Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Shida watu wakipata pesa kidogo au wakiwa na afya njema huwa hawaoni uwepo wa Yesu wala Mungu subiri awe kwenye shida, hata Babu Oseya(mwanamziki) wakati yupo gerezani alituma ujumbe kuwa siku akitoka gerezani atamtukuza MUNGU na kumtumikia lakini baada ya kutoka akarudi kule kule. Lisu alipigwa risasi 38 lakini hakufa hapo hapo kuna watu wakipigwa hata na manati wanakufa.
Mkuu sio kweli, mbona wenye imani wanalazwa pamoja na wasio na imani hospitalini? Kwa nini Yesu asiwaondelee hilo tena mbele ya wasio amini?
 
Steven,

Rudi shuleni tena kusoma Historia......Inaonekana ni kipofu na maamuma kabisa na historia ya Middle East.....Hujui hata Zionism ni nini....Labda soma maandishi ya msingi ya akina Theodor Herzl na wenzie ndio utajua maana ya Zionism.

Kama unasema hawa Wayahudi ni Wayahudi Wakwavi......Vipi Kuhusu Wapalesina Hujui hata Waarabu wenzao wanaona ni Waarabu koko tu.....Ndio Maana Jordan iliwafukuza....Egpty inashindwa kabisa kutaka waingie kwao...Hakuna nchi ya Waarabu kiundani inawakubali 100% .Kinachowaunganisha ni imani ya Kiislamu, hasa Uadui wa Uislamu ambao una mizizi ndani ya Quuran na lugha tu Hakuna kingine! .....Hebu tueleze taifa la Wapelestine limewahi kuwepo lini? Nani amewahi kuwa kiongozi wa taifa hilo kihistoria....maybe urudi hadi 1948.....Liko kinadharia tu.....Jiulize Yasser Arafat alianzisha PLO lini.....na maisha yake mengi kaishi Tunisia na alizaliwa Egpty..nadhani alirudi Gaza 1994! Hata kufia amefia France......ambako alikuwa anaishi muda mwingi......na akiwa na pesa kama $1 to 3 Billion kwenye accounts zake alizozichota kwa kuwazuga Waarabu na Western World anapigania taifa ambalo liko kwenye makabrasha.....!

Na unajua ushenzi wa Hamas wewe? Sisemi Ushenzi wa Hamas dhidi ya Wayahudi, bali ushenzi wa Hamas dhidi ya Wapelestine wenzao....! Unajua utajiri wa akina Ismael Haniyeh, Mousa Abu Marzuk na Khaleed Mashal....Hawa ni viongozi wa Hamas na Hawakai Gaza......Utajiri wao unakadiriwa ni $ 11 Billion.....Wanatumbua Qatar.....Pesa ikipelekwa Gaza ni kuchimba Mahandaki......na wakianzisha Uchokozi dhidi ya Israel, wakipigwa kidogo pesa zinamiminika mifukoni mwao toka Iran na Warabu wenye mrengo wa Jihad, na Humanitarian organizations.......Gaza ingelikuwa Singapore kama sio ushenzi wa viongozi wa Palestine kwa wenzao.....Huu ni mradi......Tafakari kidogo kabla kuandika, usijiingize kwenye bandwagon ya watu wengi ambao wamekuwa brainwashed.....
Wapalestina wameishi pale kabla ya mwaka 1948, hawa waisrael walifurumushwa huko Ulaya na ndio wakapokelewa pale, na waliwakuta wenyeji pale wameshakaa miaka na miaka.

Kigezo cha uisrael wao ni eti maandiko ya kwenye Biblia!, wanaweza vipi kuhusianisha wale walioandikwa kwenye kitabu kitakatifu na babu zao?. Ni washenzi hawa wazayuni, kila uchwao wanahamisha wenyeji waliowakuta mahali hapo kutoka kwenye ardhi nzuri na kuwakaribisha hawa Kharzari Jews kutoka Poland, Russia, Ukraine na kwa ujumla kutoka Ulaya Mashariki.

Ni watu washenzi tu ambao wanaumbuliwa sana hivi sasa kupitia mitandao ya habari haswa instagram, kibaya zaidi wameikamata USA na marais wa Marekani wanaona aibu kuwaambia ukweli wakifahamu misingi waliyonayo kwenye taasisi za kule, wamejaa Pentagon wamejaa Hollywood, wamejaa pale Capitol Hill wakishughulika na siasa za kila siku za Marekani.

