nao as if una mimba ya mmojawapo.
 
Just wasting time, you can change nothing
Kwasababu mnajihusisha na mambo madogo
Very low
Wewe na yeye nani anapoteza muda? Ni wewe unayesoma post usiyoitaka.
Anzisha yako, au unajijua mtupu?
 
Hiki kitoa post kinajikutaga alwatan kwenye hii nchi
Hajui anapoteza muda wake bure
Kwahiyo mnataka kukiloga au kukiteka mkitupe kwenye mifuko ya Sandarusi baharini kikaokotwe Tanga?
 
Mkuu hutawaona wakianzisha topic yoyote ya maana inayohusu wananchi sio live au mitandaoni. Wote wamepigwa ganzi as if matatizo ya wananchi waliyokuwa wakiyasemea yote yametatuliwa, wamebakiza kushabikia ishu za kijingakijinga,., hivi mwanaume unakaa unawawaza wanaume wenzako Makonda na Kubenea kwa bifu zao za kifala una akili timamu!?, Halafu mleta mada anajionaga tajiri na kuwaita watu maskini, niliwahi kumwambia hakuna tajiri duniani anashinda mitandaoni huku akianzisha thread za kipumbavu. Ila mbongo akimiliki Brevis au Alphard na waliomzunguka mtaani hawana kitu anajiona tajiri. Kumbe ni kukosa exposure ya kinachoendelea duniani.
Unateseka ukiwa wapi aiseee?
 
Mbona wewe hujawahi kuandika cha maana kusaidia hao wananchi? Kwanini utegemee wengine ndio wawasemee? Au wewe ni beki tatu anayemiliki simu hivyo kwa vile kula kulala unajiona uko sawa maisha yako byee?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kesi yake ya unyang'anyi maandalizi yake yamekamilika
Kuna uzi humu walikuja chawa wake kumuombea teuzi kwa mama eti Amsha Amsha Dar inatakiwa mtu kama yeye. Niliwaambia huyo muuaji hana chance. Nilibanwa mpaka inbobo kuleta ushahidi alimuua nani.

Hii kesi ni hatua moja mbele kuthibitisha claims zangu kuwa jamaa hakuwa mwema hata kidogo.
 
Kuna uzi humu walikuja chawa wake kumuombea teuzi kwa mama eti Amsha Amsha Dar inatakiwa mtu kama yeye. Niliwaambia huyo muuaji hana chance. Nilibanwa mpaka inbobo kuleta ushahidi alimuua nani.

Hii kesi ni hatua moja mbele kuthibitisha claims zangu kuwa jamaa hakuwa mwema hata kidogo.
Ushahidi umejaa tele, hatutaumwaga hadharani hadi apandishwe kizimbani, watakimbiana.
 
Baada ya kulambishwa asali hizi ndo thread pekee mlizobakiza kuleta Jamii forums. Wenzako akina SalarySlip na mmawia ndo wamepotea kabisa na bado mna matumaini ya kuitoa CCM madarakani. Aliyewaita NYUMBU aliona mbali sana.
Kuitoa CCM?
Kazi kwer kwer!
 
Back
Top Bottom