Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kuna tofauti kati ya israeli kuchaguliwa na Mungu kua taifa lake teule lakumwelezea hapa duniani na wayahudi kumkubali yesu.kwasababu yesu aliikuta tayari israeli imeshachaguliwa kua teule.Kwa mujibu wa vitabu vya dini ya kikristo vinaonyesha mahusiano ya wayahudi na Mungu yalikuwepo miaka mingi iliyopita kabla ya yesu kuja na badae kukapita kipindi cha maasi na Mungu akawaacha hadi walipomrudia Mungu nayeye akamtuma yesu kuja kuwakomboa.Yesu alikuja kwa ajili yakukomboa binadamu wote ila wayahudi walitumika kama kielelezo kuwakilisha wanadamu wote.sasa swala la wao kutokumkubali yesu hiyo ni shida yao kwasababu sio lazima wawe wote wanaomkubali ndio ujue Mungu aliwateua.Ila kupitia wao kama kiwakilishi imani ya yesu imeenea dunia nzima na ilo ndilo lilikua lengo la Mungu.Mungu akuwateua ili wawe watakatifu bali wafanye kile ambacho alikusudia na kupitia wachache kazi imefanyika na sasa inafanywa na mataifa mengine ila lengo ni lile lile kuhubiri injili kwa kila taifa na kabila..Ukisoma biblia yako vizuri yote utayaona uko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unasukumwa na Chuki fulani hivi.....Israel ni Wanyama tu.....Ila Hamas ni nini.....unajua unachokiandika? .....Waliposhinda uchaguzi dhidi ya PA ( Wapelestine wenzao) ....ndio ulikuwa mwisho wa Demokrasia Gaza.......Hivi una mapenzi dhidi ya Hamas kwa kusoma Charter yake, au ni muhemuko wa mtandaaoni....Soma Charter yao....wameipunguza makali...lakini bado ina vipengele kama hivi.

Soma Hamas Charter ARTICLE 7

Article Seven of the Charter concludes with a quotation from a hadith: The Day of Judgment will not come until Muslims fight the Jews, when the Jew will hide behind stones and trees. The stones and trees will say, 'O Muslim, O servant of God, there is a Jew behind me, come and kill him.'

Labda hii itakusaidia kujua ni nini kinaisukuma Hamas........Hii chuki haikuanza 1948......Ni toka Quran ilipoteremshwa....Wakati huo hao Mabeberu hawakuwepo.....Ulaya iliyokuwepo sii hii ya leo.... Kila Muislamu safi dini ina mruhusu kusupport Hamas....na Kuichukia Mayahudi ( kama wanavyowaita wao)

Sasa wewe mmatumbi mwenzangu ni nini kinachokusuma.....?

Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.

Hata Waislamu wanaamini Hiyo ni ni chi takatifu (Wakfu) Kwa maelezo ya Quran ....Soma Charter ya Hamas.

Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)

Umeona.....The Land of Palestine is an Islamic Waqf........Holly Possession......
 
Si mwanadamu amesema ,ni Mungu amesema. Wewe uliye udongo tu unamuuliza mfinyanzi? Usiniambie Mungu, kama wanakosea atawaadhibu yeye mwenyewe siyo Wewe.
Kuna sehemu mwandishi katoa adhabu?
 
Naona unasukumwa na Chuki fulani hivi.....Israel ni Wanyama tu.....Ila Hamas ni nini.....unajua unachokiandika? .....Waliposhinda uchaguzi dhidi ya PA ( Wapelestine wenzao) ....ndio ulikuwa mwisho wa Demokrasia Gaza.......Hivi una mapenzi dhidi ya Hamas kwa kusoma Charter yake, au ni muhemuko wa mtandaaoni....Soma Charter yao....wameipunguza makali...lakini bado ina vipengele kama hivi.

Soma Hamas Charter ARTICLE 7

Article Seven of the Charter concludes with a quotation from a hadith: The Day of Judgment will not come until Muslims fight the Jews, when the Jew will hide behind stones and trees. The stones and trees will say, 'O Muslim, O servant of God, there is a Jew behind me, come and kill him.'

Labda hii itakusaidia kujua ni nini kinaisukuma Hamas........Hii chuki haikuanza 1948......Ni toka Quran ilipoteremshwa....Wakati huo hao Mabeberu hawakuwepo.....Ulaya iliyokuwepo sii hii ya leo.... Kila Muislamu safi dini ina mruhusu kusupport Hamas....na Kuichukia Mayahudi ( kama wanavyowaita wao)

Sasa wewe mmatumbi mwenzangu ni nini kinachokusuma.....?
Hamas wanajulikana kuwa ni magaidi na wana afadhali kuliko namna wayahudi wanavyofanya unyama huku media kama CNN zikiwapamba kwa kutotangaza mabaya yao.

