Kubenea ashinda kesi dhidi ya Makonda. Alidaiwa kumtusi na kuhatarisha usalama

Kubenea ashinda kesi dhidi ya Makonda. Alidaiwa kumtusi na kuhatarisha usalama

Mtatoka wote vichakani , Mamluki wakubwa nyie !
Hapana mkuu wengine wala hatushabikii siasa,

Na siyo kila unayeonekana naye hapa jamvini anamtetea Makonda hapana.

Mioyo ya watu hutofautiana, wapo waliochukizwa na aliwaumiza kwenye utawala wake lakini wanasamehe.

Lakini kwa watakaomchukulia sheria nao waheshimiwe

Maisha ni haya haya.
 
Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda .

Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)

Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala .

Chanzo: MwanaHalisi .

Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.

KILA UBAYA UTALIPWA
Siku kibao kikibadilika ghafla kuna watu watakimbilia Malawi maana huko ng'ambo hawatawahi..............visasi ambavyo mamlaka imewapa nafasi kuvilipiza vitawapoteza kwenye ramani yetu macho.
 
Mbona wewe hujawahi kuandika cha maana kusaidia hao wananchi? Kwanini utegemee wengine ndio wawasemee? Au wewe ni beki tatu anayemiliki simu hivyo kwa vile kula kulala unajiona uko sawa maisha yako byee?
Basi msijiite ma GT wakati kutwa nzima mmaandika habari na post za kithenge kuhusu makonda na upuuzi mwingine muende kwenye jukwaa la MMU kula tunda kimasihara.
 
Baada ya kulambishwa asali hizi ndo thread pekee mlizobakiza kuleta Jamii forums. Wenzako akina SalarySlip na mmawia ndo wamepotea kabisa na bado mna matumaini ya kuitoa CCM madarakani. Aliyewaita NYUMBU aliona mbali sana.
Nyumbu umewatambua nyumbu wenzako na umekuja kukomenti.
 
Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda .

Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)

Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala .

Chanzo: MwanaHalisi .

Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.

KILA UBAYA UTALIPWA

=====

ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.

Wewe ndie mpiga zumari wetu tegemezi wa Chadema ndani ya JF,
Sasa unapoanza kuleta mada za kipuuzi na kushupalia ujinga ujinga unatupa sana mashaka ya kiuwezo kwa Chadema kwasasa

Inasikitisha sana..!!!
 
Mimi sio mwanasiasa, simsemei mtu yeyote. Ila ukijipambanua kama mfuasi wa CHADEMA na mtetea wananchi endeleza Ili tujue unachokipambania. Sio leo KATIBA MPYA.

Halafu ghafla umelambishwa asali unaanza kuleta story za bifu za wanaume wawili tusio na faida nao as if una mimba ya mmojawapo.
Mpumbavu wewe! Kwani mtu kuwa mfuasi wa chama cha siasa ndio kuwa mtetezi wa wengine? We kweli juha
 
Just wasting time,you can change nothing
Kwasababu mnajihusisha na mambo madogo
Very low
Hayo ni mambo individual na watu kwa interest zao wanaweza kujadili freely, ni watu wapumbavu tuu ndio wanaoweza kufanya mawazo na matendo ya mtu binafsi kuyatafsiri kama ndio ya chama chake.
Mbona Sabaya alipokuwa anawalawiti kwa nguvu watu hakuna aliyesema CCM inalawiti watu?
 
Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda .

Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)

Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala .

Chanzo: MwanaHalisi .

Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.

KILA UBAYA UTALIPWA

=====

ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.
Ni Kibatala tena.
 
Back
Top Bottom