Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Ndio mana nasema Christmass sio ishue kwa wayahudi, wao wanasherekeaga sherehe inaitwa chanuka au hanukha kama sio kosei na tarehe ni hizo hizo za christmass ndio mana unaona kama kunakuwa na shangwe mkuu, i have a jew friend na saivi yupo haifa yan nikusikilize wewe unidanganye wakati nna mtu wakumuuliza moja kwa moja ? Kwakifupi Jews hawataki kusikia habari za Yesu na ushahid upo masta sasa we unabisha nini ? Juz tu hapa kuna video inaonyesha watoto wadogo wanawatemea mate wamama wazima walikuwa wamevaa rozari, Wayahudi hawavaagi ile misalaba..

Naona unajiondoa akili.....Wayahudi si Wakristo......au huelewi? WAPI NIMESEMA Wayahudi ni Wakristo? Waislamu ni Waislamu....hata kama Wanayesema Yesu ni Ni Nabii Issa.....Itakuwa ni kituko nikianza kusema Kwa nini Waislamu hawasherekee Kristmas

Wayahudi si Wakristo.....Kwa Mkristo yoyote anayeijua dini yake wala Hilo halimpi shida linaelezeka kwa kutumia Biblia....Kama vile anayeaamini Allah sio Mungu aliyeko ndani ya Biblia....ni Vitu viwili tofauti......Allah ndani ya Quaran....ni Mwingine na Mungu aliyeko ndani ya Biblia ni mwingine kabisa.....! Ni uamuzi wako kuamua tu yupi unayemwani...na kujenga hoja juu yake! Quraan na Biblia ni vitabu tofauti kabisa....Ujumbe wake hata products zake....Positive na Negative.....Najua unajua nasema nini.
 
Umepechikwa na Waisraeli, ili waabudiwe wao badala ya Mungu wa kweli.
Mungu wa kweli ni Allah......sitaki kusema mengi.....! That cruel dude.....Angalia anavyowasumbua Hamas...

Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)
 
Mungu asie na upendeleo, kapendelea Taifa moja!!

Contradictions tupu!

Mbona husemi kuhusu Quran....Hamas wameifuta kwa vitendo...Palestine ni yao (Wakfu) Walipewa na Mungu...


Goals of the HAMAS:
"The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinian movement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life is Islam. It strives to raise the banner of Allah over every inch of Palestine." (Article 6)

On the destruction of Israel:

"Israel will exist and will continue to exist until Islam will obliterate it, just as it obliterated others before it." (Preamble)

The exclusive Moslem nature of the area:

"The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession] consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No one can renounce it or any part, or abandon it or any part of it." (Article 11)
"Palestine is an Islamic land... Since this is the case, the Liberation of Palestine is an individual duty for every Moslem wherever he may be." (Article 13)

The call to jihad:

"The day the enemies usurp part of Moslem land, Jihad becomes the individual duty of every Moslem. In the face of the Jews' usurpation, it is compulsory that the banner of Jihad be raised." (Article 15)
"Ranks will close, fighters joining other fighters, and masses everywhere in the Islamic world will come forward in response to the call of duty, loudly proclaiming: 'Hail to Jihad!'. This cry will reach the heavens and will go on being resounded until liberation is achieved, the invaders vanquished and Allah's victory comes about." (Article 33)
 
Mungu asie na upendeleo, kapendelea Taifa moja!!

Contradictions tupu!

Unajua Hamas wanasema nini....Wanaijua Quran kuliko Waislamu wengi wa Kimatumbi....


Sermon delivered by 'Atallah Abu Al-Subh, former Hamas minister of culture, which aired on Al-Aqsa TV, April 8, 2011, translation by MEMRI​

"Whoever is killed by a Jew receives the reward of two martyrs, because the very thing that the Jews did to the prophets was done to him.

"The Jews are the most despicable and contemptible nation to crawl upon the face of the Earth, because they have displayed hostility to Allah.

"Allah will kill the Jews in the hell of the world to come, just like they killed the believers in the hell of this world.
 
Hizi dini zetu naiona shida zaidi. Sikuoja napita nakutana na Mwingira anahurbiri, mahubiri yenyewe sikuelewa kabisa aisee. Kwamba mtu unaweza kwenda kwenye mkutano wa injili alafu mhubiri anaishia kumtukana shetani. Injili hiyo,

Kwa uelewa wangu nikimtafakari SHETANI siyo lelemama. Mungu mwenyewe alishi dwa kumuua kwenye Ile vita, mwanajeshi alishindwa vita na mwimbaji wa kwaya. Alafu walokole wanamchukulia lelemama sana SHETANI.
 
Ukatoriki ulifikaje Rome-Italy na kuwa dhehebu la kwenye ukristo.
Anglican wamekuaje waingereza na ni christians.
Lutheran pia nao ni vipi.
Mwamposa, Gwajima, Mzee wa upako nk wanatofauti gani na hao wengine kuanzia Vatican mpaka pale church of London.

Biblia imeanzia pale mashariki ya kati Israeli, na biblia hiyohiyo inasema Israeli ndio Taifa teule.. na sio Tanzania wala Kenya..

Yaani Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na ardhi atuumbe wooote na mataifa yetu halafu aibariki Israeli na waIsraeli.
Christianity left Israel as a family, Came to Rome as religion, Went to England as Politics ended up in Africa as Business.

Ukatoliki ni UTAPELI.
 
Nauliza "xn" unamaanisha Nini?
Ukiona mtu anaandika hivyo usiemdelee kumsikiliza maana hajitambui. Hawa ni miongoni mwa wale goli lilitanuliwa Kila mfungaji afunge. Kizazi Cha hovyo sana kwenye Kila kitu.
 
