Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Imeishakichwa cha habari kimekaa kwa kumvutia msomaji ni kama vile kesi kamili imeisha duh!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeishakichwa cha habari kimekaa kwa kumvutia msomaji ni kama vile kesi kamili imeisha duh!.
Hapana mkuu wengine wala hatushabikii siasa,Mtatoka wote vichakani , Mamluki wakubwa nyie !
Mliwaondoa madarakani na mkawaambia siasa mpaka kipindi cha kampeni kwa sababu tuna Rais, wabunge na madiwani.Mkuu hutawaona wakianzisha topic yoyote ya maana inayohusu wananchi sio live au mitandaoni. Wote wamepigwa ...
Makondakta hata akisamehewa na Kubenea kwa Mungu atahukumiwa tuKusamehe ni bora kuliko visasi...
Ana Siri nzito mno za ile nyumba nyeupe
Kilaza kama vilaza wengine wa CCM huyo.Wewe na yeye nani anapoteza muda? Ni wewe unayesoma post usiyoitaka.
Anzisha yako, au unajijua mtupu?
Siku kibao kikibadilika ghafla kuna watu watakimbilia Malawi maana huko ng'ambo hawatawahi..............visasi ambavyo mamlaka imewapa nafasi kuvilipiza vitawapoteza kwenye ramani yetu macho.Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda .
Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)
Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala .
Chanzo: MwanaHalisi .
Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.
KILA UBAYA UTALIPWA
Kila ubaya utalipwaSiku kibao kikibadilika ghafla kuna watu watakimbilia Malawi maana huko ng'ambo hawatawahi..............visasi ambavyo mamlaka imewapa nafasi kuvilipiza vitawapoteza kwenye ramani yetu macho.
Basi msijiite ma GT wakati kutwa nzima mmaandika habari na post za kithenge kuhusu makonda na upuuzi mwingine muende kwenye jukwaa la MMU kula tunda kimasihara.Mbona wewe hujawahi kuandika cha maana kusaidia hao wananchi? Kwanini utegemee wengine ndio wawasemee? Au wewe ni beki tatu anayemiliki simu hivyo kwa vile kula kulala unajiona uko sawa maisha yako byee?
Nyumbu umewatambua nyumbu wenzako na umekuja kukomenti.Baada ya kulambishwa asali hizi ndo thread pekee mlizobakiza kuleta Jamii forums. Wenzako akina SalarySlip na mmawia ndo wamepotea kabisa na bado mna matumaini ya kuitoa CCM madarakani. Aliyewaita NYUMBU aliona mbali sana.
Sababu hamna ushahidi
Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda .
Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)
Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala .
Chanzo: MwanaHalisi .
Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.
KILA UBAYA UTALIPWA
=====
ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.
Mpumbavu wewe! Kwani mtu kuwa mfuasi wa chama cha siasa ndio kuwa mtetezi wa wengine? We kweli juhaMimi sio mwanasiasa, simsemei mtu yeyote. Ila ukijipambanua kama mfuasi wa CHADEMA na mtetea wananchi endeleza Ili tujue unachokipambania. Sio leo KATIBA MPYA.
Halafu ghafla umelambishwa asali unaanza kuleta story za bifu za wanaume wawili tusio na faida nao as if una mimba ya mmojawapo.
Hayo ni mambo individual na watu kwa interest zao wanaweza kujadili freely, ni watu wapumbavu tuu ndio wanaoweza kufanya mawazo na matendo ya mtu binafsi kuyatafsiri kama ndio ya chama chake.Just wasting time,you can change nothing
Kwasababu mnajihusisha na mambo madogo
Very low
Mungu ni mwingi wa kusamehe....Ukitubu toba ya kweli Mungu ni mpole sana kwa viumbe vyake...Makondakta hata akisamehewa na Kubenea kwa Mungu atahukumiwa tu
Mada ni Makonda na ni mwanadamu elewa somo,Ya shetani yametokea wametokea wapi tena?Hakuna mahali popote ambapo kitabu chochote cha Mungu kimeandika tumsamehe Shetani
Ni Kibatala tena.Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda .
Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)
Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala .
Chanzo: MwanaHalisi .
Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.
KILA UBAYA UTALIPWA
=====
ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.
🤣🤣Makondakta hata akisamehewa na Kubenea kwa Mungu atahukumiwa tu