Just a simple logic , Yesu amekufa msalabani akafufuka pangoni akapaa kisha atarudi tena Duniani na atakufa tena, this means Yesu atakufa mara mbili!! Kweli hili ni changa la macho laivu!
Swali 1 : ni binadamu gani tunaemjua amekufa tukamzika futi sita ardhini eti mara akafufuka akapaa na akarudi Duniani na akafa Tena!! Nani tunaemjua amewahi kufa mara mbili? Stori ni kuwa maumivu ya kutoka roho ni sawa na kumchuna ngozi binadamu alie hai!!
Swali 2: Yesu ni Mungu, yaani kama ni kweli Ina maana binadamu aliowaumba (Jews) wakamuua? Mungu tangu lini akawa fundi seremala , Mungu anakula mikate? Kweli kabisa mtu Na akili zako unaamini? Mungu anaenda msalani kweli? Tuache utani turudi kwenye dini zetu za kutambika! Na pia ina maana Mungu Yesu alipokufa msalabani Dunia ilibaki bila Mungu?!! Hii nayo imekaaje?
Swali 3: biblia inasema amelaaniwa aangikwae juu ya mti (kusulubiwa) ina maana Yesu kusulubiwa nae ni mlaaniwa? Yaani Mtume wa Mungu alaaniwe? Kweli kabisa inaingiaje akilini!!
Biblia inaacha maswali mengi bila majibu wajanja kina Mzize wamechomoka!!
Naona hapa kuna mengi ya kujifunza!
Ukweli ni kuwa si Jews Wala wazungu ambao ni wakristo, uzunguni 99% ni wapagani hawamjui Mungu ila wanatuma pesa Africa kulea makanisa! Haya ni maajabu sana ya Dunia! Hata Dem wangu mzungu alikuwa akishangaa wabongo kujaa makanisani!!
Kamusi inatafsiri synagogue kama 'msikiti' wa wayahudi meaning Yesu hakuwa mkristo! Babylon ni Iraq, Korintho ni Ugiriki, Sinai Misri, Babeli Iraq, Nazareth, Jerusalem na Bethlehem ni Palestine, yaani Ina maana Yesu alitembea kwa miguu na wanafunzi wake umbali mrefu akihubiri katika nchi karibu kumi!!na kipindi hicho Cha Yesu Dunia ilijaa ubabe, vita na utumwa Ina maana hawakutekwa? Hili ni changa la macho pia! sijui ukristo ulianzishwa na nani na ni nani alieandika biblia, kwa lengo Gani?
With my view kwa ninavyojua history ya himaya (empires) za dunia ya kale nimeona Yesu aliishi Palestine tu huko kwingine ni Mbali sana na Kuna sehemu lazima uvuke bahari na zilikuwa himaya zingine Yesu asingeweza kukatiza bila kuuwawa au kufanywa mtumwa , hizo stori za sehemu nyingine za Mbali mno ni changa la macho tu!
Vitabu vya historia kama The History of Ancient World vinaandika Jesus was a Palestinian aliepambana kukataa udhalimu wa Wayahudi hasa katika mji wa Jerusalem!
Kwa wasiojua historia , msalaba ni miti miwili inayokinzana na zamani ilikuwa inatumika ulaya hasa nchi ya warumi na wayahudi kusulubisha na kuua mateka wa vita, watumwa na wahalifu , haijulikani ilianza lini na kwa nani msalaba ambao ni mti wa kuulia wahalifu kumaanisha ukristo! Mfano Gaius Julius Caesar Jemedari wa jeshi la warumi aliwasulubu kwenye njia ya kuingia Rome watumwa 6000 walioasi chini ya mtumwa kiongozi Spartacus , yaani misalaba elfu sita iliwekwa na kuwaua kina Spartacus!! Hapo habari ya ukristo haikuwepo ila misalaba ilikuwepo kabla ya Yesu kuzaliwa.
Siku hizi bongo watoto wetu wanaharibiwa na makanisa maana picha za yule jamaa aliyeekti muvi maarufu ya Yesu akiitwa Jonathan Roumie zimemaanisha ndio Yesu mwenyewe kabisa na juzikati alikuja bongo kutembelea vivutio watu wakaalikwa kwenda kumuona Yesu wa Nazareth!!
Wayahudi ndio walijenga Colosseum wakati wa Roman empire, zile stadiums ambazo watumwa gladiators waliuwana kufurahisha warumi! Yaani Taifa teule la Mungu ndo lijenge viwanja vya kuulia watu kama burudani? Kweli kabisa?
Wayahudi milioni 6 waliuwawa na Adolf Hitler huko ujerumani kwenye vyumba vya gesi wakati wa vita ya pili ya dunia.Yaani Mungu awaache Taifa lake wauwawe na mhuni Hitler hivi hivi tu asiwalinde? Kweli?
Wayahudi wengi kama makabila yao ya Banu Qurayza, Banu Nadir na Banu Qaynuqa walijiunga na waasi wa Macca against Mtume Muhammad SAW na kuuwawa na kutokomezwa kabisa hadi leo huko Madina walikoishi enzi za Mtume SAW.
Wayahudi wanaua watoto hospitals za Gaza right now!!
Hapo kwa wayahudi hakuna Mungu na haijulikani nani alianzisha hiyo habari ya kuwa ni Taifa la Mungu , walisoma wapi?
Pole sana waumini, someni my comment without bias mtapata kitu!