Mbona husemi kuhusu Quran....Hamas wameifuta kwa vitendo...Palestine ni yao (Wakfu) Walipewa na Mungu...


Goals of the HAMAS:
"The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinian movement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life is Islam. It strives to raise the banner of Allah over every inch of Palestine." (Article 6)

On the destruction of Israel:
"Israel will exist and will continue to exist until Islam will obliterate it, just as it obliterated others before it." (Preamble)

The exclusive Moslem nature of the area:
"The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession] consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No one can renounce it or any part, or abandon it or any part of it." (Article 11)
"Palestine is an Islamic land... Since this is the case, the Liberation of Palestine is an individual duty for every Moslem wherever he may be." (Article 13)

The call to jihad:
"The day the enemies usurp part of Moslem land, Jihad becomes the individual duty of every Moslem. In the face of the Jews' usurpation, it is compulsory that the banner of Jihad be raised." (Article 15)
"Ranks will close, fighters joining other fighters, and masses everywhere in the Islamic world will come forward in response to the call of duty, loudly proclaiming: 'Hail to Jihad!'. This cry will reach the heavens and will go on being resounded until liberation is achieved, the invaders vanquished and Allah's victory comes about." (Article 33)
Siungi mkono itikadi za kiislam, zimejaa chuki na kila aina ya visasi. Ugaidi ni ushetani na hata mtume Mohamed alipigana vita 83 enzi za uhai wake, hiyo ni sifa ya mtu muovu hata akipambwa kwa maneno mazuri kiasi gani.

Lakini pia siungi mkono unyama unaofanywa na Israel huko huko kwao. Hawana huu usafi unaozungumzwa kwenye media mbalimbali.
 
kasome kwanza bible usiwe kama andazi.

bible imeandika wazi,Yesu alikataliwa na hao wayahudi,ndio sababu hata ya kuuawa kwake.
Kumkataa ndio imefanya tuambiwe na sisi wa mataifa tumpokee Yesu.
Asingekataliwa uyahudini wala sisi tusingehusika nae
 
Suala hapo sio imani yako ndogo sema huyajui maandiko. Yesu alisema "Mwapotea kwa sababu hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu". (Mathayo 22:29)

Shida nyingine ni kwamba kila mtu ana maana yake kichwani anaposikia maneno "Taifa Teule". Mungu aliwahi kumuita Nebukadreza kuwa ni mtumishi wake (Yeremia 43:10), huyu alikuwa mfalme wa Babeli aliyewateka waisraeli na kutaka watu wote walio chini ya dola yake waiabudu sanamu. Sasa ungejiuliza kivipi Mungu amuite mtumishi wake.

Mungu kuifanya Israeli kuwa taifa teule haina maana kuwa wanaishi watakatifu tu mule ndani, ziko sababu ambazo ulipaswa kuuliza kama huzijui, na Biblia yenyewe sehemu nyingi inaonesha jinsi Mungu alivyowaadhibu Taifa zima kwa vile walivyokuwa wakimtenda dhambi. Tafuta maana ya kuwa taifa teule ndani ya maandiko sio maneno ya mtaani ambako kuna wengi wanaojiita wakristo lakini hawaelewi kama wewe.

Halafu Israeli kumkataa Yesu inakuwaje ushahidi wa Biblia kuwa ni ya kutunga? Mbona ilitabiriwa kabla Yesu hajazaliwa, lilitokea wakati wa Yesu mpaka wakamsulubisha, likatabiriwa na mtume Paulo kuwa litaendelea kuwepo.

2 Wakorintho 3: 14-16
"nasi si kama Musa alivyotia utaji juu ya uso wake, ili kwamba Waisraeli wasitazame sana mwisho wa ile iliyokuwa ikibatilika;

ila fikira zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi, wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba huondolewa katika Kristo;

ila hata leo, torati ya Musa isomwapo, utaji huikalia mioyo yao.

Lakini wakati wo wote watakapomgeukia Bwana, ule utaji huondolewa
."
 
Ukatoriki ulifikaje Rome-Italy na kuwa dhehebu la kwenye ukristo.
Anglican wamekuaje waingereza na ni christians.
Lutheran pia nao ni vipi.
Mwamposa, Gwajima, Mzee wa upako nk wanatofauti gani na hao wengine kuanzia Vatican mpaka pale church of London.

Biblia imeanzia pale mashariki ya kati Israeli, na biblia hiyohiyo inasema Israeli ndio Taifa teule.. na sio Tanzania wala Kenya..

Yaani Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na ardhi atuumbe wooote na mataifa yetu halafu aibariki Israeli na waIsraeli.
Walipomkataa Yesu ndipo rehema kwa wayahudi kuwa taifa teule ilipokoma rejea Matayo 21:42-43
Screenshot_20231026-144142_1698320554118.jpg
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza, wakati sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu, Wayahudi wenyewe hawamkubali Yesu, na wameukataa kabisa Ukristo.

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Kumbe jibu unalo! 🙂
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza, wakati sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu, Wayahudi wenyewe hawamkubali Yesu, na wameukataa kabisa Ukristo.

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Sisi Jews hatutumii jina la Yesu au Jesus, sisi tunamuita ABBA YAHUSHAH!,
Tunaamini jina yesu, limetokana na miungu ya kigiriki Zeus, krishna N. K,
Pia hatuamini kama amekuja,au alishakuja na akateswa! we are waiting her Abba YAHUSHAH.
 
Back
Top Bottom