Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Sijaielewa ile foul wala kadi ya njano. Inaelekea ni maagizo kutoka kwa malkia England wapewe goli moja.
 
Harry Kane nae anaangushwa na adhabu inapigwa na yeye mwenyewe na anapaisha ni goal kick.

Dakika zimebakia 6 tu mpira uishe

England 1 Russia 0
 
Huyu Sterling anakimbia kabinua makalio tu sijui ndio nini! Huyu benchi linamuhusu sana huyu
 
Sijaielewa ile foul wala kadi ya njano. Inaelekea ni maagizo kutoka kwa malkia England wapewe goli moja.

Eric Dier, harry Kane na Deli Ali huwa watumia mbinu hiyo ya kutafuta goli la mpira wa adhabu wakiwa Tottenham.

Hivyo kwa wanaofuatilia hii kitu si ngeni sana ila Russia wamejisahau kwa hilo.
 
Kona kwa Russia inapigwa na inapotea na Grushakovoooooooooo 1-1

Nahodha wa Russia anasawazisha ngoma ni 1-1

England are shuttered!
 
Lalalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa oyoooooooooo 1_1
 
Hahahahaha safari ya kuyaaga mashindano imeanza rasmi kwa 3 Lions koko..
 
878302467e03a5f0ac01c59c3f770e91.jpg


617cbae15d0618aaf1325d72e569efed.jpg


fce1fe848f35b9e2e535f6fd5bda10b4.jpg


174dacef2f6430b12f978d21b8e48424.jpg


b8e9dcd9b6dd443effe733ab74ee185b.jpg


09106cecd348673fd0c25d6b216bb0f8.jpg
 
draw mach dakika za majeruhi we acha tu mi nachukia putin
 
Back
Top Bottom