Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Eti Yesu hakuwa Mkristo, hahaha.
Yesu ndio alikuwa anaitwa Kristo. So Wafuasi wake ndio wanaitwa wakristo
Wafuasi wa Yesu ndio wakristo yeye hakuwa mkristo, wanaofuata mafundisho yake ndio wakristo masta Yesu alikwa myahudi na wayahudi sio wakristo, bro unasomea wapi hizi dini ? Yan utakachoambiwa ndio hicho hicho ? Leta hapa waliposema Yesu alikuwa mkristo…yesu alizaliwa myahudi akalelewa kiyahudi na akafa myahudi, kumbuka kuwa judaism sio christianity.
 
Wafuasi wa Yesu ndio wakristo yeye hakuwa mkristo, wanaofuata mafundisho yake ndio wakristo masta Yesu alikwa myahudi na wayahudi sio wakristo, bro unasomea wapi hizi dini ? Yan utakachoambiwa ndio hicho hicho ? Leta hapa waliposema Yesu alikuwa mkristo…yesu alizaliwa myahudi akalelewa kiyahudi na akafa myahudi, kumbuka kuwa judaism sio christianity.
Alieandika biblia kaiangamiza Africa, huko aliko anacheeeeka!
 
Eti Yesu hakuwa Mkristo, hahaha.
Yesu ndio alikuwa anaitwa Kristo. So Wafuasi wake ndio wanaitwa wakristo.
Soma hapa chini masta alafu kasome hizo chapter kwenye bible , tatizo mnachoambiwa na mapastor wenu mnakuja nacho hivyo hivyo you guys dont real at all , Yesu hakuwa mkristo ila wanaofuata mafundisho yake ndio wakristo
 

Attachments

  • 5CE16D61-443A-417C-8923-152BBD175BF0.jpeg
    5CE16D61-443A-417C-8923-152BBD175BF0.jpeg
    360.2 KB · Views: 6
  • FE3CFC4F-3D2C-41A0-9DF6-2B757D20D2CA.jpeg
    FE3CFC4F-3D2C-41A0-9DF6-2B757D20D2CA.jpeg
    483.6 KB · Views: 6
Sahihi na hawatarajii hata siku moja kuwa wasabato

WaSabato hutafuta waumini kujiunga na dini yao wayahudi dini ya kiyahudi unaipata kwa kuzaliwa na mama myahudi huwa hawatafuti waumini wa kujiunga na dini yao kama wasabato


Pili Dini ya kiyahudi haiamini Yesu wala vitqbu vya Injili wala kitabu cha ufunuo wa Yohana wala huyo kibibi Hellen White na mafundisho yake ohh malaika watatu nk

Kuwaita Wayahudi wasabato nin uongo tena uliopindukia
Vinana hawaelewi mkuu kuna jamaa nimemwambia yesu alikuwa myahudi anavusha anasema alikuwa mkristo ? Anabisha vitu ambavyo si tulishavifuatilia sana kwasababu ya mkanganyiko wake, anadhani tumekurupuka..
 
Yesu hakuwa mkristo ila wanaofuata mafundisho yake ndio wakristo
Sasa hapa mbona tunaongea lugha moja boss, kwa maana ya wafuasi wa mpakwa mafuta au anointed one.

Sasa kama unataka kusema Yesu hakuwa Kristo(kwa maana ya Kristo ina maana ni mpakwa mafuta) hiyo ni mada nyingine inatakiwa ichambuliwe kwa kina zaidi.
 
Sasa hapa mbona tunaongea lugha moja boss, kwa maana ya wafuasi wa mpakwa mafuta au anointed one.

Sasa kama unataka kusema Yesu hakuwa Kristo(kwa maana ya Kristo ina maana ni mpakwa mafuta) hiyo ni mada nyingine inatakiwa ichambuliwe kwa kina zaidi.
Ukiniletea hata bible verse moja mkuu inayosema Jesus was a christian itasaidia mkuu, YESU ALIKUWA MYAHUDI, ALIFUNDISHA NENO KWA SHERIA ZA KIYAHUDI, ALILELEWA KIYAHUDI , na ALIKUFA AKIWA MYAHUDI…sio mimi nasema haya maneno ni bible ndio inasema hivyo kama reference yetu masta au nasema uongo ?
 
They have unique believe rather/more than what proclaimed of moses miracles!
Musa alipomkabidhi Haruni kuwaongoza wakimbizi, ilifikia hatua jamaa(Haruni) alishindwa kuwadhibiti kuumba/kuchonga masanamu ambayo hao wakimbizi(wanaIsrael-mayahudi) wanayatukuza na kuyaamini hadi leo ikiwemo Sanduku la Agano.
Halafu sisi wamatumbi tumeizika na kuikataa mizizi yetu ya mibuyu, mironge, mikwizingi, minyaranyanyara, miarovera, midimu, mikunungu, mikuzwingi, minangari na migagani
Umenisaidia masta nlikuwa nataka kusema kitu kinafanana na hicho hicho mastaa
 
Ukitoa waandaishi wa Biblia na Quran, wengine wote walioandikwa ni Legendary figures and there is no proof kama waliwahi kuwepo.

