Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Jibu hapo ni undefined!

Ni sawa na kugawa namba kwa sifuri.
 
Umesahau mzinzi anayemchukua mke wa mtu ilhali imeandikwa ndoa utenganishwa na kifo ama uzinzi na atakayeoa aliyeachika anazini.

Wazinzi CCM ndio wamejaaa sasa sijui mnawanyoshea vidole wenzenu wakati wao wenyewe wanajaza vimada. wakuu wa wilaya wengi ni.....................na wengine wengi tu
 
Kumlinganisha Lowassa na Slaa ni kumdhalilisha Lowassa, hawaendani hata kidogo, Lowassa ni kiongozi siyo mbabaishaji.

Body without head
 
CCM ni chama kikongwe sio tu hapa kwetu TANZANIA ila hata kwa bara letu la Africa kimebakia kuwa ni chama adhimu kati ya vyama vilivyowaletea wananchi uhuru kutoka kwenye utawala wa Wakoloni.
Kwa bahati mbaya sana CCM kimepoteza mwelekeo na Imani ya kuendelea kuwaongoza Wananchi wake.Mambo yanayokifanya chama hiki kikongwe kipoteze mvuto kwa UMMA ni pamoja na kushindwa kuidhibiti ama kuiondoa kabisa Rushwa,Kutotimiza baadhi ya Ahadi zake muhimu walizoadi wakati wa Kampeni Viongozi walioko madarakani, Mfano:-MAISHA BORA KWA KILA MTZ,UNUNUZI WA MELI MPYA TATU (3) Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa na UJENZI WA RELI KWA MATUMIZI TRENI IENDAYO KASI KUTOKA DAR HADI MWANZA.
Pamoja na chama hiki kikongwe kuendelea kuonesha ni kweli kimezeeka sana hata kukosa uwezo wa kuzuia mfumko wa bei kwa bidhaa za Mafuta (Petrol na Disel),Vyakula na Bidhaa za Ujenzi.
Lakini chama hiki bado kinajipiga kifua na kujinadi kwa Wananchi kwamba Kitabakia madarakani kwa miaka mingi ijayo.
Tumebakiwa na mwaka moja tu na miezi michache tuingie tena kwenye Uchaguzi Mkuu unaolenga kupata Madiwani,Wabunge na Rais.Dalili zoote zinaonesha wazi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI kuna fukuto la Moshi la kuashiria mbio za Urais zilishaanza kitambo-Hakuna wakupuuzia dalili hizo la awe mwendawazimu peke yake.Mara utasikia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh.Benard Membe anatajwa naye yumo kwa wasaka tonge kupitia Urais!!!
Siku za hivi karibuni kwa WANAOWANIA URAIS kasi yao ya kujitambulisha wazi yenye nia ya kujijenga ama kujiimarisha ndani na nje chama imeongezeka sana hasa kwa Mh.January Makamba na Mh.Edward Lowassa.Je! nani ataibuka mbabe ndani ya CCM mpaka mwisho? Ni AshaRosse Migiro ama Emmanuel Nchimbi? Muda una majibu sahihi.Hata mambo mema na mabaya tujifunze kuyapa wakati siuze wasaka Urais? Kila kitu kitakuwa dhahiri Pumba na Ngano vitabainika.
Wakati CCM imeziba masikio kana kwamba hakujawahi kutokea Ufisadi uwao yote kwenye Nchi hii kwa kuruhusu baadhi ya Vigogo kuendelea kukaza msuli wa kuijiimarisha ili kutafuta uhalali wa kuja kupigiwa KURA yakuwaidhinisha KULA.
Upande wa pili kwa Wapinzani hasa CHADEMA chama kikuu cha Upinzani wao wako kwenye mambo yafuatao:- 1.Kusalitiana ndani ya chama na kuuondoa usaliti huo. 2.Kuimarisha Chama kote Nchini.3.Kuendelea kujizalisha (Ongezeko la Wanachama na Wakereketwa) kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Majimbo hadi Taifa.
CHADEMA kimetabiriwa kufa sio jana na leo tu,mara kadhaa watabiri wengi wameibuka kutokea chama Tawala(CCM Mf.Mh.S.Wassira,) Nakujinadi kwa jamii yote kupitia vyombo vya Habari eti haitafika June 2013 CHADEMA ITAKUWA IMEKUFA. Pamoja na mautabiri yote hayo tunashangaa kuona CHADEMA Ya akina Dr.Slaa, Mbowe,Tundu Lissu, Mnyika, Prof.Abdala Safari,Halima Mdee,G.Lema na wengine wengi bado CHADEMA kinapumzi ya uhai ya kutosha kukabiliana na CCM KWENYE UCHAGUZI MKUU WA 2015.
Shutuma za mikakati na mbinu chafu zakuiua CDM zinaelekezwa noja kwa moja kwa CHAMA CHA MAPINDUZI NA IDARA YA USALAMA WA TAIFA (TISS).
PAMOJA NA HAYO YOTE LEO NATAKA NISEME KIDOGO JUU YA VIGOGO WAWILI NA WANASIASA WA MUDA MREFU HAPA NCHINI;Yaani MH. EDWARD LOWASSA NA DR.WILBROAD SLAA:- Hawa wote wanatumia njia moja ya kujieneza kwa Jamii ya Watanzania,(Tofauti yao ni mmoja anajieneza kwa bidii yake mwenyewe bila ya suport ya chama chake na Mwingine anajieneza kupitia chama chake ili kuifikia Nguvu ya Umma)
Bila kupuuza Mh.Eddo Lowassa anatambua sana umuhimu wa rasilimali watu, amewafikia misikitini na makanisani,anao watu Jeshini,tiss,wakuu wa Mikoa na Wilaya hata kwa watu wa rika zote utasikia Lowasaa anasifiwa kuliko anavyoshambuliwa kuwa ni Fisadi,CCM WAKIMWEGUA MAPEMA INAHOFIWA HUO NDIO UTAKUWA MWISHO WA CCM MAANA Mh.Lowassa ataondoka na kundi kubwa Kuhamia CHADEMA au kwenda chama kingine kipya kitakachokuwa kimeanzishwa mapema 2014.
Hakuna ubishi Dr.Slaa anakubalika sana kwa misimamo yake iliyo thabiti na kwa utendaji wake uliotukuka.MH.LOWASSA NA DR.SLAA WOTE NI WACHAPA KAZI NA WOTE WANATOKA WANATOKA KASKAZINI.
Ikitokea wote wawili kila mmoja akasimamishwa ili kupeperusha Bendera ya chama chake NANI ATAIBUKA KUWA MSHINDI NA KUWA RAIS WA JMT???
Nawasilisha kwenu wana JF.
asha rose migiro
 