Marais wa Marekani wanajikuta ni mateka wa sera za kibaguzi za kizayuni, mfano ni namna Obama anavyoendelea kujutia maamuzi yake ya kumuua Ghadhafi bila ya kosa lolote lile, kisa tu presha za mazayuni na sera zao za dhuluma na wizi.

Unajua pale Gaza kuna utajiri mkubwa kiasi gani wa gesi ya asili?. Una thamani ya dola za kimarekani bilioni 500, Mmarekani na myahudi udenda unawatoka kila wanapoutazama utajiri huu, wanataka watengeneze mazingira ya mauaji ya halaiki kama kule Iraq kwa kigezo tu cha kupata mali ya wapalestine, washenzi wakubwa hawa mazayuni.
 
Mkuu kwenye dini haitakiwi kutumia akili, ni Imani tu. Ukianza kutumia akili automatically utakuwa nje ya dini. Mimi hayo mambo ya dini nimeyapotezea muda mrefu sana.
🤨
 
Ukristo ulianzishwa miaka 15 Baada ya Yesu

Wakati wazungu wanaanzisha dini ya ukristo na kuwahubiria watu kuwa Yesu ni Mungu

Wayahudi waliocheza kombolela na Yesu katika mitaa ya Galilaya walikuwa bado wapi

Wayahudi waliokuwa wanapiga mishe na Yesu za kuchonga vitanda na makabati walikuwa bado wapo

Wayahudi waliokuwa wanaishi jirani na Yesu walikuwa bado wapo

Hivyo basi hiyo dini ya uongo iliyoanzishwa na Wazungu wakawachia Wazungu wenyewe waendelee kuwadanganya

Na Yesu alikuwa myahudi wa kabila sio dini
👌👍☑️
 
Ina maana mmeshindwa kumuelewa mleta mada ya kuwa ametambua chanzo cha huu uwongo umeanzia kwenye hiyo bibilia mnayomtaka akaisome tena....
Ukiwa na akili timamu ya utashi wa kujitambua kama binadamu lazima utatambua kuwa dini zote ni pilika za wajanja ambazo watu weusi mmeshupaza shingo kujifanya mnazijua kuliko waliozileta mpaka wanawaonea huruma kwa misaada ya kila kukicha.....
👍👏💐
 
Kinachoshangaza zaidi ni pale Mkristo anapokomaa eti "I stand with Israel" anaposali eti anaiombea na kuibariki Israel na ana ka bendera ka Israel kwenye gari au nyumbani kwake.
Akienda Israel anaona kama kafika mbinguni. Eti ukilaani Israel unalaaniwa...huyu mtu unaweza Kuta hajawahi kuombea wala kusaidia ndugu zake wa karibu lakini kutwa kakomaa na taifa la mbali huko lisilomtambua.

Logic ni simple tu
Waisraeli wanaamini kuwa wao ndo taifa teule na wengine wote ni mataifa tu
Aliyeruhusu mataifa mengine yahubiriwe na kufanywa Wana wa Mungu kwa kubatizwa na hivyo kuwa kama Wana Israel ni Yesu
Kwa maana nyingine sisi wakristo bila Yesu hatuna baraka na wala hatuna haki ya kuitwa Wana wa Mungu Bali wa Mataifa
Sasa kama Israeli haimtambui Yesu na inamkataa kuwa ndiye masihi basi ni kwamba hawatutambui sisi Wakristo

Wewe Mkristo unapata wapi nguvu ya kumwombea na kumbariki asiyekutambua na asiyemtambua Bwana na Mwokozi wako???... Yaani unambariki mpinga Kristo??????
 
Wamebarikiwa halafu wanaishi katika vita isiyoisha?!
Hiyo vita anayeianzisha ndie asiyetaka iishe, wewe ukibarikiwa jirani yako akawa mchokozi asiye na baraka huwezi kupinga hilo, uwezo na nguvu za kupambana na adui yao ndio kipimo cha baraka waliyopewa na muumba.

Baraka hazifiki mpaka kwa jirani, zinaishia kwa mlengwa pekee.
 
Kinachoshangaza zaidi ni pale Mkristo anapokomaa eti "I stand with Israel" anaposali eti anaiombea na kuibariki Israel na ana ka bendera ka Israel kwenye gari au nyumbani kwake.
Akienda Israel anaona kama kafika mbinguni. Eti ukilaani Israel unalaaniwa...huyu mtu unaweza Kuta hajawahi kuombea wala kusaidia ndugu zake wa karibu lakini kutwa kakomaa na taifa la mbali huko lisilomtambua.

