Nimeona tayari kesi husika Iko mahakamani hivyo, siwezi kutoa maoni zaidi tusubiri Sheria husika huko mahakamani ifanye kazi yake. AhsanteNimeshindwa hata kuelezea, naomba kufahamu kama ni sawa jaman,. Kuna mtoto mdogo hapo nimemuonea huruma sana.
Lakini serikal imekataza kuchapa watoto wawapo mashule, sasa swali, hapo ni wanaruhusiwa kuchapwa namna hiyo? Hakuna adhabu nyingine kwani ya kuwafanya wasirudie kosa?
Nawasilisha.
Cc: Doroth Gwajima
Hii sio nchi ya kidini.Acha kuchanganya
Regious issue na illegal issue hapo ni madrasa yako regulated na regious ethical issues japo zko against illegal
😁sasa mkuu si ungetwanga kiswahili tuAcha kuchanganya
Regious issue na illegal issue hapo ni madrasa yako regulated na regious ethical issues japo zko against illegal
Huyu mwandishi naye bila shaka ni zao la madrasa
Mkuu elezea zaidi nini kifanyike ?😆
kwa hiyo dini ya kiislam inaruhusu kuchapa watoto kikatili namna hii? ndivyo unavyotuambia?Acha kuchanganya
Regious issue na illegal issue hapo ni madrasa yako regulated na regious ethical issues japo zko against illegal