Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

Tatizo ni mnapenda kunyakunya kila sehemu...
Kama ni dharura, hakikisha unatumia, karatasi au toilet paper halafu tumia maji ....sio unapiga misele na bahasha ya kaki hujia matumizi yake ya dharura....
Zaidi ya hapo, bana mavi yako kama mwendazake alivyosema ukanyee nyumbani na kuoga kabisa....
Hii nzuri. Karatasi kisha maji vizuri.
 
Et jamani watu wanachambia maji tangu nchi haijapata uhuru
Afu huyo anataka kusemaje [emoji23][emoji23]
Kwanza bahati nzuri zamani habari ya kulakula makachumbari na street foods yalikuwa si sana, ni kama hakukuwepo. Hili lilisaidia sana kutoeneza magonjwa. Leo kila mtaa una kibanda cha chipsi, mihogo nk nk. Kote watu wanabugia kachumbari mbichi na mavyakula mengine yaliyokuwa handled kwa mikono michafu.
 
alafu hyo toilet pepa unaiweka wapi?
Au kwenye mifuko yako.
Unaogopa kushika mavi yako wakati tumboni kwako ndo yamejaa?
Mimi sijawahi kuumwa UTI Wala vidonda vya TUMBO Wala sikumbuki lini niliumwa typhoid
Kikubwa angalia UNAKULA NINI?
Toilet paper ndiyo njia salama. M* vi ni m*vi tu hata kama ni ya kwako, kushika uchafu huo moja kwa moja ni shida!!
 
Tatizo mwenyewe wewe mreta maada hujui kuchamba,ngoja tukufundishe leo,Unapochamba utaosha kwanza tupu yako ya mbele halafu ifuate tupu ya nyuma,pili tunachamba kwa kutumia kidole kimoja cha mkono wa kushoto sio kiganja cha mkono,na baada ya kuchamba inabidi unawe maji mikono yote
Tupia na kapicha basi!
 
Ndo tuseme kuchamba kumekuja sasa mbona hayakuwepo magonjwa haya miaka ya nyuma
 
Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
We nae ni great thinker
Aisee
 
Hapana wanakuwa wananuka mikojo na kinyesi,sababu ukikojoa tu inabidi uoshe tupu yako ya mbele na hata unapojamba,inabidi uoshe tupu yako ya nyuma
You're not serious man,not serious at all.

How many times can a man clean his pen*** after peeing when he is not at home.

By the way cleaning pen**** with water is not an African tradition at all.
 
Ndo tuseme kuchamba kumekuja sasa mbona hayakuwepo magonjwa haya miaka ya nyuma
Zamani utamaduni wa kula vyakula vya mtaani ulikuwa mdogo. Leo mkata kachumbari mmoja anaweza hata ambukizw watu mia kwa siku.
 
Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
Kuna yale mavyoo ya kukaa siyapendi mtu na afya zako unaenda kukaa kwenye sinki kama mtoto anaenyea pot ni uzembe tu.Ukisasa unachangia kutulemaza kiasi fulani.
 
Hebu chukulia mfano kila unapoenda njooni unajifuta na tishu,unategemea uchafu wote utatoka?ndiyo maana gari au basi abiri wakishatoka kuchimba dawa hewa huwa inabadirika inakuwa nzito hii sababu wengi hawanawi wanabaki na mikojo pamoja na vinyesi
Hasa wenye makalio makubwa,
 
Back
Top Bottom