BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Msalimie mwanao, the Cinderella team of EURO
2016 leo ndio inafungishwa virago vyao rasmi. Halafu nusu final mkong'oto wa France na Germany na atakayeshinda mechi hii bila shaka ndiye ataukwaa ubingwa kwa miaka mingine minne.
2016 leo ndio inafungishwa virago vyao rasmi. Halafu nusu final mkong'oto wa France na Germany na atakayeshinda mechi hii bila shaka ndiye ataukwaa ubingwa kwa miaka mingine minne.
hahhaha Zaza leo kasababisha mpaka mwanangu kaota penalties za jana,kaota zaza alivyorukaruka kabla hajapiga penalti na kukosa juu.Mpaka mwanangu wa seven yrs anamzidi ZAZA ujanja wa kupiga penalt,mwanangu anasema ukiwa unapiga penalt usimpe muda goalkipa wa kukusoma,yaani ukisita tu basi,imekula kwako