Kubezwa kwangu kulinipunguzia presha nikawa mshindi vipindi vyote

Nimeipenda hii πŸ‘‡πŸ‘‡


Dada akawapigia cm dada zake Neema, dada zake Neema wakamwambia kwamba Neema na rafkiake Maria wamefeli ila mimi mdogo wake nimepasi. Dada alifurahi sana na mimi pia nilifurahi mno. Nilibahatika kukutana na Neema kesho yake na akanambia eti mimi ni mchawi nimewarogezea wao wamefeli hafu mimi kilaza nimefaulu. Nikamuitikia tu "poa" then tukaachana.
 
Mitihani ya taifa ya msingi hufanyika siku za Jumatano na Alhamisi. Wewe ulifanyaje Jumatatu?

Au mimi ndo sielewi majina ya siku? Hapo tu nimeishiwa hamu ya kusoma.
Nishaedt, mitihani mingi ukiachana na primary huanza j3 that's why skutulia kukumbuka ni siku ipi exactly tulianza paper skul ya msingi
 
Diploma tena?
 
2006....
Nilikuwa nina miaka 9 tangu Nimeajiriwa kwenye utumishi wa umma
NIlikuwa Tayari Senior officer.......
Mwandamizi wa utumishi wa umma
Hivi kwanini hamtaki tuwafuate nyuma nyuma mtuonyeshe njia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…