Mbona umepaniki kwani Erythrocyte ndio Mahakama?Wewe ndie mpiga zumari wetu tegemezi wa Chadema ndani ya JF,
Sasa unapoanza kuleta mada za kipuuzi na kushupalia ujinga ujinga unatupa sana mashaka ya kiuwezo kwa Chadema kwasasa
Inasikitisha sana..!!!
Basi nyie Chadomo kazi yenu ni kufurahia tu kesi mnazoshinda Mahakamani za kina Makonda na za CCM. Hamna mikakati wala nia ya kuleta mabadiliko ya kweli nchi hii.Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda .
Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)
Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala .
Chanzo: MwanaHalisi .
Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.
KILA UBAYA UTALIPWA
=====
ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.
Makonda ni Shetani kwenye mwili wa binadamu. Kile kiumbe achana nacho, yeye na Mwendazake wote walikuwa mashetaniMada ni Makonda na ni mwanadamu elewa somo,Ya shetani yametokea wametokea wapi tena?
Pangusa upupu kichwani....
Wapi imeandikwa ni sawa kumuita binadam mwenzio Shetani.?Hakuna mahali popote ambapo kitabu chochote cha Mungu kimeandika tumsamehe Shetani
mmenipa lini cheo hicho ?Wewe ndie mpiga zumari wetu tegemezi wa Chadema ndani ya JF,
Sasa unapoanza kuleta mada za kipuuzi na kushupalia ujinga ujinga unatupa sana mashaka ya kiuwezo kwa Chadema kwasasa
Inasikitisha sana..!!!
Shetani hujulikana kwa matendo yakeWapi imeandikwa ni sawa kumuita binadam mwenzio Shetani.?
Tukubaliane tu kuwa wewe ni shetani! usiyefaa hata kuitwa mnyama aha kumbe avatar yako ni jini.Sawa NYUMBU. Kuanzia leo sio mangikule ni NYUMBU.
Mwenyezi Mungu ndio wa kumuachia.......Hakuna alie mkamilifu hapa chini ya jua..Makonda ni Shetani kwenye mwili wa binadamu. Kile kiumbe achana nacho, yeye na Mwendazake wote walikuwa mashetani
mmenipa lini cheo hicho ?
Weka ushahidi , Uzalendo hauna gharamaSi unalipwa na Chama kwa kazi uifanyayo humu jf
Weka nakala ya hukumu hapa kuthibitisha hilo na kwamba kwenye hukumu hiyo hakuna nafasi ya kukata rufaa.....Leo Mahakama ya Kisutu imempa ushindi Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya Mwanaccm Paulo Makonda.
Ikumbukwe kwamba Makonda akiwa na vyeo vya kuteuliwa alimshitaki Kubenea kwa kumtusi na kumhatarishia Maisha (YAANI ETI KUBENEA AHATARISHE MAISHA YA MAKONDA!)
Kubenea alikuwa anatetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala.
Chanzo: MwanaHalisi.
Mytake: Huu ni mwanzo mzuri wa kufufua ile kesi ileeee.
KILA UBAYA UTALIPWA
=====
ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea, ameshinda kesi ya Jinai aliyofunguliwa na Paul Makonda. Uamuzi huo, umetolea leo 17 Agosti na Mahakama ya Kisutu. Katika shauri hilo, Kubenea alidaiwa kumtusi Makonda na kuhatarisha usalama. Kubenea alikuwa akitetewa na Peter Kibatala.
Ya rufaa yanatuhusu nini sisi ? kesi imeisha na Makonda kaangukia pua ndio lililopo , hayo mengine hayatuhusu .Weka nakala ya hukumu hapa kuthibitisha hilo na kwamba kwenye hukumu hiyo hakuna nafasi ya kukata rufaa.....