Mfano kwenye Biblia na Quran zinasema Kabuli la Musa halijulikani lilipo, kuwa Mungu mara Malaika walificha alipozikwa.

Yesu, Wakristo wanafundishwa kuwa alipaa

Mudi yeye alizikwa kama binadamu wa kawaida, lakini hakuna aliyewahi kuona mifupa yake, na hakuacha Wosia, wafue wakaanza kuuana kisa nani mrithi

Hawa wote hakuna any of thier Physical remain
 
Ukiniletea hata bible verse moja mkuu inayosema Jesus was a christian itasaidia mkuu, YESU ALIKUWA MYAHUDI, ALIFUNDISHA NENO KWA SHERIA ZA KIYAHUDI, ALILELEWA KIYAHUDI , na ALIKUFA AKIWA MYAHUDI…sio mimi nasema haya maneno ni bible ndio inasema hivyo kama reference yetu masta au nasema uongo ?
Aise mkuu upo sawa kweli? Mbona unalazimisha ubishi ambao haupo. Nani kasema Yesu alikuwa mkristo?
Yeye mwenyewe Yesu ndio alikuwa kristo alafu wafuasi wake ndio wakristo.

Mimi kule mwanzoni nilitaka kukuweka sawa, kukwambia hakuna mtu anayesema Yesu alikuwa mkristo, bali yeye ndio mwanzilishi wa ukristo, kwa maana ya kundi fulani la watu walioamini mafundisho yake.

Kwa maana ya kuwa Yesu ni kristo na wafuasi wake ndio wakristo (lkama dini)
YESU ALIKUWA MYAHUDI, ALIFUNDISHA NENO KWA SHERIA ZA KIYAHUDI, ALILELEWA KIYAHUDI , na ALIKUFA AKIWA MYAHUDI
Yap nakubaliana na wewe ila kuna vingine vya kiyahudi alikuwa anavipinga ndio maana wakamshitaki auwawe.

Na pia ndio maana dini ya kikikristo na kiyahudi kuna vitu vinatofautiana, kwasababu Yesu alileta mtazamo tofauti na ule wa kiyahudi. Mfano siku ya sabato
 
Mara walipomkataa Masihi Kristu, ambaye ndiye kusudi kuu la uteule wao.

Mathayo 27:22-25
[22] Pilato akawaambia, Basi, nimtendeje Yesu aitwaye Kristo? Wakasema wote, Asulibiwe.

[23] Akasema, Kwani? Ni ubaya gani alioutenda? Wakazidi sana kupiga kelele, wakisema, Na asulibiwe.

[24] Basi Pilato alipoona ya kuwa hafai lo lote, bali ghasia inazidi tu, akatwaa maji, akanawa mikono yake mbele ya mkutano, akasema, Mimi sina hatia katika damu ya mtu huyu mwenye haki; yaangalieni haya ninyi wenyewe.

[25] Watu wote wakajibu wakasema, Damu yake na iwe juu yetu, na juu ya watoto wetu.
Hapa nimepata kitu... Shukrani

Ila kama waliwai kuwa na huo uteule, basi tuwaombee huo uteule wao urudi labda watakaa kwa amani. Inawezekana kutokana na dhambi yao ya kuukataa uteule ndio maana wanaishi kwa wasiwasi miaka yote km nguchiro akiwa porini
 
Aise mkuu upo sawa kweli? Mbona unalazimisha ubishi ambao haupo. Nani kasema Yesu alikuwa mkristo?
Yeye mwenyewe Yesu ndio alikuwa kristo alafu wafuasi wake ndio wakristo.

Mimi kule mwanzoni nilitaka kukuweka sawa, kukwambia hakuna mtu anayesema Yesu alikuwa mkristo, bali yeye ndio mwanzilishi wa ukristo, kwa maana ya kundi fulani la watu walioamini mafundisho yake.

Kwa maana ya kuwa Yesu ni kristo na wafuasi wake ndio wakristo (lkama dini)

Yap nakubaliana na wewe ila kuna vingine vya kiyahudi alikuwa anavipinga ndio maana wakamshitaki auwawe.