Kitendo cha wao kumiliki media za magharibi kunawafanya wapokeaji wa habari wajazwe uongo mwingi kwa makusudi kabisa.

Ni mabingwa wa propaganda wenye kuitawala dunia, kibaya cha kwao hakiongelewi hata siku moja. Wangekuwa na uungwana na utulivu afadhali ingekuwa kwani wangepimwa sawa na binadamu wengine. Hawana uungwana hawana utulivu wa hulka.

Wayahudi hufanya mkutano wao mkuu kila baada ya miaka miwili, wana oganaizesheni nzuri hivyo ni rahisi sana kuficha madhambi yao na kuishambulia Hamas kwa propaganda zao zilizojaa udhalimu.
 
Steven sijatumia Biblia hata kidogo katika arguments zangu......Wayahudi wana historical claims kama ambavyo Wapestina walivyo na Historical claims na hiyo sehemu....Western countries wana sababu mbali mbali za ku support Israel, kama ambavyo nimeainisha Waarabu nao wana sababu isiyofichika (Imani) kuwa tetea Wapelestine......deep down Waarabu na uwezo wao wote Wangeweza kuisaidi Palestine ku settle na kujitegemea......Jordan haitaki kuwasikia na imewahi kuwafukuzwa....Egpty imebidi ibembelezwe na Marekani na Qatar kufungua tu mipaka misaada iingie.....Imekataa katu katu kutaka Wapestine waingie....Na pesa zote walizo nazo Saudia...huoni chochote cha maana ni matamko tu! Ndugu yangu behind the scene hao ni Warabu koko mbele ya ndugu zao.
Udhaifu wa wapalestina hauwezi kuwa ndio uhalali wa ubaguzi wa wazi kabisa unaoendelea kule Israel.

Waisrael wanafanya mambo ambayo dunia iliyakataa miaka ya 70 na 80, wanafanya apartheid ya wazi kabisa, sera zilizolaaniwa na wasomi pamoja na wanamuziki wakubwa wa dunia enzi zile.

Ni mabingwa wa propaganda waliokamata vyombo vya habari, vyombo vya kiserikali vya mataifa ya magharibi, hivyo habari zao siku zote ni zile nzuri tu ila zile za Hamas ndio mbaya!.
 
Wayahudi walimkataa Yesu ili sisi wa mataifa mengine tupate wokovu,lakini biblia imesema upo wakati wao wa kutubu tena na kumkubali Yesu kama mwokozi wao.
 
Hamas wanajulikana kuwa ni magaidi na wana afadhali kuliko namna wayahudi wanavyofanya unyama huku media kama CNN zikiwapamba kwa kutotangaza mabaya yao.

Kitendo cha wao kumiliki media za magharibi kunawafanya wapokeaji wa habari wajazwe uongo mwingi kwa makusudi kabisa.

Ni mabingwa wa propaganda wenye kuitawala dunia, kibaya cha kwao hakiongelewi hata siku moja. Wangekuwa na uungwana na utulivu afadhali ingekuwa kwani wangepimwa sawa na binadamu wengine. Hawana uungwana hawana utulivu wa hulka.

Wayahudi hufanya mkutano wao mkuu kila baada ya miaka miwili, wana oganaizesheni nzuri hivyo ni rahisi sana kuficha madhambi yao na kuishambulia Hamas kwa propaganda zao zilizojaa udhalimu.

Kuna mengu hujui.....na kweli hujui....anayefahamu Western Media...CNN ni chombo ambacho kiko kinyume na Israel...Hiyo inajulikana wazi.....Unataka nikupe shule ya za Media za US na misimamo yao?

Sio kwamba Hamas wanajulikana ni magaidi....Charter yao inaonyesha hivyo....Nimekuonyesha Charter yao na mismamo wao....Wewe unasemaje?
 
Udhaifu wa wapalestina hauwezi kuwa ndio uhalali wa ubaguzi wa wazi kabisa unaoendelea kule Israel.

Waisrael wanafanya mambo ambayo dunia iliyakataa miaka ya 70 na 80, wanafanya apartheid ya wazi kabisa, sera zilizolaaniwa na wasomi pamoja na wanamuziki wakubwa wa dunia enzi zile.