Logic ni simple tu
Waisraeli wanaamini kuwa wao ndo taifa teule na wengine wote ni mataifa tu
Aliyeruhusu mataifa mengine yahubiriwe na kufanywa Wana wa Mungu kwa kubatizwa na hivyo kuwa kama Wana Israel ni Yesu
Kwa maana nyingine sisi wakristo bila Yesu hatuna baraka na wala hatuna haki ya kuitwa Wana wa Mungu Bali wa Mataifa
Sasa kama Israeli haimtambui Yesu na inamkataa kuwa ndiye masihi basi ni kwamba hawatutambui sisi Wakristo

Wewe Mkristo unapata wapi nguvu ya kumwombea na kumbariki asiyekutambua na asiyemtambua Bwana na Mwokozi wako???... Yaani unambariki mpinga Kristo??????
Israel kuitwa taifa teule kuna sababu maalum ya kimaandiko, hawajaamua kujiita wao bila sababu.

Wakristu kusimama na Israel ni haki, mkosaji hatengwi, anaombewa, ndio maana tunasimama nao hata wakiwa kwenye vita.

Hata wewe hapo ulipo yapo mapungufu yako, lakini huwezi tengwa na nduguzo, this is a very simple logic, fikirieni acheni ujuaji.

Yesu Kristu mara nyingi tu alisema amekuja kwa wenye dhambi ili wapate kuokoka, kama hii dunia wote tungekuwa wenye haki, basi asingesulubiwa msalabani.
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Mkuu, kwani wewe hujasoma mpaka uamini hizi dini za mchongo? Waumini wengi hawajasoma na ndiyo maana wanachezewa akili kila kukicha.
 
Acha upotoshaji, Waisrael ni wasabato kwahiyo wasabato wanampiga Yesu? hayo ni maneno ya mtaani.
Huo ndio ukweli, jaribu kufuatilia hilo utagundua, wakristo wanaonekana kama mbwa tu ndani ya Israeli.
Screenshot_20231112-100446.png
 
Wapalestina wameishi pale kabla ya mwaka 1948, hawa waisrael walifurumushwa huko Ulaya na ndio wakapokelewa pale, na waliwakuta wenyeji pale wameshakaa miaka na miaka.

Kigezo cha uisrael wao ni eti maandiko ya kwenye Biblia!, wanaweza vipi kuhusianisha wale walioandikwa kwenye kitabu kitakatifu na babu zao?. Ni washenzi hawa wazayuni, kila uchwao wanahamisha wenyeji waliowakuta mahali hapo kutoka kwenye ardhi nzuri na kuwakaribisha hawa Kharzari Jews kutoka Poland, Russia, Ukraine na kwa ujumla kutoka Ulaya Mashariki.

Ni watu washenzi tu ambao wanaumbuliwa sana hivi sasa kupitia mitandao ya habari haswa instagram, kibaya zaidi wameikamata USA na marais wa Marekani wanaona aibu kuwaambia ukweli wakifahamu misingi waliyonayo kwenye taasisi za kule, wamejaa Pentagon wamejaa Hollywood, wamejaa pale Capitol Hill wakishughulika na siasa za kila siku za Marekani.

Marais wa Marekani wanajikuta ni mateka wa sera za kibaguzi za kizayuni, mfano ni namna Obama anavyoendelea kujutia maamuzi yake ya kumuua Ghadhafi bila ya kosa lolote lile, kisa tu presha za mazayuni na sera zao za dhuluma na wizi.

Unajua pale Gaza kuna utajiri mkubwa kiasi gani wa gesi ya asili?. Una thamani ya dola za kimarekani bilioni 500, Mmarekani na myahudi udenda unawatoka kila wanapoutazama utajiri huu, wanataka watengeneze mazingira ya mauaji ya halaiki kama kule Iraq kwa kigezo tu cha kupata mali ya wapalestine, washenzi wakubwa hawa mazayuni.