Na pia ndio maana dini ya kikikristo na kiyahudi kuna vitu vinatofautiana, kwasababu Yesu alileta mtazamo tofauti na ule wa kiyahudi. Mfano siku ya sabato
Nimekuelewa masta, tatizo mtaani kwangu sijui ndio sherehe za ubatizo sijui nini yani hapa next house kuna lisherehe wanagonga ngoma juu ya ngoma, hawataki kulala ni kelele aisee, ivi hakuna sheria ya kuzuia haya makelele manake Tanzania watu wanajichukulia sheria mkononi aisee
 
Ukitoa waandaishi wa Biblia na Quran, wengine wote walioandikwa ni Legendary figures and there is no proof kama waliwahi kuwepo.

Mfano kwenye Biblia na Quran zinasema Kabuli la Musa halijulikani lilipo, kuwa Mungu mara Malaika walificha alipozikwa.

Yesu, Wakristo wanafundishwa kuwa alipaa

Mudi yeye alizikwa kama binadamu wa kawaida, lakini hakuna aliyewahi kuona mifupa yake, na hakuacha Wosia, wafue wakaanza kuuana kisa nani mrithi

Hawa wote hakuna any of thier Physical remain
No honour's among thieves....
Kila mmoja anajaribu kudanganya zaidi ya mwenzake....
 
Ina maana mmeshindwa kumuelewa mleta mada ya kuwa ametambua chanzo cha huu uwongo umeanzia kwenye hiyo bibilia mnayomtaka akaisome tena....
Ukiwa na akili timamu ya utashi wa kujitambua kama binadamu lazima utatambua kuwa dini zote ni pilika za wajanja ambazo watu weusi mmeshupaza shingo kujifanya mnazijua kuliko waliozileta mpaka wanawaonea huruma kwa misaada ya kila kukicha.....
Uwe ni ukristo, uislam, au dini nyingine yoyote, zote ni imani. Na imani siyo suala la kisayansi bali suala la kuamini bila uthibitisho wa kisayansi. Ndiyo maana, mataifa mengi, sheria zao zinasema kila mtu atakuwa na uhuru wa kuofuata imani aitakayo.

Waislam na wakristo, wote tunaamini kuna Mungu, tunaamini kuna hukumu baada ya kufa, tunaaminu kuna maisha ya roho baada ya kifo.

Hata hivyo, wewe hulazimishwi kuamini hayo wanayoyaamini kama utashi wako unakutuma vinginevyo. Kama wao hawakulazimishi uamini wanavyoaminil, halikadhalika nawe usiwalazimishe waamini unachoamini wewe.
 
ukielewa maana ya imani,utagundua kuhoji ni dalili ya ugonjwa wa akili.

imani inakuelewa uamini Mungu aliumba mtu kwa matope,akawaje na nyama??huhoji hili wewe mbioooo mpaka kwenye uteule wa israeli.

bangi bila msosi.
Aahhahaha
 
Si mwanadamu amesema ,ni Mungu amesema. Wewe uliye udongo tu unamuuliza mfinyanzi? Usiniambie Mungu, kama wanakosea atawaadhibu yeye mwenyewe siyo Wewe.
Sikiliza hii
 
Just a simple logic , Yesu amekufa msalabani akafufuka pangoni akapaa kisha atarudi tena Duniani na atakufa tena, this means Yesu atakufa mara mbili!! Kweli hili ni changa la macho laivu!

Swali 1 : ni binadamu gani tunaemjua amekufa tukamzika futi sita ardhini eti mara akafufuka akapaa na akarudi Duniani na akafa Tena!! Nani tunaemjua amewahi kufa mara mbili? Stori ni kuwa maumivu ya kutoka roho ni sawa na kumchuna ngozi binadamu alie hai!!

Swali 2: Yesu ni Mungu, yaani kama ni kweli Ina maana binadamu aliowaumba (Jews) wakamuua? Mungu tangu lini akawa fundi seremala , Mungu anakula mikate? Kweli kabisa mtu Na akili zako unaamini? Mungu anaenda msalani kweli? Tuache utani turudi kwenye dini zetu za kutambika! Na pia ina maana Mungu Yesu alipokufa msalabani Dunia ilibaki bila Mungu?!! Hii nayo imekaaje?

Swali 3: biblia inasema amelaaniwa aangikwae juu ya mti (kusulubiwa) ina maana Yesu kusulubiwa nae ni mlaaniwa? Yaani Mtume wa Mungu alaaniwe? Kweli kabisa inaingiaje akilini!!

Biblia inaacha maswali mengi bila majibu wajanja kina Mzize wamechomoka!!

Naona hapa kuna mengi ya kujifunza!

Ukweli ni kuwa si Jews Wala wazungu ambao ni wakristo, uzunguni 99% ni wapagani hawamjui Mungu ila wanatuma pesa Africa kulea makanisa! Haya ni maajabu sana ya Dunia! Hata Dem wangu mzungu alikuwa akishangaa wabongo kujaa makanisani!!

