mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
Sio makabila tu, sikuhizi hata wazungu wanaoana na waafrika au watu wengine, baada ya dini kuenea taratibu za kimila zimepungua labda maeneo ambayo bado dini hazijafikaZamani watu walikuwa wanaoana makabila ya karibu, sasa hivi Muha wa Kigoma yuko Dar es Salaam amekutana na Mngoni wa Songea na wote na mafukara huo muda wa kufuata taratibu za kimila wanaupata wapi?
Yahweh ni nani?Unadhani ndoa ilianzishwa na Yahweh?
mungu wa wakristoYahweh ni nani?
Sijakuelewa hapo mkuu, ila sijasema kuna mashindano kati ya Mungu na shetaniKwahio kuna mashindano kati ya Shetani na Mungu, and what is at stake ? Fanya vile hata kama roho yako haipendi bila hivyo utachomwa moto maisha yako yote ? Yaani you are damned either way ?
Kwahio we are just pawns in others game ?Just like AbbA said;
The gods may throw a dice
Their minds as cold as ice
And someone way down here
Loses someone dear
Anhaaa, nilikuwa sijui hilomungu wa wakristo
kama kuna mshindwa na mshindi hayo ni nini ?Sijakuelewa hapo mkuu, ila sijasema kuna mashindano kati ya Mungu na shetani
Pia kumbuka kwamba Mungu aliweka ahadi kwamba hatoleta gharika au kusambaratisha vizazi kwa maovu yao tena, bali atawasubiri mpaka siku ya hesabu ifike
Nyakati hizi ni za hatari sana, lakini zilikuwepo huko nyuma. Yote uyaonayo ya Homosexuality, Abortions, Transgenderism, Violence and War yalikuwepo katika vipindi vyote vya wanadamu (All the ages of men), na ndiyo vimekuwa vyanzo vikubwa vya madola ya kale kuanguka.
Dola lolote lile huanza kuanguka kutokana na uozo wa ndani (Internal Decadence), manifested in the form of extreme corruption, sexual perversion, hatred towards GOD & The Divine and Lawlessness. Hivyo jamii yetu pia inaelekea kwenye anguko kubwa kama jamii za kale:
The Antedeluvian Age ilianguka kisa uozo wa hivi. The Post Deluvian Age ilianguka kisa uozo wa hivi. The Bronze Age ilianguka kisa uozo wa hivi. The Iron Age ilianguka kisa uozo wa hivi. The Medieveal Age ilianguka kisa uozo wa hivi. The Middle Ages ilianguka kisa uozo wa hivi. The Capitalist na Information age itaenda kuanguka soon.
Hivyo dunia haiwezi kuisha, lakini OUR AGE IS AT THE PRECIPICE, na kama maandika yanavyosema. Matthew 24:37 "As it was in the days of Noah, so it will be at the coming of the Son of Man". Haya yote ya sijui USHOGA, KUTOA MIMBA, RUSHWA yalifanywa hata na mataifa ya kale ya ISRAL NA YUDA, ukisoma kwenye Yeremia, NYAKATI n WAFALME. Na ndiyo chanzo kikubwa MUNGU kuwafukuza Waisraeli pale Middle-East.
Kuna kitabu kinaitwa THE GREAT LEVELER: VIOLENCE AND THE HISTORY OF INEQUALITY FROM THE STONE AGE TO TWENY FIRST CENTURY, kimeandikwa na Walter Scheidel, kinasema kwamba Ustaarabu (Civilizations) huwa zinafika juu na kujisahau hivyo zinaanguka vibaya na kuzaliwa nyingine ambazo zinakuwa hazina hatia na zenye usawa kwa watu wote.
Kweli sio sahihi kulazimisha, lakini ni vyema kuwakumbusha kwani tunaishi katika jamii ambayo inategemeana, kama wengi wakikataa ndoa inamaana tutakuwa na jamii ambayo haina maadili na uzinifu utakuwa kwa kasi na itaonekana ni jambo la kawaidaHukumu huwa inakuja kwa njia nyingi mno.
Wengine walipigwa gharika. Wengine walipigwa na moto. Wengine walipigwa na magonjwa ya milipuko. Wengine walipigwa kwa vita na maangamizi mengine.
Sasa hivyo haya mambo yatakuwepo, japo naamini hiki kizazi chetu kinaweza kukumbwa na matatizo makubwa mno kwasababu THIS IS A SECOND TIME WE HAVE SUCCESSFULLY BUILT A MULTI-CONTINENTAL CIVILIZATION under a web of Globalization and Capitalism.
Japo binafsi naamini, siyo sahihi kulazimisha watu waingie kwenye ndoa.
Hiyo ni ishara kwamba shetani anazidi kushinda kwa kupotosha wengiIla hili wimbi la "kataa Ndoa" linaenda Kasi Sana.
Watu hawataki ndoa kabisa
Hapa duniani shetani atashinda, ushindi wake unapimwa na wangapi ameweza kuwapotosha, lakini Mbinguni Mungu anamsubiri na huko shetani hana mamlaka yoyote na ataadhibiwa pamoja na wafuasi wakeMnampa tu Sifa shetani ambazo hastahili. Hawezi kushinda vita Duniani wala Mbinguni. Kama ndivyo basi binaadam asingelikuwapo
Upo sahihi kabisa
Tokaaa hapaa! Kijana mdogo kuwa na fikra za kizee, na bado utaota had upara afu kikulambee vizuri.Hayo mawazo hayachagui rika, sote tutakuwa na familia na ni muhimu kukumbushana
Lakni sikuhizi wameacha kunisalimia, nimewaambia mimi sio babu yaoTokaaa hapaa! Kijana mdogo kuwa na fikra za kizee, na bado utaota had upara afu kikulambee vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshindi ni shetani na mashindwa ni mwanadamu sio MUNGUkama kuna mshindwa na mshindi hayo ni nini ?
Kweli sio sahihi kulazimisha, lakini ni vyema kuwakumbusha kwani tunaishi katika jamii ambayo inategemeana, kama wengi wakikataa ndoa inamaana tutakuwa na jamii ambayo haina maadili na uzinifu utakuwa kwa kasi na itaonekana ni jambo la kawaida
Mkuu umesema vyema kabisa, wengine wanasema hawaingii kweye ndoa kwasababu wanaogopa kuchapiwaMtume Paulo Mwenyewe anasema angependa watu wasioe na kuolewa na wawe kama yeye. Binafsi hata kwenye BIBLIA sijaona amri inayolazimisha mtu aoe.
Jambo ambalo wengi tunajidanganya ni hili, tunaamini kwamba NDOA ndiyo mwarobaini wa SEXUAL PERVESION. Hata vijana waamue kuoa au kuolewa, tatizo la uchafu haliwezi kuisha, maana huko kale jamii za RUMI na UGIRIKI, watu walioa na kuolewa, lakini bado wakafanya uchafu.
Muhimu ni kukubali kwamba mbali na SEXUAL PERVERSION, kuna mambo mengi mno ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ambayo yanapelekea jamii kufika hapa ilipo. Mfano, vijana wengi wanashindwa kuoa kwasababu za kiuchumi na siyo SEXUAL PERVERSION.
Wanaogopa kuoa ilhali hawana hata ajira na mwelekeo kimaisha. Hili la kusema kwamba hawataki kuoa kwasababu ya SEXUAL PERVERSION siyo sahihi sana.