Ni mabingwa wa propaganda waliokamata vyombo vya habari, vyombo vya kiserikali vya mataifa ya magharibi, hivyo habari zao siku zote ni zile nzuri tu ila zile za Hamas ndio mbaya!.

Na Hamas wanafanya nini...Just pure barbaric za stone age....au hilo hujaliona?
 
Mitandao bwana, unaongea na mtu usiyemjua uelewa wake na background yake.
KAZI KWELI KWELI.
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa Ukristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Wayahudi tuwape benefit of Doubt kwamba wakati Yesu anakuja basi walikuwa hawajawa na uelewa mzuri kuhusu Yesu. Let us Assume in that way

Je hadi leo after 2000+ yrs bado hawajajua kama Yesu ni Mkombozi?
 
Wamebarikiwa halafu wanaishi katika vita isiyoisha?!
Mungu aliwachagua ili watimize kusudi alilokusudia sio ili waishi kama wafalme.na ilo kusudi la Mungu sio kitu kinachokuja kirahisi kwasababu wanaopinga ilo kusudi ni wengi zaidi kuliko wanaokubali.Hii migogoro ya sasa ni vitu vidogo sana ukilinganisha na vita ambazo zilishapiganwa uko miaka ya nyuma.Ata dunia ya leo ukiwa na kusudi lakukomboa watu kutoka kwenye udhalimu wa serikali lazima uandamwe kila siku kwasababu za hapa na pale.Iko hivyo dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamas wanajulikana kuwa ni magaidi na wana afadhali kuliko namna wayahudi wanavyofanya unyama huku media kama CNN zikiwapamba kwa kutotangaza mabaya yao.

Kitendo cha wao kumiliki media za magharibi kunawafanya wapokeaji wa habari wajazwe uongo mwingi kwa makusudi kabisa.

Ni mabingwa wa propaganda wenye kuitawala dunia, kibaya cha kwao hakiongelewi hata siku moja. Wangekuwa na uungwana na utulivu afadhali ingekuwa kwani wangepimwa sawa na binadamu wengine. Hawana uungwana hawana utulivu wa hulka.

Wayahudi hufanya mkutano wao mkuu kila baada ya miaka miwili, wana oganaizesheni nzuri hivyo ni rahisi sana kuficha madhambi yao na kuishambulia Hamas kwa propaganda zao zilizojaa udhalimu.
Sio kwamba wanajulikana ni magaidi......Charter yao inaonyesha hivyo....Walichokifanya October 7th kimedhirisha hivyo....Labda hujui kilichotokea.....
 
Mungu aliwachagua ili watimize kusudi alilokusudia sio ili waishi kama wafalme.na ilo kusudi la Mungu sio kitu kinachokuja kirahisi kwasababu wanaopinga ilo kusudi ni wengi zaidi kuliko wanaokubali.Hii migogoro ya sasa ni vitu vidogo sana ukilinganisha na vita ambazo zilishapiganwa uko miaka ya nyuma.Ata dunia ya leo ukiwa na kusudi lakukomboa watu kutoka kwenye udhalimu wa serikali lazima uandamwe kila siku kwasababu za hapa na pale.Iko hivyo dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama ccm vile......ukiwa na mipango mizuri ya Kitaifa wanakuandama hata kukuzima
 
Mungu aliwachagua ili watimize kusudi alilokusudia sio ili waishi kama wafalme.na ilo kusudi la Mungu sio kitu kinachokuja kirahisi kwasababu wanaopinga ilo kusudi ni wengi zaidi kuliko wanaokubali.Hii migogoro ya sasa ni vitu vidogo sana ukilinganisha na vita ambazo zilishapiganwa uko miaka ya nyuma.Ata dunia ya leo ukiwa na kusudi lakukomboa watu kutoka kwenye udhalimu wa serikali lazima uandamwe kila siku kwasababu za hapa na pale.Iko hivyo dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zote hizi ni imani ambazo hakuna mwenye uhakika kama ziko sahihi au ni mambo ya kufikirika tu kwa malengo fulani.
 
Bush Dokta,

Umewahi kusoma Biblia.....? Kama umesoma Labda
Mkuu Majani ya Muhogo Bibilia nimesoma sana na kwa kusoma bibilia na kuzama ndani hasa Middle East Old History nilifanya Tour Nchini Israel na Yerusalem Nzima.

Mambo niliyogundua kuna siku nitakuja na Post maalum hapa tuweze kupeana uzoefu.
 
Back
Top Bottom