Kamusi inatafsiri synagogue kama 'msikiti' wa wayahudi meaning Yesu hakuwa mkristo! Babylon ni Iraq, Korintho ni Ugiriki, Sinai Misri, Babeli Iraq, Nazareth, Jerusalem na Bethlehem ni Palestine, yaani Ina maana Yesu alitembea kwa miguu na wanafunzi wake umbali mrefu akihubiri katika nchi karibu kumi!!na kipindi hicho Cha Yesu Dunia ilijaa ubabe, vita na utumwa Ina maana hawakutekwa? Hili ni changa la macho pia! sijui ukristo ulianzishwa na nani na ni nani alieandika biblia, kwa lengo Gani?

With my view kwa ninavyojua history ya himaya (empires) za dunia ya kale nimeona Yesu aliishi Palestine tu huko kwingine ni Mbali sana na Kuna sehemu lazima uvuke bahari na zilikuwa himaya zingine Yesu asingeweza kukatiza bila kuuwawa au kufanywa mtumwa , hizo stori za sehemu nyingine za Mbali mno ni changa la macho tu!

Vitabu vya historia kama The History of Ancient World vinaandika Jesus was a Palestinian aliepambana kukataa udhalimu wa Wayahudi hasa katika mji wa Jerusalem!

Kwa wasiojua historia , msalaba ni miti miwili inayokinzana na zamani ilikuwa inatumika ulaya hasa nchi ya warumi na wayahudi kusulubisha na kuua mateka wa vita, watumwa na wahalifu , haijulikani ilianza lini na kwa nani msalaba ambao ni mti wa kuulia wahalifu kumaanisha ukristo! Mfano Gaius Julius Caesar Jemedari wa jeshi la warumi aliwasulubu kwenye njia ya kuingia Rome watumwa 6000 walioasi chini ya mtumwa kiongozi Spartacus , yaani misalaba elfu sita iliwekwa na kuwaua kina Spartacus!! Hapo habari ya ukristo haikuwepo ila misalaba ilikuwepo kabla ya Yesu kuzaliwa.

Siku hizi bongo watoto wetu wanaharibiwa na makanisa maana picha za yule jamaa aliyeekti muvi maarufu ya Yesu akiitwa Jonathan Roumie zimemaanisha ndio Yesu mwenyewe kabisa na juzikati alikuja bongo kutembelea vivutio watu wakaalikwa kwenda kumuona Yesu wa Nazareth!!

Wayahudi ndio walijenga Colosseum wakati wa Roman empire, zile stadiums ambazo watumwa gladiators waliuwana kufurahisha warumi! Yaani Taifa teule la Mungu ndo lijenge viwanja vya kuulia watu kama burudani? Kweli kabisa?

Wayahudi milioni 6 waliuwawa na Adolf Hitler huko ujerumani kwenye vyumba vya gesi wakati wa vita ya pili ya dunia.Yaani Mungu awaache Taifa lake wauwawe na mhuni Hitler hivi hivi tu asiwalinde? Kweli?

Wayahudi wengi kama makabila yao ya Banu Qurayza, Banu Nadir na Banu Qaynuqa walijiunga na waasi wa Macca against Mtume Muhammad SAW na kuuwawa na kutokomezwa kabisa hadi leo huko Madina walikoishi enzi za Mtume SAW.

Wayahudi wanaua watoto hospitals za Gaza right now!!

Hapo kwa wayahudi hakuna Mungu na haijulikani nani alianzisha hiyo habari ya kuwa ni Taifa la Mungu , walisoma wapi?

Pole sana waumini, someni my comment without bias mtapata kitu!

Zuga:

Hakuna kitu nimepata mkuu, Nimesoma without bias....nilichokiona ni just confusion......Umechanganya mada nyingi mno....! Angalia "Wayahudi wanaua Watoto Hospotalini Gaza right Now!! Hujaeleza kwa nini Wanauwa..... Unaposema kwa Wayahudi hakuna Mungu una maana ipi hasa....Una Maana Mungu yuko kwa Alqueda....ISIS...Islamic Jihad....Hamas.....Hezbollah ......Boko Haram.....Kwa hiyo huku ndio kuna Mungu.....That is terrible Zuga.....Jenga hoja zako upya....!
 
Kabisa mkuu,
Ukristo umelididimiza bara letu
Imagine Watu hawafanyi kazi kutwa kushinda makanisani wakiomba miujiza[emoji29]

Mkuu DeepPond,

Uko Tanzania Mkuu......Hiyo Report ya CAG ni kwa sababu watu wanashinda Makanisani? Ubadhirifu wa Halmashauri, Mismanagement ya fedha za serikali.......Sielewi unasema nini...Na unaposema Ukristo unadidimiza Bara letu (Africa) Unajua kinachokea Sudan.....Somalia.......Ni kwa sababu Wakristo wanashinda kuomba Miujiza.....Mkuu ulikua umetoka usingizini?
 
Back
Top Bottom