Ila kama kwer... iv iyo mifano ya hao wazungu wametokea familia za kitajiri ujue ... sasa inakuaje inakuwaje inafananishwa na maisha ya watu wauku@cariha kipenzi tolea mifano wabongo wenzako wazungu sio wenzetu kabisaa [emoji16][emoji16][emoji16]
Yanakuwaje ayoUnahitaji yale Maombi mfululizo yasiokoma, yale ya Ombeni bila kukoma
Nenda Telegram:
247 Prayers Army - Jeshi la Maombi
Maombi ya saa 24 kwa kila siku kwa kila mwaka yanafanyika kwa watu wa Mungu ili kusudi la Mungu liwe imara ndani yao. Karibu ungana nasi.t.me
Huku ni kachalala mbwa Koko ni mwendo wa kunuka umasikini.. usifananishe wazungu na utopolo wa huku Africa asee [emoji848]Ila kama kwer... iv iyo mifano ya hao wazungu wametokea familia za kitajiri ujue ... sasa inakuaje inakuwaje inafananishwa na maisha ya watu wauku
Una bahati sana ila hujui tu, hapo huna familia na usilogwe kufanya hivyo.Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu , natumai ni wazima wote....
Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu....
Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa
Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa
Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi... (30yrs now) NIMECHELEWA
Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga... NIMECHELEWA
Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now)NIMECHELEWA
Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote .. (30yrs now) NIMECHELEWA
Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa ..(30yrs now) NIMECHELEWA
Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA
Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu .. (30yrs now) NIMECHELEWA
Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha.. (30yrs now) NIMECHELEWA
Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA
Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe,
niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu
Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu.
Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA
Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota...ila mwez wa kumi sasa ..
-----------------NIMECHELEWA----------------
Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida
Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu...
Wewe si wa kijijini[emoji16][emoji16][emoji16]
Kumaniner mwenyewe
Huenda ana matamanio ya vitu ambapo vingine vitamfanya afariki mapemaMbona ushaur wa knabii huu... unaweza fafanua kdogo zaid ya apo
Huyo tatizo lake ni tabia mbaya, ila wewe huwezi kuzijuwa.Mda wako bado sana ila nimegundua kitu hao wanaokulazimu kuoa ndo presha ipo hapo kuna sister mwezi mmoja uliopita alitimiza miaka kam yako sema yeye ana position nzuri kazini pesa anayo ni mchapa kazi sasa mi sijui maisha yake ila wakati watu wanamuwish mara wanampost akiwa kweny gari yake mara kwake amejenga kigamboni
kuna kundi kubwa wanamwambia sijui wanamtania ila kama wanamlaumu eti umri wa 30 huna mtoto wala mchumba ila nikaona kama anachukia fulani na kujiona mnyonge wamkazania hat mi nikajua kumbe hana mtoto ni mtu mzima kabisa analea wadogo zake hapo kwake na kuna katoto kapiga nacho picha kumbe ni mtoto wa mdogo wake
wako wengi yaani hapo 27 27 mpaka 28 hawan watoto na hawana wasiwasi huyo dada ni mtani sana sidhani kama anadharau mtu wa kjichanganya mnoHuyo tatizo lake ni tabia mbaya, ila wewe huwezi kuzijuwa.
Ni ngumu sana mwanamke smart kukosa life partner au sperm donor.
Kuna vidada vikishakuwa na check number ni tatizo na dharau kedekede na kujiona wapo class ya juu wakati wanaume wenye class hizo hawana time nao.
Hujachelewa, na hasa kwa kuwa umejitafakari.Habari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu , natumai ni wazima wote....
Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu....
Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa
Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa
Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi... (30yrs now) NIMECHELEWA
Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga... NIMECHELEWA
Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now)NIMECHELEWA
Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote .. (30yrs now) NIMECHELEWA
Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa ..(30yrs now) NIMECHELEWA
Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA
Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu .. (30yrs now) NIMECHELEWA
Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha.. (30yrs now) NIMECHELEWA
Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA
Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe,
niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu
Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu.
Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA
Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota...ila mwez wa kumi sasa ..
-----------------NIMECHELEWA----------------
Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida
Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu...
Sijui. Mm nawasomaga tuYanakuwaje ayo
Mkuu Pierre Liquid Mzee?kwenye maisha hakuna kuwahi wala kuchelewa,kila jambo ni kwa muda wake na Mungu ndio hujua jambo gani na atupe kwa muda upi,
Hao unaowafanyia kazi uwe unaandikishana nao au kabla ya kuwafanyia kazi wawe wanakulipa 50% ya gharama na ukimaliza kazi zao wanamalizia 50% iliyobaki,
Mfano mmoja ni Biden amekua Rais wa USA akiwa na umri wa miaka 78
Babu wa Loliondo alitoboa uzeeni,
Mzee mpili kapata umaarufu uzeeni
Pierre liquid katoboa uzeeni...
Enjoy ur life bro,usisubiri kukamilisha jambo fulani ndio uwe na furaha,uhai wenyewe ni zawadi tosha kabisa,
Good luck Brother.
Asipokuelewa hapa labda aende sayari nyingine akaishi, good advice.Sijaona ukilaumu umechelewa kufa maana wapo wanaokufa chini ya 30yrs
Jifunze kushukuru kwa yote kuna watu wa umri wako hawana ulivyo navyo wewe na bado Wana matumaini
Kwa miaka 30 bado kijana kabisa na muda wa kutimiza yote hayo bado upo
Sijaona sehemu ulipo chelewa ni suala la muda tu mambo yatakuwa powa
We mku*du nini? Kuna mahali amesema hii story ya kweli? Acha ujinga kima wewe. Nimekuonya sana kuharibu nyuzi za watu.Hii story ya kutunga
[emoji38][emoji38][emoji38]SI Bora ungenitengenezea Mimi app nikupe hata laki Moja duh ila asee yaani amekupa 20000,30000 tu halafu Ni ma star...wakati mm kapuku ningekuwezesha nyingi Zaidi pole Sana ndo maana naonaga Bora mtu ufanye kazi na maskini kuliko na matajiri maana Wana dharau hawalipi madeni
Miaka 30 mbona huna tofauti na Mimi 28....
Sina mke
Sina mtoto
Sina mchumba
Bht nzuri tu Mimi Nimefanikiwa kuingia Serikali mwaka huu pole tusikate tamaa...tutafute mademu wa vijijini ndo rahisi kuwazalisha Hawa wa mjini cum a Nina zao
Wewe pia inaonekana bado mdogo, huwajui wanawake.wako wengi yaani hapo 27 27 mpaka 28 hawan watoto na hawana wasiwasi huyo dada ni mtani sana sidhani kama anadharau mtu wa kjichanganya mno