Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Dai kwamba Israeli ingali taifa teule la Mungu ni sawa kabisa na lile la Ukatoliki kwamba lenyewe ni Kanisa la Mungu lililokabidhiwa ufunguo wa Mtume Petro wa mamlaka duniani & mbinguni (Mat. 16:18, 19).

Huu ni ughashashi wa kidini, tena uliokubuhu!

Hata hivyo Mwisraeli mmoja mmoja akimkubali Bwana Yesu anaokolewa.

Warumi 11
[13] Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa Mataifa. Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa watu wa Mataifa, naitukuza huduma iliyo yangu,

[14] nipate kuwatia wivu walio damu moja na mimi [Wayahudi] na kuwaokoa baadhi yao.

[15] Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta upatanisho kwa ulimwengu, je! Kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si uhai baada ya kufa?

[16] Tena malimbuko yakiwa matakatifu, kadhalika na donge lote; na shina likiwa takatifu, matawi nayo kadhalika.

[17] Lakini iwapo matawi mengine yamekatwa, na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwa kati yao, ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake,

[18] usijisifu juu ya matawi yale; au ikiwa wajisifu, si wewe ulichukuaye shina, bali ni shina likuchukualo wewe.

[19] Basi utasema, Matawi yale yalikatwa kusudi ili nipandikizwe mimi.

[20] Vema. Yalikatwa kwa kutokuamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune, bali uogope.

[21] Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili [Wayahudi], wala hatakuachia wewe.

[30] Kwa maana kama ninyi zamani mlivyomwasi Mungu, lakini sasa mmepata rehema kwa kuasi kwao;

[31] kadhalika na hao wameasi sasa, ili kwa kupata rehema kwenu wao nao wapate rehema.

[32] Maana Mungu amewafunga wote pamoja katika kuasi ili awarehemu wote.
Mgogoro wa Palestina si mgogoro wa kidini, ni mgogoro wa nchi moja kuikalia na kuikandamiza nyengine.
Baadhi ya waafrika hawajielewi, Wazungu wamejawa undumilakuwili na wako kimaslahi. ANC walipokuwa wanapambana kwa siasa na silaha kwa sababu ya kukaliwa nchi yao na kukandamizwa, wazungu waliwaita magaidi pia. Leo Urusi anapopiga mabomu na kuua wasio na hatia, wanaikingia kifua ukraine bali Palestina wanapopigwa na kuuliwa watoto na wasio na hatia wanasema "hii ni vita"
Hivi meli za kivita, ndege, vifaru unapambana na Hamas ambao hawana jeshi na ni kikundi tu!
 
Dai kwamba Israeli ingali taifa teule la Mungu ni sawa kabisa na lile la Ukatoliki kwamba lenyewe ni Kanisa la Mungu lililokabidhiwa ufunguo wa Mtume Petro wa mamlaka duniani & mbinguni (Mat. 16:18, 19).

Huu ni ughashashi wa kidini, tena uliokubuhu!

Hata hivyo Mwisraeli mmoja mmoja akimkubali Bwana Yesu anaokolewa.

Warumi 11
[13] Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa Mataifa. Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa watu wa Mataifa, naitukuza huduma iliyo yangu,

[14] nipate kuwatia wivu walio damu moja na mimi [Wayahudi] na kuwaokoa baadhi yao.

[15] Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta upatanisho kwa ulimwengu, je! Kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si uhai baada ya kufa?

[16] Tena malimbuko yakiwa matakatifu, kadhalika na donge lote; na shina likiwa takatifu, matawi nayo kadhalika.

[17] Lakini iwapo matawi mengine yamekatwa, na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwa kati yao, ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake,

[18] usijisifu juu ya matawi yale; au ikiwa wajisifu, si wewe ulichukuaye shina, bali ni shina likuchukualo wewe.

[19] Basi utasema, Matawi yale yalikatwa kusudi ili nipandikizwe mimi.

[20] Vema. Yalikatwa kwa kutokuamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune, bali uogope.

[21] Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili [Wayahudi], wala hatakuachia wewe.

