gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Kuna tofauti kati ya israeli kuchaguliwa na Mungu kua taifa lake teule lakumwelezea hapa duniani na wayahudi kumkubali yesu.kwasababu yesu aliikuta tayari israeli imeshachaguliwa kua teule.Kwa mujibu wa vitabu vya dini ya kikristo vinaonyesha mahusiano ya wayahudi na Mungu yalikuwepo miaka mingi iliyopita kabla ya yesu kuja na badae kukapita kipindi cha maasi na Mungu akawaacha hadi walipomrudia Mungu nayeye akamtuma yesu kuja kuwakomboa.Yesu alikuja kwa ajili yakukomboa binadamu wote ila wayahudi walitumika kama kielelezo kuwakilisha wanadamu wote.sasa swala la wao kutokumkubali yesu hiyo ni shida yao kwasababu sio lazima wawe wote wanaomkubali ndio ujue Mungu aliwateua.Ila kupitia wao kama kiwakilishi imani ya yesu imeenea dunia nzima na ilo ndilo lilikua lengo la Mungu.Mungu akuwateua ili wawe watakatifu bali wafanye kile ambacho alikusudia na kupitia wachache kazi imefanyika na sasa inafanywa na mataifa mengine ila lengo ni lile lile kuhubiri injili kwa kila taifa na kabila..Ukisoma biblia yako vizuri yote utayaona uko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app