Wapalestina wameishi pale kabla ya mwaka 1948, hawa waisrael walifurumushwa huko Ulaya na ndio wakapokelewa pale, na waliwakuta wenyeji pale wameshakaa miaka na miaka.
Kigezo cha uisrael wao ni eti maandiko ya kwenye Biblia!, wanaweza vipi kuhusianisha wale walioandikwa kwenye kitabu kitakatifu na babu zao?. Ni washenzi hawa wazayuni, kila uchwao wanahamisha wenyeji waliowakuta mahali hapo kutoka kwenye ardhi nzuri na kuwakaribisha hawa Kharzari Jews kutoka Poland, Russia, Ukraine na kwa ujumla kutoka Ulaya Mashariki.
Ni watu washenzi tu ambao wanaumbuliwa sana hivi sasa kupitia mitandao ya habari haswa instagram, kibaya zaidi wameikamata USA na marais wa Marekani wanaona aibu kuwaambia ukweli wakifahamu misingi waliyonayo kwenye taasisi za kule, wamejaa Pentagon wamejaa Hollywood, wamejaa pale Capitol Hill wakishughulika na siasa za kila siku za Marekani.
Marais wa Marekani wanajikuta ni mateka wa sera za kibaguzi za kizayuni, mfano ni namna Obama anavyoendelea kujutia maamuzi yake ya kumuua Ghadhafi bila ya kosa lolote lile, kisa tu presha za mazayuni na sera zao za dhuluma na wizi.
Unajua pale Gaza kuna utajiri mkubwa kiasi gani wa gesi ya asili?. Una thamani ya dola za kimarekani bilioni 500, Mmarekani na myahudi udenda unawatoka kila wanapoutazama utajiri huu, wanataka watengeneze mazingira ya mauaji ya halaiki kama kule Iraq kwa kigezo tu cha kupata mali ya wapalestine, washenzi wakubwa hawa mazayuni.