[30] Kwa maana kama ninyi zamani mlivyomwasi Mungu, lakini sasa mmepata rehema kwa kuasi kwao;

[31] kadhalika na hao wameasi sasa, ili kwa kupata rehema kwenu wao nao wapate rehema.

[32] Maana Mungu amewafunga wote pamoja katika kuasi ili awarehemu wote.
Hebu fanyeni utafiti haya mambo
 
Ukatoriki ulifikaje Rome-Italy na kuwa dhehebu la kwenye ukristo.
Anglican wamekuaje waingereza na ni christians.
Lutheran pia nao ni vipi.
Mwamposa, Gwajima, Mzee wa upako nk wanatofauti gani na hao wengine kuanzia Vatican mpaka pale church of London.

Biblia imeanzia pale mashariki ya kati Israeli, na biblia hiyohiyo inasema Israeli ndio Taifa teule.. na sio Tanzania wala Kenya..

Yaani Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na ardhi atuumbe wooote na mataifa yetu halafu aibariki Israeli na waIsraeli.
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe. Kama biblia ilianzia mashariki ya kati tena mbona makao makuu ya Ukristo yapo Vatican, London na Berlin?
Jiulize swali, kitabu alichopewa Issa au Yesu ni Injili, tena biblia imetokea wapi na kapewa nabii gani?
 
haijalishi.hata kama angekuja nao mfukoni kama ulivyotaka.
wayahudi hawakumpokea Yesu kwanini ushangae wanapoukataa ukristo??
Hujamuelewa. Yeye anashangaa mnavyomkumbatia Yahudi wakati yeye msingi wa dini yake ya kiyahudi ni kwamba Yesu ni nabii wa uongo! Mnajichanganya, issue ya mgogoro wa Palestina si ya kidini, ni ya mtu mmoja, akisaidiwa na nchi za magharibi, silaha, kumtawala mwengine
 
Si mwanadamu amesema ,ni Mungu amesema. Wewe uliye udongo tu unamuuliza mfinyanzi? Usiniambie Mungu, kama wanakosea atawaadhibu yeye mwenyewe siyo Wewe.
Ni ujinga wa kiroho kufikiri Israel ndio taifa la Mungu. Taifa la Mungu ni wale wamwaminio Mungu popote pale walipo.
 
Onyesha ushahidi ni wapi waisrael wanamkataa Yesu iwe kwenye biblia au kwa matamshi yao
Jews believe the Messiah will be a direct (blood) descendant of King David through Solomon on his father's side and will be born naturally to a husband and wife (Genesis 49:10, Isaiah 11:1, Jeremiah 23:5, 33:17; Ezekiel 34:23–24).

"The point is this: that the whole Christology of the Church - the whole complex of doctrines about the Son of God who died on the Cross to save humanity from sin and death - is incompatible with Judaism, and indeed in discontinuity with the Hebraism that preceded it."[18]
 
Hawa Ndo wametumbukia kwenye shimo reeefu.

Yohana 14:9
“Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba;

Yohana 5:37 SRUV
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
🙆
 
They have unique believe rather/more than what proclaimed of moses miracles!
Musa alipomkabidhi Haruni kuwaongoza wakimbizi, ilifikia hatua jamaa(Haruni) alishindwa kuwadhibiti kuumba/kuchonga masanamu ambayo hao wakimbizi(wanaIsrael-mayahudi) wanayatukuza na kuyaamini hadi leo ikiwemo Sanduku la Agano.
Halafu sisi wamatumbi tumeizika na kuikataa mizizi yetu ya mibuyu, mironge, mikwizingi, minyaranyanyara, miarovera, midimu, mikunungu, mikuzwingi, minangari na migagani
🙄 hatari sana! Miti uliyoitaja inatutibu maradhi yetu kweli kweli 😅🙏🙏
 
Aise mkuu upo sawa kweli? Mbona unalazimisha ubishi ambao haupo. Nani kasema Yesu alikuwa mkristo?
Yeye mwenyewe Yesu ndio alikuwa kristo alafu wafuasi wake ndio wakristo.