Ndio maana nimekwambia rudi shuleni tena....Sijatumia Biblia wala Quraan......Naomba urudie Historia yako....Taifa la Palestine lini limewahi kuwepo? Unajua ni nani wametawala hapo Mahali.....Hata hamsemi katika recent History nchi hiyo imekuwa chini ya Egpty kutoka 1953 hadi 1967......(Labda kwa sababu hao ni Waarabu) Huzungumzi kuhusu Ottoman Empire ambayo imekalia muda mrefu mahali hapo......Hao Waarabu koko, ni mchanganyiko maalumu wa Waarabu....Waturuki (Turks)....Cannanite.....Jews...nk......Wao wa historical claims kama Wayahudi tu.....Lugha na dini ndio inawaunganisha na Waarabu.

Unaposema Israel ina udenda na Gaza.....ilipondoka 2005.....na Hamas kuchukua imefanya nini.....Kuna gesi yoyote imechimbwa.....? Hakuna hata Mwarabu amewekeza hapo......

Nisadie, What transpired from 1948 ( kama hupendi kurudi nyuma) .....Nikuonyeshe ujinga wa Mwarabu.....na kwa nini kila Mara imekua ikishindwa kumuondoa Muisrael hapo mahali.....Situmii Biblia, just a raw of modern history....from 1948, 1967...1973 huwa wanashindwa.....Hujuilizi kwa nini.....?
 
Kinachoshangaza zaidi ni pale Mkristo anapokomaa eti "I stand with Israel" anaposali eti anaiombea na kuibariki Israel na ana ka bendera ka Israel kwenye gari au nyumbani kwake.
Akienda Israel anaona kama kafika mbinguni. Eti ukilaani Israel unalaaniwa...huyu mtu unaweza Kuta hajawahi kuombea wala kusaidia ndugu zake wa karibu lakini kutwa kakomaa na taifa la mbali huko lisilomtambua.

Logic ni simple tu
Waisraeli wanaamini kuwa wao ndo taifa teule na wengine wote ni mataifa tu
Aliyeruhusu mataifa mengine yahubiriwe na kufanywa Wana wa Mungu kwa kubatizwa na hivyo kuwa kama Wana Israel ni Yesu
Kwa maana nyingine sisi wakristo bila Yesu hatuna baraka na wala hatuna haki ya kuitwa Wana wa Mungu Bali wa Mataifa
Sasa kama Israeli haimtambui Yesu na inamkataa kuwa ndiye masihi basi ni kwamba hawatutambui sisi Wakristo

Wewe Mkristo unapata wapi nguvu ya kumwombea na kumbariki asiyekutambua na asiyemtambua Bwana na Mwokozi wako???... Yaani unambariki mpinga Kristo??????

Kinachoshangaza pia wewe Mwislamu Mtanganyika unapata wapi nguvu za Kuitetea Hamas......ni dini au kitu kingine....Unajua yanayotokea Sudan......unajua Madhara ya Boko Haram....ISIS......Mbona wengi wamekuwa kimya....Ni chuki ya Wayahudi iliyoko ndani ya Quran? Maana hatuoni logic dhidi ya utetezi wa Hamas.
 
Ndio maana nimekwambia rudi shuleni tena....Sijatumia Biblia wala Quraan......Naomba urudie Historia yako....Taifa la Palestine lini limewahi kuwepo? Unajua ni nani wametawala hapo Mahali.....Hata hamsemi katika recent History nchi hiyo imekuwa chini ya Egpty kutoka 1953 hadi 1967......(Labda kyawa sababu hao ni Waarabu) Huzungumzi kuhusu Ottoman Empire ambayo imekalia muda mrefu mahali hapo......Hao Waarabu koko, ni mchanganyiko maalumu wa Waarabu....Waturuki (Turks)....Cannanite.....Jews...nk......Wao wa historical claims kama Wayahudi tu.....Lugha na dini ndio inawaunganisha na Waarabu.

Unaposema Israel ina udenda na Gaza.....ilipondoka 2005.....na Hamas kuchukua imefanya nini.....Kuna gesi yoyote imechimbwa.....? Hakuna hata Mwarabu amewekeza hapo......

Nisadie, What transpired from 1948 ( kama hupendi kurudi nyuma) .....Nikuonyeshe ujinga wa Mwarabu.....na kwa nini kila Mara imekua ikishindwa kumuondoa Muisrael hapo mahali.....Situmii Biblia, just a raw of modern history....from 1948, 1967...1973 huwa wanashindwa.....Hujuilizi kwa nini.....?
Muisrael kaja hapo 1948 baada ya Hitler kutaka kuwaangamiza kabisa asibakie hata mmoja. Ni washenzi tu wenye kubagua kuua watoto wasio na hatia, wanawapora ardhi wapalestina ili wawape jamaa zao waliowaacha kule Ulaya Mashariki.

