Kudrive umbali mrefu

Kudrive umbali mrefu

Thread 'Je, unapenda kuendesha gari lako kwa usalama? Pitia hapa' Je, unapenda kuendesha gari lako kwa usalama? Pitia hapa
Huu uzi mbona kama uli copy hapa?

 
Huu uzi mbona kama uli copy hapa?

Upo sahihi mkuu.Niliukopi ila sikuonyeshesha point of reference.Ila lengo ni kuokoa maisha ya watu.
 
Kwamara ya kwanza mwisho wa mwez huu nimepanga ksafir umbali mrefu kwakutumia usafir binafsi Dar to Mwanza. Naomba muongozo kipi cha kuzingatia hasa ili kupunguza mazonge njiani hususani issue ya service ya chombo chenyew?
Safar ndefu ambayo niliwah kusafir ni kutoka Masasi hadi Arusha.
NImeondoka Masasi sa 1 usiku nikaingia Arusha sa 8 Mchana.
Umbali ni wastan wa 100km+
 
1. Hakikisha unafanya service ya engine.
2. Hakikisha unakua na spare tyre.
3. Hakikisha unakua na wheels spaner, Jeki, Pembe tatu, fire extinguisher.
4. Hakikisha gari ina bima na kadi ya ukaguzi.
5. Kutoka Dar to Morogoro jitahidi kua makini sana kwasababu kidogo lami imejisokota na kuna tochi nyingi pia kua makini na magari makubwa yanayo paki karibu na barabara hasa kuanzia Chalinze, Gairo na Dumila.
6. Ukisigea Pandambili to Kibaigwa pale tembea mwendo wa haja wala usiwe na shaka.
7. Kutoka Kibaigwa hadi Chamwino barabara ipo vizuri ila kua makini pale Mtanana karibu na Nako hua kuna Trafic wanaweka kizuizi cha kizushi nabhawaeleweki wale, lakini barabara ipo njema hadi unaingia Dodoma.
We jamaa ni mwenyeji sana wa hii barabara, kula five[emoji1477]
 
Muhimu zaidi, endesha kwa kujilinda. Tii sheria za barabarani.

Upo kwenye safari yako mwenyewe. Usipende ligi za kipuuzi.

Fahami uwezo wa engine yako. Kisha tumia uwezo huo katika uendeshaji wa kiungwana.

Ukijihisi mchovu, simama. Pumzika kisha endelea na safari.
Nadhan Ni muhimu pia kujua anaendesha gari gani
 
Kwamara ya kwanza mwisho wa mwez huu nimepanga ksafir umbali mrefu kwakutumia usafir binafsi Dar to Mwanza. Naomba muongozo kipi cha kuzingatia hasa ili kupunguza mazonge njiani hususani issue ya service ya chombo chenyew?
Wee dili na alama za barabarani epuka over taking zisizo na ulazima fuata masharti ya barabara safari yako uta enjoy.
Ila dar to mwanza ni karibu sana siku nyingine usiseme hivo.
Mi natoka dar hadi guba kusini sudani naiona ilee naicha tena naendelea wee unasema mwanza?daaa
 
1. Hakikisha unafanya service ya engine.
2. Hakikisha unakua na spare tyre.
3. Hakikisha unakua na wheels spaner, Jeki, Pembe tatu, fire extinguisher.
4. Hakikisha gari ina bima na kadi ya ukaguzi.
5. Kutoka Dar to Morogoro jitahidi kua makini sana kwasababu kidogo lami imejisokota na kuna tochi nyingi pia kua makini na magari makubwa yanayo paki karibu na barabara hasa kuanzia Chalinze, Gairo na Dumila.
6. Ukisigea Pandambili to Kibaigwa pale tembea mwendo wa haja wala usiwe na shaka.
7. Kutoka Kibaigwa hadi Chamwino barabara ipo vizuri ila kua makini pale Mtanana karibu na Nako hua kuna Trafic wanaweka kizuizi cha kizushi nabhawaeleweki wale, lakini barabara ipo njema hadi unaingia Dodoma.
Wale hua napiga full mara moja wananiambia tembea nasindikiza na hone kidogo basi safari inaendelea[emoji2]
 
Back
Top Bottom