Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
UsiendekeA uwogaUnaanzaje kuoa wakat hata ww pesa ya kula haikutosh... kwang mm haiko sawa.. mkuu.. mtoto wa watu yuko ndan na ww hujui pesa unaenda kuipata wap ... kuna mda uwoga n akili ya kujpanga
Dah umeandika point yenye mashiko mno most of the time Watanzania tunatafta maisha na kusahau kuishi na ku enjoy life, most tunafikiria kuwa maisha ni kuwa na hela,majumbo n.k kumbe ukipata hichi utataka kitu kingine, maisha ni haya haya tuishi na tufurahi as if kesho haipo tena kwetu, kipindi niko jobless nilikuwa najiambia nikipata kazi nzuri nitakuwa na furaha baada ya kuipata zikatokea changamoto nyingine.Kosa kubwa tunafanya wabongo ni muda wote kutafuta maisha badala ya kuishi, ukiamuwa kuishi maisha ni burudani tu.
Hapo ndio ugomvi wangu na wife ulipo, sitaki kuwa mtumwa wa maisha nahitaji kurelax,Dah umeandika point yenye mashiko mno most of the time Watanzania tunatafta maisha na kusahau kuishi na ku enjoy life, most tunafikiria kuwa maisha ni kuwa na hela,majumbo n.k kumbe ukipata hichi utataka kitu kingine, maisha ni haya haya tuishi na tufurahi as if kesho haipo tena kwetu, kipindi niko jobless nilikuwa najiambia nikipata kazi nzuri nitakuwa na furaha baada ya kuipata zikatokea changamoto nyingine.
N. B tukumbuke kuishi na kufurahia maisha kuliko kukimbizana na material things na kusahau kuishi
Kwa Tanzania watu waliotafuta pesa kiuhalali, huwezi kutobowa ukiwa under 40.Na ukicheza utagonga 40 huna hata godoro [emoji1][emoji1]
Kifupi haupo peke yako, enjoymaisha yako na kile kidogo ulichonacho ukianza kujifananisha na wengine ni mwanzo wa kufa kwa stress.
Wife wako hajui purpose ya life kuwa ni ku enjoy life tayari mnapo pakulala na mna watoto mnasomesha plus investment kadhaa why stressing much rather than enjoying life?Hapo ndio ugomvi wangu na wife ulipo, sitaki kuwa mtumwa wa maisha nahitaji kurelax,
Nyumba nzuri ya kuishi ipo, asset kiasi chake watoto wanakula ada ndefu mashuleni kwao still bado mtu anataka akuingize kwenye mambo ya kujenga usawa huu hapana kwakweli.
Hawa watoto wa sasa kama unaivest peea nyingi kwenye elimu yao na isije kuwasaidia basi hata ukijitesa kuwaachia asset nyingi hazitowasaidia kamwe, sanasana wataishia kuuza tu.
Ndio una mpango wa kugombea na ubunge,pambanaSI Bora ungenitengenezea Mimi app nikupe hata laki Moja duh ila asee yaani amekupa 20000,30000 tu halafu Ni ma star...wakati mm kapuku ningekuwezesha nyingi Zaidi pole Sana ndo maana naonaga Bora mtu ufanye kazi na maskini kuliko na matajiri maana Wana dharau hawalipi madeni
Miaka 30 mbona huna tofauti na Mimi 28.
Sina mke
Sina mtoto
Sina mchumba
Bht nzuri tu Mimi Nimefanikiwa kuingia Serikali mwaka huu pole tusikate tamaa, tutafute mademu wa vijijini ndo rahisi kuwazalisha Hawa wa mjini cum a Nina zao
All in all UMECHELEWAHabari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.
Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.
Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.
Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa
Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA
Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA
Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA
Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA
Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA
Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA
Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA
Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA
Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA
Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.
Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA
Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa
-------NIMECHELEWA------
Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida
Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
Watu wengi wanacomplicate sana maisha, halafu hapohapo kuna mpumbavu anapata ujasili wa kusema huna akili eti!! [emoji1][emoji1]Wife wako hajui purpose ya life kuwa ni ku enjoy life tayari mnapo pakulala na mna watoto mnasomesha plus investment kadhaa why stressing much rather than enjoying life?
Mkumbuke kuishi na kuwa Leo ni njema kuliko kesho usiyo ijua
Asipokuelewa hapa basi hata kaa aelewe, cha msingi asikate tamaa,kuna watu wanasema life start at 40Pambana bongo life n ngumu sana mm aliekua ananipa ushauri ye mwenyewe alijinyonga nikabak mm niliekata tamaa kwahiyo maisha hayanaga mwenyewe yakiamua kukuchenjia yanakuchezeshea bakora ujana wako wote na kukuacha uyafaidi uzeeni, au uyafaidi ujanani na uteseke uzeeni au yakucharaze bakora mwanzo mwisho japo wapo wanaoishi vizuri mwanzo mwisho haya yote kaandaliwa mwanadamu ndo maana mwsho wa siku kuna kifo kwa wote pale ndo usawa unarudi ila dunian hakuna usawa Cha msingi tufanye kaz kwa bidii na tumuombe Mungu.
Ikawaje?HUJACHELEWA,
Ni nani aliyekwambia, "UMECHELEWA"?
Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kutoka nyumbani.
Aliyekuumba ana "MAKUSUDIO" makubwa juu ya yako kwa kuanza maisha wakati huu.
