Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,016
- 1,722
Bado hujasema mpaka useme mtaniHuyo simba mwenye wachezaji wabovu na wasiojua kupiga pasi, ndio hao wanaoongoza kwa kupiga pasi nyingi katika ligi na ni wao pia waliocheza mechi chache zaidi lakini pia ni timu pekee haijapoteza mchezo ligi kuu na haina drooo. Usijudge kishabiki embu jaji mpira kwa haki
AahaaaaMadunduka msimu huu baada ya kugundua wamebolonga kwenye usajili..nguvu zoote wameelekeza kwenye ushirikina.
Hivyo kinachombeba kocha mburazil ni ushirikina na hawana kubeza timu yoyote wanayokutana nayo, hata wakikutana na timu ya jiji wapo sambamba na mganga wao.
Otopolo wasipoamka kwa kujivunia kina pakome tu watakuja wajute.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Yanga hana timu hata ya kutoa sare na simba hii ya Robertinho
Simba hii kufungwa sio sasa na nyinyi mnajua kilichobaki ni kujifariji tu ila ukweli mnaujua
'Abali' ya asubuhi bloooYanga hana timu hata ya kutoa sare na simba hii ya Robertinho
Simba hii kufungwa sio sasa na nyinyi mnajua kilichobaki ni kujifariji tu ila ukweli mnaujua
Asenti.......Wananchi subirini kipigo!! Ukweli ni kwamba ukipokea kipigo hutakumbuka kuwa ulicheza mpira wa kuvutia!! kitakachotokea ni kununa!! Kumbukeni mgeni rasmi ni Kibu!!
Mbinu bora, kocha bora, wachezaji bora wameamua mechiKuelekea Mchezo wa Derby ya Kariakoo inayotegemewa kuchezwa jumapili Movembe 5, 2023
Hebu tuangalie Staili ya kucheza ya makocha hawa Miguel Gamondi wa Young Africans na Roberhno wa Simba
Tukianza na Kocha Gamondi Staili yake ya kucheza inamvutia shabiki yeyote ambaye anataka kutazama soka safi, amekuwa akiitengeneza timu yake kucheza mchezo wa kuvutia kwenye kila mechi, pasi nyingi, kosa kosa nyingi na zaidi mpira wa burudani, Hii ni staili bora ambayo mashabiki wanaipenda na amekuwa na uwezo wa kubadilika kwenye kila mchezo kwenye eneo la ushambuliaji, kiungo na hata mabeki kutokana na kikosi chake kuwa na watu wengi.
Siyo jambo la ajabu kucheza bila mshambuliaji kwenye mechi zake, siyo ajabu kumuona Mzize akianza na siyo ajabu kumuona akiwatumia mabeki watatu badala ya wanne kama ilivyokuwa kwenye mchezo dhidi ya Azam.
Kwa upande wa Kocha wa Simba Robertinho, amekuwa tofauti na Gamondi msimu huu timu yake haijacheza mechi hata moja ikivutia, lakini ni timu ambayo ni ngumu kupoteza mchezo kwenye dakika tisini pamoja na kwamba imekuwa ikiruhusu mabao mengi kwenye timu yake.
Robertinho amekuwa akibadili kikosi chake kila kila kinachopata bao au kinaporuhusu bao kwenye mchezo wowote, ni kocha ambaye analinda alichonacho, huku Gamondi akiendelea kutafuta kitu kipya hata baada ya kupata, akifunga bao moja anatafuta la pili, Robertinho akifunga moja analilinda hilohilo.
Nasubiri maoni yako ,mtaalamu na mshauri wa mpiraThadeo Yupo APR Rwanda mkuu.
Alipigwa misumari mikali na Nungu ngungu mkude simba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huu ndio uchambuzi uchwara wenyewe sasaMpira haupo hivyo mkuu.
Gamondi ndie anaiogopa zaidi simba ameenda zaidi ya mala tatu uwanjani kuisoma.
Gamondi ana Deni la kupoteza mchezo Muhimu wa ngao ya jamii uliopita na kumpa simba ubingwa pia amepoteza mchezo wa Ligi na Ihefu.
Robertinho ana Muda mrefu na simba.
Hajawahi kufungwa na Yanga tangu uganda.
Timu yake ina Avantage imecheza michezo mikubwa hapa karibuni ni zoezi zuri kuelekea Dabi
Kutoa sale na Alhly michezo miwili hiyo timu si ya kubeza.
Kiutaalam simba ni Favourate zaidi.