Jibu mbona ni rahisi tu. Nalo ni kuwa Rais wa 2015 bado hata hajachaguliwa.
 
Nakupa fact nyingine ...linganisha maendeleo ya sehemu mbili kwa jitihada za usimamizi wa kodi na si pesa kutoka mfukoni kati ya Monduli na Karatu alafu utwambie ipi tuipe kura nyingi? alafu haukuona mpaka juzi waziri wako anaisifia Karatu kwa kusimamia mipango ya maendeleo? uliwahi kusikia Monduli?
 
Hakuna hata mmoja kati yao atakuwa wooooote hawajajiandaa kwa ajili ya hili ila wanachofanya ni maandalizi ya tamaa mbaya ya madalaka huku nyuma wamefumbata visasi.
 
CCM ni chama kikongwe sio tu hapa kwetu TANZANIA ila hata kwa bara letu la Africa kimebakia kuwa ni chama adhimu kati ya vyama vilivyowaletea wananchi uhuru kutoka kwenye utawala wa Wakoloni.
Kwa bahati mbaya sana CCM kimepoteza mwelekeo na Imani ya kuendelea kuwaongoza Wananchi wake.Mambo yanayokifanya chama hiki kikongwe kipoteze mvuto kwa UMMA ni pamoja na kushindwa kuidhibiti ama kuiondoa kabisa Rushwa,Kutotimiza baadhi ya Ahadi zake muhimu walizoadi wakati wa Kampeni Viongozi walioko madarakani, Mfano:-MAISHA BORA KWA KILA MTZ,UNUNUZI WA MELI MPYA TATU (3) Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa na UJENZI WA RELI KWA MATUMIZI TRENI IENDAYO KASI KUTOKA DAR HADI MWANZA.
Pamoja na chama hiki kikongwe kuendelea kuonesha ni kweli kimezeeka sana hata kukosa uwezo wa kuzuia mfumko wa bei kwa bidhaa za Mafuta (Petrol na Disel),Vyakula na Bidhaa za Ujenzi.
Lakini chama hiki bado kinajipiga kifua na kujinadi kwa Wananchi kwamba Kitabakia madarakani kwa miaka mingi ijayo.
Tumebakiwa na mwaka moja tu na miezi michache tuingie tena kwenye Uchaguzi Mkuu unaolenga kupata Madiwani,Wabunge na Rais.Dalili zoote zinaonesha wazi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI kuna fukuto la Moshi la kuashiria mbio za Urais zilishaanza kitambo-Hakuna wakupuuzia dalili hizo la awe mwendawazimu peke yake.Mara utasikia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh.Benard Membe anatajwa naye yumo kwa wasaka tonge kupitia Urais!!!
Siku za hivi karibuni kwa WANAOWANIA URAIS kasi yao ya kujitambulisha wazi yenye nia ya kujijenga ama kujiimarisha ndani na nje chama imeongezeka sana hasa kwa Mh.January Makamba na Mh.Edward Lowassa.Je! nani ataibuka mbabe ndani ya CCM mpaka mwisho? Ni AshaRosse Migiro ama Emmanuel Nchimbi? Muda una majibu sahihi.Hata mambo mema na mabaya tujifunze kuyapa wakati siuze wasaka Urais? Kila kitu kitakuwa dhahiri Pumba na Ngano vitabainika.
Wakati CCM imeziba masikio kana kwamba hakujawahi kutokea Ufisadi uwao yote kwenye Nchi hii kwa kuruhusu baadhi ya Vigogo kuendelea kukaza msuli wa kuijiimarisha ili kutafuta uhalali wa kuja kupigiwa KURA yakuwaidhinisha KULA.
Upande wa pili kwa Wapinzani hasa CHADEMA chama kikuu cha Upinzani wao wako kwenye mambo yafuatao:- 1.Kusalitiana ndani ya chama na kuuondoa usaliti huo. 2.Kuimarisha Chama kote Nchini.3.Kuendelea kujizalisha (Ongezeko la Wanachama na Wakereketwa) kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Majimbo hadi Taifa.