KUTOKA 4:2 "BWANA akamwambia Musa, Ni nini hiyo uliyonayo mkononi? Musa, Akamwambia, Ni "FIMBO" "?
Wewe una nini mkononi mwako kama "FIMBO" kwa sasa?
Ulichonacho mkononi mwako kitumie kama "FIMBO" kwa sasa. HAPO NDIYO MAHALI PA KUANZIA KWAKO.
Je, Kwangu mimi ipi ilikuwa "FIMBO" yangu wakati naanza maisha? MAEMBE.
Sikuwa na KAZI, AJIRA, wala SHUGHULI iwayo yoyote wakati namaliza shule.
Nikatoka nyumbani nikachume "MAEMBE" kwenye miti nikajaza ndoo kubwa (ya lita 20) ili niende kuyauza kwa wakulima.
Pale nilipochuma MAEMBE kuna jirani mmoja wa kike akaniomba EMBE MOJA wakati naondoka.
SWALI, Jirani yule, ana MIEMBE zaidi ya KUMI (10) ya MAEMBE tena yako karibu, "kwa nini aliniomba EMBE moja tu wakati yamejaa pale pale kwake?"
Akachukua EMBE moja akala, akaniuliza, "Kuna kazi nikikuunganishia utaweza kuifanya"?
Amekusaidia kutangaza biashara,,lipieni bangoUbarikiwe sana mkuu, Ubarikiwe sana sana
Nimechelewa tu kuandika hii article ila umesahau kuniambia.baro na muda wa mafanikio mfupi.pambanaHabari zenu binadam wenzangu, wanajamii wenzangu, natumai ni wazima wote.
Swali linalo nisumbua na kunitesa hadi sasa ni kwanini nipo kwenye mfumo wa kuchelewa chelewa sipati jbu.
Umri wa mwanadamu wa kuishi ni miaka 60 tu, na mimi miaka 30 sasa ni Nusu ya umri wa binadam kuishi duniani ila sioni nilichofanya hadi sasa najiona nimechelewa.
Mfano halisi ,baadhi ya sehemu nilizochelewa
Mzee wangu alinipa matumaini makubwa sana ya kusapoti life pindi mafao yatakapo toka(pensheni) ila mafao yake yalipoingia tu akanipiga chini na kunifukuza home kabisa bila sababu za msingi (30yrs now) NIMECHELEWA
Sasa Nina miaka 30, ila nina miezi mitatu tu hadi sasa ya kupanga sijawahi kupanga, NIMECHELEWA
Sijawahi kuajiriwa hata siku 1. Ila nimewahi kufanya kazi chuo kikuu ya kurekebisha na kutengeneza vifaa vya maabara mfano kutengeneza test tube, kuripea burrets zilizovunjika kwa muda wa miaka 3 pale chuo kikuu (UDSM) bila malipo. (30yrs now), NIMECHELEWA
Nina majonzi ya kutengeneza app tokea nna miaka 25 ninajfunza tu ninajfunza Ila hazijanipa muelekeo wowote. (30yrs now) NIMECHELEWA
Napenda sana kufanya project zangu mwenyewe lkn Kila nikipanga mipango haitimii kwa wakati, inachelewa sana sana na haijatimia hadi sasa. (30yrs now) NIMECHELEWA
Sasa Ndugu Wameanza kunitamkia live, mbele ya sura yangu nioe wameniona ..NIMECHELEWA
Marafiki zangu wote wana watoto kasoro mimi tu, (30yrs now) NIMECHELEWA
Hadi sasa sina mpenzi wakusema huyu nifanye nae life hahaha. (30yrs now) NIMECHELEWA
Miaka 14 imepita tokea nimalize form 4, sioni jambo la msingi nililofanya (30yrs now) NIMECHELEWA
Pesa yangu siielewi inaingia kimazabe zabe, niliwatengenezea watu wawili website, mmoja ni mtu maarufu tu star mkubwa mwenye kanisa lake town hapa ila aliishia kuniahidi tu, mwisho wa siku niliambulia elfu 20 yake kutoka kwenye makubaliano ya 600,000sh nayo alinipa kwa sababu alijistukia kupoteza muda wangu.
Mwingine ametoka kunipa elfu 30 wakati alitakiwa kunipa 500,000 sh na story kibao za kuninyima haki yangu. Miaka 30 nafanya dili dhaifu kama hizi kweli NIMECHELEWA
Almost kila siku tokea mwaka huu uingie nawaza kusafisha nyota ila mwez wa kumi sasa
-------NIMECHELEWA------
Ok huku kuchelewa nakuona sio kwa kawaida
Yoyote Aseme kitu kinaweza kuwa mwanga wa safari yangu.
I agree with you sema mifumo tu ya life huku hata utendaji wa kazi na masilahi hayaeleweki sanaWatu wengi wanacomplicate sana maisha, halafu hapohapo kuna mpumbavu anapata ujasili wa kusema huna akili eti!! [emoji1][emoji1]
Umaskini wa akili ni kitu kibaya sana kuliko mali, ukicheck mfumo wa wenzentu mshahara wanalipa kila ijumaa kwa sababu wanaamini unastahili kuwa na weekend nzuri, ndio chimbuko la msemo wa have a nice weekend unapewa check yako au bahasha na ukirudi jumatatu ni blue Monday mnaanza upya.
Katika style ya namna hii huwezi kuwa msindikizaji kwenye maisha, unaenjoy life every weekend.