Kubeza maendeleo yaliyoletwa na CCM ndani ya miaka 60 ni kukosa busara. Tulipata uhuru tukiwa nyuma sana kimaendeleo

Hivi wakati tunapata uhuru hali yetu ya uchumi (pato la taifa + deni la taifa) ilikuwaje na sasa ikoje?
 
Bora kukosa busara kuliko kukosa akili kwa kufikiria maendeleo yameletwa na CCM badala ya WATANZANIA WENYEWE. Mshajiona wenye nchi kiasi kwamba CCM ni muhimu kuliko Tanzania? 😑
Ndio maana katiba mpya hawaitaki maana itawapotezea sifa za kijinga wanazopeana
 
Tache kujifariji kama njia ya kutokutaka kuwajibika kikamilifu au njia ya kutetea mapungufu yetu.
 
CCM warudishe mali zote walizochuma kwa Watanzania halafu tuone kama hawajabaki uchi.
 
CCM warudishe mali zote walizochuma kwa Watanzania halafu tuone kama hawajabaki uchi.
Argument yako ni illogical, una maana chadema hawana hata kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu kwa sababu ccm walichuma mali?
 
Argument yako ni illogical, una maana chadema hawana hata kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu kwa sababu ccm walichuma mali?
CHADEMA mnaowasema hawana makao makuu, kutwa mnafanya figisu kutaka kuwadhoofisha na kuwaua; yaani mnateseka na chama ambacho hakina hata "kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu"
 
CHADEMA mnaowasema hawana makao makuu, kutwa mnafanya figisu kutaka kuwadhoofisha na kuwaua; yaani mnateseka na chama ambacho hakina hata "kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu"
Bwashee ebu niambie kilipo kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu ya chadema. Nasubiria kwa hamu unijuze!
 
Nini maana ya kuchagua chama kiunde serikali?
Hao waliouwa viwanda, killimo na elimu na kutugawa watanzania ndio unawazungumzia? Hamna kitu wametufukarisha sana hao na mawazo yao ya kimaskini, eti nataka matajiri waishi kama mashetani, pumbav.

Acha Ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…