CHADEMA kimetabiriwa kufa sio jana na leo tu,mara kadhaa watabiri wengi wameibuka kutokea chama Tawala(CCM Mf.Mh.S.Wassira,) Nakujinadi kwa jamii yote kupitia vyombo vya Habari eti haitafika June 2013 CHADEMA ITAKUWA IMEKUFA. Pamoja na mautabiri yote hayo tunashangaa kuona CHADEMA Ya akina Dr.Slaa, Mbowe,Tundu Lissu, Mnyika, Prof.Abdala Safari,Halima Mdee,G.Lema na wengine wengi bado CHADEMA kinapumzi ya uhai ya kutosha kukabiliana na CCM KWENYE UCHAGUZI MKUU WA 2015.
Shutuma za mikakati na mbinu chafu zakuiua CDM zinaelekezwa noja kwa moja kwa CHAMA CHA MAPINDUZI NA IDARA YA USALAMA WA TAIFA (TISS).
PAMOJA NA HAYO YOTE LEO NATAKA NISEME KIDOGO JUU YA VIGOGO WAWILI NA WANASIASA WA MUDA MREFU HAPA NCHINI;Yaani MH. EDWARD LOWASSA NA DR.WILBROAD SLAA:- Hawa wote wanatumia njia moja ya kujieneza kwa Jamii ya Watanzania,(Tofauti yao ni mmoja anajieneza kwa bidii yake mwenyewe bila ya suport ya chama chake na Mwingine anajieneza kupitia chama chake ili kuifikia Nguvu ya Umma)
Bila kupuuza Mh.Eddo Lowassa anatambua sana umuhimu wa rasilimali watu, amewafikia misikitini na makanisani,anao watu Jeshini,tiss,wakuu wa Mikoa na Wilaya hata kwa watu wa rika zote utasikia Lowasaa anasifiwa kuliko anavyoshambuliwa kuwa ni Fisadi,CCM WAKIMWEGUA MAPEMA INAHOFIWA HUO NDIO UTAKUWA MWISHO WA CCM MAANA Mh.Lowassa ataondoka na kundi kubwa Kuhamia CHADEMA au kwenda chama kingine kipya kitakachokuwa kimeanzishwa mapema 2014.
Hakuna ubishi Dr.Slaa anakubalika sana kwa misimamo yake iliyo thabiti na kwa utendaji wake uliotukuka.MH.LOWASSA NA DR.SLAA WOTE NI WACHAPA KAZI NA WOTE WANATOKA WANATOKA KASKAZINI.
Ikitokea wote wawili kila mmoja akasimamishwa ili kupeperusha Bendera ya chama chake NANI ATAIBUKA KUWA MSHINDI NA KUWA RAIS WA JMT???
Nawasilisha kwenu wana JF.

kwa upande wangu niseme yafuatayo
kama ccm itamsimamisha Mh Lowasa kuwa ni mgombea na ikatokea kuridhika kwa wanachama wote na kuunganisha nguvu kwa lengo la chama kushika dola,basi nafasi kubwa ni Mh Lowasa kuwa rais wa awamu ya 5,lakini kama itatokea wanachama wa ccm ndani ya cc kutoridhika na uteuzi huo na kukawa na kinyongo na kuleta mgawanyiko na makundi ndani ya ccm,itakuwepo nafasi ya Dr Slaa kupata nafasi ya kuwa rais wa awamu ya 5,lakini si kazi raihisi kwa chama pinzani kupata nafasi ya namna hii,ni lazima kazi kubwa ifanywe ya kuhamasisha na kuwa karibu na wanaccm watakao ingia nyongo na kutokubaliana na uteuzi huo.kama wanaccm hao hawatakubali kutoka nje ya ccm na wakaunga mkono chama[hapa namaanisha kuwa,waamue kukinusuru chama],basi Dr Slaa hawezi kupita ktk tundu la sindano.
Tuelewe kuwa,ili vyama pinzani viweze kupata nafasi ya kuingia IKULU ni lazima kutokee SUNAMI ndani ya CCM ,la sivyo ni kama kujaza maji ktk bahari,wanaweza kupoteza viti vya ubunge,lakini si urais.
 
Hapo hakuna aliye mchafu Wala aliye Msafi ila sabuni ni kura yako wewe ukisubiri muadilifu nchi utakuwa chizi Ben
 
Back
Top Bottom