Sawa, next usiupe ujinga nafasi.If you possess the ball on your half field of the pitch you're crazy possession starts from your opponent half –jahan cruyff–
Kule tanga robertinyo aliwaacha mmiliki mpira na hakuna mlichofanya.
Braza bengooo zimefongokaaYanga hana timu hata ya kutoa sare na simba hii ya Robertinho
Simba hii kufungwa sio sasa na nyinyi mnajua kilichobaki ni kujifariji tu ila ukweli mnaujua
Nimeongelea mechi gani kwani hapo mkuu mbona unakuwa kama kibubusa kwa shinda goal tano ndio tayari mshachukua Caf champions league tayari.Sawa, next usiupe ujinga nafasi.
Wew ni CCM, mbn km hauna ubongo[emoji28][emoji28]
Basi pole braza.Nimeongelea mechi gani kwani hapo mkuu mbona unakuwa kama kibubusa kwa shinda goal tano ndio tayari mshachukua Caf champions league tayari.
Kweli aiseeYanga hana timu hata ya kutoa sare na simba hii ya Robertinho
Simba hii kufungwa sio sasa na nyinyi mnajua kilichobaki ni kujifariji tu ila ukweli mnaujua
Kweli Simba ni favorite kuzidi YangaMpira haupo hivyo mkuu.
Gamondi ndie anaiogopa zaidi simba ameenda zaidi ya mala tatu uwanjani kuisoma.
Gamondi ana Deni la kupoteza mchezo Muhimu wa ngao ya jamii uliopita na kumpa simba ubingwa pia amepoteza mchezo wa Ligi na Ihefu.
Robertinho ana Muda mrefu na simba.
Hajawahi kufungwa na Yanga tangu uganda.
Timu yake ina Avantage imecheza michezo mikubwa hapa karibuni ni zoezi zuri kuelekea Dabi
Kutoa sale na Alhly michezo miwili hiyo timu si ya kubeza.
Kiutaalam simba ni Favourate zaidi.
Na jana ikawaje?If you possess the ball on your half field of the pitch you're crazy possession starts from your opponent half –jahan cruyff–
Kule tanga robertinyo aliwaacha mmiliki mpira na hakuna mlichofanya.
Kweli wewe Gwede Gwede,hii Simba mbovu ndio ipate hata sare kwa Yanga?Yanga hana timu hata ya kutoa sare na simba hii ya Robertinho
Simba hii kufungwa sio sasa na nyinyi mnajua kilichobaki ni kujifariji tu ila ukweli mnaujua
Simba 1 vs Yanga 5Wananchi subirini kipigo!! Ukweli ni kwamba ukipokea kipigo hutakumbuka kuwa ulicheza mpira wa kuvutia!! kitakachotokea ni kununa!! Kumbukeni mgeni rasmi ni Kibu!!
Umetafsiri kiufundi well doneKuelekea Mchezo wa Derby ya Kariakoo inayotegemewa kuchezwa jumapili Movembe 5, 2023
Hebu tuangalie Staili ya kucheza ya makocha hawa Miguel Gamondi wa Young Africans na Roberhno wa Simba
Tukianza na Kocha Gamondi Staili yake ya kucheza inamvutia shabiki yeyote ambaye anataka kutazama soka safi, amekuwa akiitengeneza timu yake kucheza mchezo wa kuvutia kwenye kila mechi, pasi nyingi, kosa kosa nyingi na zaidi mpira wa burudani, Hii ni staili bora ambayo mashabiki wanaipenda na amekuwa na uwezo wa kubadilika kwenye kila mchezo kwenye eneo la ushambuliaji, kiungo na hata mabeki kutokana na kikosi chake kuwa na watu wengi.
Siyo jambo la ajabu kucheza bila mshambuliaji kwenye mechi zake, siyo ajabu kumuona Mzize akianza na siyo ajabu kumuona akiwatumia mabeki watatu badala ya wanne kama ilivyokuwa kwenye mchezo dhidi ya Azam.
Kwa upande wa Kocha wa Simba Robertinho, amekuwa tofauti na Gamondi msimu huu timu yake haijacheza mechi hata moja ikivutia, lakini ni timu ambayo ni ngumu kupoteza mchezo kwenye dakika tisini pamoja na kwamba imekuwa ikiruhusu mabao mengi kwenye timu yake.
Robertinho amekuwa akibadili kikosi chake kila kila kinachopata bao au kinaporuhusu bao kwenye mchezo wowote, ni kocha ambaye analinda alichonacho, huku Gamondi akiendelea kutafuta kitu kipya hata baada ya kupata, akifunga bao moja anatafuta la pili, Robertinho akifunga moja analilinda hilohilo.