Mimi kule mwanzoni nilitaka kukuweka sawa, kukwambia hakuna mtu anayesema Yesu alikuwa mkristo, bali yeye ndio mwanzilishi wa ukristo, kwa maana ya kundi fulani la watu walioamini mafundisho yake.

Kwa maana ya kuwa Yesu ni kristo na wafuasi wake ndio wakristo (lkama dini)

Yap nakubaliana na wewe ila kuna vingine vya kiyahudi alikuwa anavipinga ndio maana wakamshitaki auwawe.

Na pia ndio maana dini ya kikikristo na kiyahudi kuna vitu vinatofautiana, kwasababu Yesu alileta mtazamo tofauti na ule wa kiyahudi. Mfano siku ya sabato
Dividend, post: 48417079, member: 409902

Wewe unajichanganya. Yeye alikuwa kristo ila wafuasi ni wakristo?. Kristo ni nini kwa muktadha huo?
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Hiyo ya
Tulia mbona unachanganya mkojo na wine!?
 
Point yangu ni kuwa matatizo ya Africa yanaletwa na sisi Waafrika wenyewe. Wazungu walitufanyizia na wameshaondoka ila watawala wengi wa kiafrika wamegeuka kuwa wakoloni weusi.
Wakoloni walikuwa wakipora mali wanazipeleka kwenda kuzijenga Nchi zao na kuwahudumia wananchi wao!
Ndio maana tunaziona Nchi zao zinameremeta na wananchi wao wanameremeta !!
Sisi tunaendekeza Uselfishness !!
 
haijalishi.hata kama angekuja nao mfukoni kama ulivyotaka.
wayahudi hawakumpokea Yesu kwanini ushangae wanapoukataa ukristo??

Mimi ni mkristo ila nawaambia kupitia bibilia yesu hakusema wafuasi wangu muitwe wakristo. Yesu anamajina mengi sana kwenye bibilia hadi mengne anayakataa mfano jina mwema. Kristo,mwana wa adamu,kweli,mwana wa mungu n.k ni majina tu yalyotumika kumtambulisha yesu. Kwa hyo kristo ni jina na sio dini
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Kuna wamasai halisi na wale wa Kilosa wanaoitwa wakwavi, na wao wanavaa mashuka mekundu pia lakini wana tofauti na wale original.

Hali ipo hivyo kwenye suala la waisrael kwa maana wayahudi. Kuna wale asilia haswa, ndio wenye kufanana na waethiopia halafu kuna hawa wayahudi fake wayahudi wakwavi, ndio hawa wanaotoka ulaya mashariki na kuhamia Israel katika miaka ya sasa.

Hawa ni sehemu tu ya siasa za kizayuni, siasa za kibaguzi zenye madhara sawa na yale tuliyoyapinga kule afrika ya kusini, siasa zilizojaa uonevu, ubaguzi na ushenzi kwa ujumla.
 
Mimi ni mkristo ila nawaambia kupitia bibilia yesu hakusema wafuasi wangu muitwe wakristo. Yesu anamajina mengi sana kwenye bibilia hadi mengne anayakataa mfano jina mwema. Kristo,mwana wa adamu,kweli,mwana wa mungu n.k ni majina tu yalyotumika kumtambulisha yesu. Kwa hyo kristo ni jina na sio dini
Kwa hiyo Ukristo ni Jina la hiyo Imani!
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Sasa wewe inakuhusu nini? Fanya yako kwenye dini yako muache mtu aamini anachokiamini

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkristo ila nawaambia kupitia bibilia yesu hakusema wafuasi wangu muitwe wakristo. Yesu anamajina mengi sana kwenye bibilia hadi mengne anayakataa mfano jina mwema. Kristo,mwana wa adamu,kweli,mwana wa mungu n.k ni majina tu yalyotumika kumtambulisha yesu. Kwa hyo kristo ni jina na sio dini
basi ni mkristo usiye na akili.

kama hujui hata maana ya neno ukristo.
 
Sawa
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Sawa,lakini hatq ukisema Siyo taifa la Mungu ,unatakiwa ukubari kuwa ni Taifa huru.
 
Back
Top Bottom