Ni wanyama tu hao waisrael, hawana ule utu wenye haki ya kutetewa kama dunia ilivyokuwa ikidanganyika kuwatetea kwa miaka mingi.

Kama mpalestina ni mwarabu koko basi ni myahudi ni mkwavi tu sio wayahudi original wale walioandikwa kwenye aya za Biblia.
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Mimi Mkatoliki na Mseminary niliyeishia Kipalapala, juu ya Wayahudi na baraka, uongo ni mwingi sana
 
Muisrael kaja hapo 1948 baada ya Hitler kutaka kuwaangamiza kabisa asibakie hata mmoja. Ni washenzi tu wenye kubagua kuua watoto wasio na hatia, wanawapora ardhi wapalestina ili wawape jamaa zao waliowaacha kule Ulaya Mashariki.

Ni wanyama tu hao waisrael, hawana ule utu wenye haki ya kutetewa kama dunia ilivyokuwa ikidanganyika kuwatetea kwa miaka mingi.

Kama mpalestina ni mwarabu koko basi ni myahudi ni mkwavi tu sio wayahudi original wale walioandikwa kwenye aya za Biblia.

Steven sijatumia Biblia hata kidogo katika arguments zangu......Wayahudi wana historical claims kama ambavyo Wapestina walivyo na Historical claims na hiyo sehemu....Western countries wana sababu mbali mbali za ku support Israel, kama ambavyo nimeainisha Waarabu nao wana sababu isiyofichika (Imani) kuwa tetea Wapelestine......deep down Waarabu na uwezo wao wote Wangeweza kuisaidi Palestine ku settle na kujitegemea......Jordan haitaki kuwasikia na imewahi kuwafukuzwa....Egpty imebidi ibembelezwe na Marekani na Qatar kufungua tu mipaka misaada iingie.....Imekataa katu katu kutaka Wapestine waingie....Na pesa zote walizo nazo Saudia...huoni chochote cha maana ni matamko tu! Ndugu yangu behind the scene hao ni Warabu koko mbele ya ndugu zao.
 
Dividend, post: 48417079, member: 409902

Wewe unajichanganya. Yeye alikuwa kristo ila wafuasi ni wakristo?. Kristo ni nini kwa muktadha huo?
Najichanganya nini sasa.

Kabla hatujaendelea, ebu katafute difference between christ and Christianity
 
Muisrael kaja hapo 1948 baada ya Hitler kutaka kuwaangamiza kabisa asibakie hata mmoja. Ni washenzi tu wenye kubagua kuua watoto wasio na hatia, wanawapora ardhi wapalestina ili wawape jamaa zao waliowaacha kule Ulaya Mashariki.

Ni wanyama tu hao waisrael, hawana ule utu wenye haki ya kutetewa kama dunia ilivyokuwa ikidanganyika kuwatetea kwa miaka mingi.

Kama mpalestina ni mwarabu koko basi ni myahudi ni mkwavi tu sio wayahudi original wale walioandikwa kwenye aya za Biblia.
Naona unasukumwa na Chuki fulani hivi.....Israel ni Wanyama tu.....Ila Hamas ni nini.....unajua unachokiandika? .....Waliposhinda uchaguzi dhidi ya PA ( Wapelestine wenzao) ....ndio ulikuwa mwisho wa Demokrasia Gaza.......Hivi una mapenzi dhidi ya Hamas kwa kusoma Charter yake, au ni muhemuko wa mtandaaoni....Soma Charter yao....wameipunguza makali...lakini bado ina vipengele kama hivi.

Soma Hamas Charter ARTICLE 7

Article Seven of the Charter concludes with a quotation from a hadith: The Day of Judgment will not come until Muslims fight the Jews, when the Jew will hide behind stones and trees. The stones and trees will say, 'O Muslim, O servant of God, there is a Jew behind me, come and kill him.'

Labda hii itakusaidia kujua ni nini kinaisukuma Hamas........Hii chuki haikuanza 1948......Ni toka Quran ilipoteremshwa....Wakati huo hao Mabeberu hawakuwepo.....Ulaya iliyokuwepo sii hii ya leo.... Kila Muislamu safi dini ina mruhusu kusupport Hamas....na Kuichukia Mayahudi ( kama wanavyowaita wao)

Sasa wewe mmatumbi mwenzangu ni nini kinachokusuma.....?
 
Back
Top Bottom