Kudorora kwa muhimili wa familia na wimbi la kukataa ndoa ni ishara ya ushindi kwa shetani

Kudorora kwa muhimili wa familia na wimbi la kukataa ndoa ni ishara ya ushindi kwa shetani

Unadhani ndoa ilianzishwa na Yahweh?

Ndoa zilikuwepo hata kabla ya ukristo kuja

Binadamu alianza kuishi kwenye makundi tokea zamani sana

Kwa maendeleo tuliyonayo sasa inawezekana kabisa kuishi bila kuwa na kikundi chako

Sawa mnatumia kisingizio cha dini kutisha watu, lakini tunaona kabisa wasiooa mbona wanaishi maisha ya kawaida tu
 
Zamani watu walikuwa wanaoana makabila ya karibu, sasa hivi Muha wa Kigoma yuko Dar es Salaam amekutana na Mngoni wa Songea na wote na mafukara huo muda wa kufuata taratibu za kimila wanaupata wapi?
Sio makabila tu, sikuhizi hata wazungu wanaoana na waafrika au watu wengine, baada ya dini kuenea taratibu za kimila zimepungua labda maeneo ambayo bado dini hazijafika
 
Kwahio kuna mashindano kati ya Shetani na Mungu, and what is at stake ? Fanya vile hata kama roho yako haipendi bila hivyo utachomwa moto maisha yako yote ? Yaani you are damned either way ?

Kwahio we are just pawns in others game ?Just like AbbA said;
The gods may throw a dice
Their minds as cold as ice
And someone way down here
Loses someone dear​
 
Kwahio kuna mashindano kati ya Shetani na Mungu, and what is at stake ? Fanya vile hata kama roho yako haipendi bila hivyo utachomwa moto maisha yako yote ? Yaani you are damned either way ?

Kwahio we are just pawns in others game ?Just like AbbA said;
The gods may throw a dice
Their minds as cold as ice
And someone way down here
Loses someone dear​
Sijakuelewa hapo mkuu, ila sijasema kuna mashindano kati ya Mungu na shetani
 
Pia kumbuka kwamba Mungu aliweka ahadi kwamba hatoleta gharika au kusambaratisha vizazi kwa maovu yao tena, bali atawasubiri mpaka siku ya hesabu ifike
Hukumu huwa inakuja kwa njia nyingi mno.

  • Wengine walipigwa gharika.​
  • Wengine walipigwa na moto.​
  • Wengine walipigwa na magonjwa ya milipuko.​
  • Wengine walipigwa kwa vita na maangamizi mengine.​


Sasa hivyo haya mambo yatakuwepo, japo naamini hiki kizazi chetu kinaweza kukumbwa na matatizo makubwa mno kwasababu THIS IS A SECOND TIME WE HAVE SUCCESSFULLY BUILT A MULTI-CONTINENTAL CIVILIZATION under a web of Globalization and Capitalism.

Japo binafsi naamini, siyo sahihi kulazimisha watu waingie kwenye ndoa.
 
Hahaha

1000012399.jpg
 
Mnampa tu Sifa shetani ambazo hastahili. Hawezi kushinda vita Duniani wala Mbinguni. Kama ndivyo basi binaadam asingelikuwapo
Nyakati hizi ni za hatari sana, lakini zilikuwepo huko nyuma. Yote uyaonayo ya Homosexuality, Abortions, Transgenderism, Violence and War yalikuwepo katika vipindi vyote vya wanadamu (All the ages of men), na ndiyo vimekuwa vyanzo vikubwa vya madola ya kale kuanguka.
Dola lolote lile huanza kuanguka kutokana na uozo wa ndani (Internal Decadence), manifested in the form of extreme corruption, sexual perversion, hatred towards GOD & The Divine and Lawlessness. Hivyo jamii yetu pia inaelekea kwenye anguko kubwa kama jamii za kale:

  • The Antedeluvian Age ilianguka kisa uozo wa hivi.​
  • The Post Deluvian Age ilianguka kisa uozo wa hivi.​
  • The Bronze Age ilianguka kisa uozo wa hivi.​
  • The Iron Age ilianguka kisa uozo wa hivi.​
  • The Medieveal Age ilianguka kisa uozo wa hivi.​
  • The Middle Ages ilianguka kisa uozo wa hivi.​
  • The Capitalist na Information age itaenda kuanguka soon.​


Hivyo dunia haiwezi kuisha, lakini OUR AGE IS AT THE PRECIPICE, na kama maandika yanavyosema. Matthew 24:37 "As it was in the days of Noah, so it will be at the coming of the Son of Man". Haya yote ya sijui USHOGA, KUTOA MIMBA, RUSHWA yalifanywa hata na mataifa ya kale ya ISRAL NA YUDA, ukisoma kwenye Yeremia, NYAKATI n WAFALME. Na ndiyo chanzo kikubwa MUNGU kuwafukuza Waisraeli pale Middle-East.

