whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
kubana mavi kuna athari kiafyaTatizo ni mnapenda kunyakunya kila sehemu...
Kama ni dharura, hakikisha unatumia, karatasi au toilet paper halafu tumia maji ....sio unapiga misele na bahasha ya kaki hujia matumizi yake ya dharura....
Zaidi ya hapo, bana mavi yako kama mwendazake alivyosema ukanyee nyumbani na kuoga kabisa....
Imesimuliwa Abu Huraira: Nilimfuata Mtume wakati alikuwa anaenda kujisaidia. Alikuwa haangalii kushoto wala kulia. Kwa hivyo, nilipokaribia karibu naye aliniambia, "Nitafutie mawe ili nisafishie sehemu zangu za siri(au alisema kitu kinachofanana), na usilete mfupa au kipande cha dung." Basi nikaleta mawe katika kona ya vazi langu na kuziweka kando yake kisha nikamwacha. Alipomaliza (kutoka kusaidia) aliitumia mawe kujisafisha. (Sahih Bukhari 1: 4: 157)Tayari ushaingiza udini ewe mgalatia.
Waarabu=ustaarabu
Waarabu ndio wameleta ustaarabu huku, wewe mmatumbi ulikua hujui hata kujisafisha kutumia maji, leo hii umejua kutumia maji na kunawa mikono + sabuni halafu unawasema waarabu/waislamu!!
Eti wasomi 😁 wasomi gani hao hata kujisafisha hawajui badala yake wanatumia makaratasi kujifutia, sikiliza mkuu, kusoma sio kustaarabika, unaweza ukawa msomi na madegree 1000 lakini ukawa bado mjinga/sio mstaarabu.
All in All Uislamu umemaliza kila kitu.
dah umeniongezea kazi kumbe ukijamba yatakiwa utawaze tena doh huu usafi si ajabu taulo lako halichafukagi mwenzetuHapana wanakuwa wananuka mikojo na kinyesi,sababu ukikojoa tu inabidi uoshe tupu yako ya mbele na hata unapojamba,inabidi uoshe tupu yako ya nyuma
Daah issue ya Magunzi na majani umenikumbusha mbaaliSasa tutafanyaje mkuu, huku mjini magunzi utapata wapi.
Hata hapa Tarime tunampongeza 🤣Sisi wakurya tunakupa tano kwa uzi huu
Moja kwa moja Rorya aje apate kichuri.😂Hata hapa Tarime tunampongeza 🤣
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nimecheka kwa sauti, ha ha ha inabidi kuweka order ya magunzi kwa wachoma mahindi sasa tatizo wengi wananunua nakuondoka na mahindi yao![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa tutafanyaje mkuu, huku mjini magunzi utapata wapi.
Nyumba ya watu 6-8? Hizo tissue zitakuwa ngapi kuna watu wanapata choo×3 kwa siku [emoji23][emoji23][emoji23] kwa maisha yakawida haya haya labda!Tutumie tishu,ni buku jero tu Mangi. Ukimaliza nawa mikono kwa kutumia maji safi tililika pamoja na sabuni
Hili nikweli si uongo, halafu mtu ananunua mhindi anamkatia mwenzie , mie siri bora ninunue soda na biscuit basi!Hebu chukulia mfano kila unapoenda njooni unajifuta na tishu,unategemea uchafu wote utatoka?ndiyo maana gari au basi abiri wakishatoka kuchimba dawa hewa huwa inabadirika inakuwa nzito hii sababu wengi hawanawi wanabaki na mikojo pamoja na vinyesi
Ila wachina hawali kama sisi [emoji3][emoji3][emoji3] jenga vyoo viwili m'bongo na mchina baada ya wiki kagua chanani kinatoa uvundo!Hii habari ya kuchamba kwa maji tumeiga wahindi, na wanajulikana kwa uchafu. Niliona wachina wakiwaponda wahindi uchafu sababu wanatumia maji na mikono. Nao wahindi wanawaponda wachina kwa kutumia tishu.
Muda ukifika unaenda kuchuma kwenye bustani ya majani [emoji23][emoji23][emoji23]Bustani tutapata wapi watu wengine tunaishi store [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Normally, Any man should shake the pen*** after peeing to remove the urine that left but not to clean it with water.offcourse, might be......but its the good culture to comply with..... we normally take the good thing, otherwise you have to prove is not right thing.....
Please prove to me, cleaning the cork with water is not right and peeing without cleaning is right....
Vichaka vyenyewe .mjini viko vingapiHatimaye wazoefu wa kujisaidia vichakani mmepata vya kusapoti tabia zenu
HPylori wanaambukizwaje? Na kukaa na njaa au msongo wa mawazo havisababishi peptic ulcers.Peptic ulcers disease haina mahusiano ya moja kwa moja na uchafu
Maradhi haya yanahusishwa zaidi na tabia kama
Uvutaji sigara
Msongo wa mawazo
Genetiki za urithi
Muda mwingine kukaa na njaa
Dah mada nyingine naona ata Aibu kuchangiaHili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.
1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.
2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.
3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.
Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
Haha hata yale majani ya kuwasha huku mjini nayo hayapo,bila kutumia maji naona bado natembea na mavi, huyu bwana anatuletea mambo ya wazungu ambao wao wanatumia tissue hawachambi na ndio maana ukikaa karibu na mzungu utasikia kaharufu ka mavi kwa mbali.Sasa tutafanyaje mkuu, huku mjini magunzi utapata wapi.
Wananuka ubeberuHaha hata yale majani ya kuwasha huku mjini nayo hayapo,bila kutumia maji naona bado natembea na mavi, huyu bwana anatuletea mambo ya wazungu ambao wao wanatumia tissue hawachambi na ndio maana ukikaa karibu na mzungu utasikia kaharufu ka mavi kwa mbali.
Normally, Any man should shake the pen*** after peeing to remove the urine that left but not to clean it with water.
By the way we don't need to copy everything even though it's not lousy to clean the pen*** with water Sir.