Kubenea awaonya wanaopiga ramli kuhusu hatima yake CHADEMA, azungumzia Virusi vya Corona

Mbona mlimtosa dr slaa mkampa Lowasa kugombea Urais cha ajabu kipi

Laana ya dr slaa itawatafuna hadi mwisho
 
Tunakuunga mkono mh kubenea hamia chama chochote Achana na hao wapiga majungu wa ufipa
Kubenea huyu ambae alimwagiwa tindikali Mafisadi,Jakaya akampeleka india kutibiwa bado amekubali kukaa na wahuni na matapeli? Nafikiri anasubiri mafao tu maana muda si mrefu mtanange unaanza.
 
Kubenea huyu ambae alimwagiwa tindikali Mafisadi,Jakaya akampeleka india kutibiwa bado amekubali kukaa na wahuni na matapeli? Nafikiri anasubiri mafao tu maana muda si mrefu mtanange unaanza.
Kubenea Ni mtanzania na JK Ni muungwana ndo maana serikali iligharimikia matibabu yake.umeleta tuhuma kuwa anakaa na wahuni na matapeli,Kama sikosei makosa hayo Ni serious Sana(crime) bila kuziainisha kwa kutaja na kuthibitisha,kwa ujumla comment yako Ni takataka.
 
Wewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Ina maana sijui ccm mmekosa watu wakugombea majimbo mpaka msubiri kutoka chadema ,,,wenzio wakiamia ccm wanapewa uwaziri wewe unkaa Jf unalipwa elf 7 siujinga sasa.
 
Kawe Alumni, Acha kupotosha watu, aliyemtibia Kubenea ni Marehemu Mzee Ndesamburo ambaye ni Mwana CHADEMA. Period
 
Kawe Alumni, Huyo kubenea atakuwa wa ajabu kama akkubali kushauriwa na chama cha watu Wanaonyweshana Sumu... chama kilichotuma WATU WAKAMVAMIE NA KUMKATA MAPANGA NA KUMWAGIA TINDIKALI.LEO HAYO MAPENZI NA KUBENEA UNAYATOA WAPI?
nani alimnywesha sumu mzee MANGULA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…