Kuna kitabu kinaitwa THE GREAT LEVELER: VIOLENCE AND THE HISTORY OF INEQUALITY FROM THE STONE AGE TO TWENY FIRST CENTURY, kimeandikwa na Walter Scheidel, kinasema kwamba Ustaarabu (Civilizations) huwa zinafika juu na kujisahau hivyo zinaanguka vibaya na kuzaliwa nyingine ambazo zinakuwa hazina hatia na zenye usawa kwa watu wote.

Upo sahihi kabisa
 
Hukumu huwa inakuja kwa njia nyingi mno.

  • Wengine walipigwa gharika.​
  • Wengine walipigwa na moto.​
  • Wengine walipigwa na magonjwa ya milipuko.​
  • Wengine walipigwa kwa vita na maangamizi mengine.​


Sasa hivyo haya mambo yatakuwepo, japo naamini hiki kizazi chetu kinaweza kukumbwa na matatizo makubwa mno kwasababu THIS IS A SECOND TIME WE HAVE SUCCESSFULLY BUILT A MULTI-CONTINENTAL CIVILIZATION under a web of Globalization and Capitalism.

Japo binafsi naamini, siyo sahihi kulazimisha watu waingie kwenye ndoa.
Kweli sio sahihi kulazimisha, lakini ni vyema kuwakumbusha kwani tunaishi katika jamii ambayo inategemeana, kama wengi wakikataa ndoa inamaana tutakuwa na jamii ambayo haina maadili na uzinifu utakuwa kwa kasi na itaonekana ni jambo la kawaida
 
Mnampa tu Sifa shetani ambazo hastahili. Hawezi kushinda vita Duniani wala Mbinguni. Kama ndivyo basi binaadam asingelikuwapo


Upo sahihi kabisa
Hapa duniani shetani atashinda, ushindi wake unapimwa na wangapi ameweza kuwapotosha, lakini Mbinguni Mungu anamsubiri na huko shetani hana mamlaka yoyote na ataadhibiwa pamoja na wafuasi wake
 
Hayo mawazo hayachagui rika, sote tutakuwa na familia na ni muhimu kukumbushana
Tokaaa hapaa! Kijana mdogo kuwa na fikra za kizee, na bado utaota had upara afu kikulambee vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tokaaa hapaa! Kijana mdogo kuwa na fikra za kizee, na bado utaota had upara afu kikulambee vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakni sikuhizi wameacha kunisalimia, nimewaambia mimi sio babu yao
 
Kweli sio sahihi kulazimisha, lakini ni vyema kuwakumbusha kwani tunaishi katika jamii ambayo inategemeana, kama wengi wakikataa ndoa inamaana tutakuwa na jamii ambayo haina maadili na uzinifu utakuwa kwa kasi na itaonekana ni jambo la kawaida
Mtume Paulo Mwenyewe anasema angependa watu wasioe na kuolewa na wawe kama yeye. Binafsi hata kwenye BIBLIA sijaona amri inayolazimisha mtu aoe.

Jambo ambalo wengi tunajidanganya ni hili, tunaamini kwamba NDOA ndiyo mwarobaini wa SEXUAL PERVESION. Hata vijana waamue kuoa au kuolewa, tatizo la uchafu haliwezi kuisha, maana huko kale jamii za RUMI na UGIRIKI, watu walioa na kuolewa, lakini bado wakafanya uchafu.

Muhimu ni kukubali kwamba mbali na SEXUAL PERVERSION, kuna mambo mengi mno ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yanapelekea jamii kufika hapa ilipo. Mfano, vijana wengi wanashindwa kuoa kwasababu za kiuchumi na siyo SEXUAL PERVERSION.

Wanaogopa kuoa ilhali hawana hata ajira na mwelekeo kimaisha. Hili la kusema kwamba hawataki kuoa kwasababu ya SEXUAL PERVERSION siyo sahihi sana.
 
Mtume Paulo Mwenyewe anasema angependa watu wasioe na kuolewa na wawe kama yeye. Binafsi hata kwenye BIBLIA sijaona amri inayolazimisha mtu aoe.

Jambo ambalo wengi tunajidanganya ni hili, tunaamini kwamba NDOA ndiyo mwarobaini wa SEXUAL PERVESION. Hata vijana waamue kuoa au kuolewa, tatizo la uchafu haliwezi kuisha, maana huko kale jamii za RUMI na UGIRIKI, watu walioa na kuolewa, lakini bado wakafanya uchafu.

Muhimu ni kukubali kwamba mbali na SEXUAL PERVERSION, kuna mambo mengi mno ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yanapelekea jamii kufika hapa ilipo. Mfano, vijana wengi wanashindwa kuoa kwasababu za kiuchumi na siyo SEXUAL PERVERSION.

Wanaogopa kuoa ilhali hawana hata ajira na mwelekeo kimaisha. Hili la kusema kwamba hawataki kuoa kwasababu ya SEXUAL PERVERSION siyo sahihi sana.
Mkuu umesema vyema kabisa, wengine wanasema hawaingii kweye ndoa kwasababu wanaogopa kuchapiwa
 
Back
Top Bottom