Kuelekea Klabu Bingwa Afrika | Simba SC na Al Ahly SC, Mechi ya Kibabe kwa Wababe wa Soka

Status
Not open for further replies.
Hao tunawamudu
 
Wengine wanahudhuria mazoezi kuhakikisha wachezaj wanajiandaa vizuri kwa mchezo wengine wanaita waandishi wa habari kuwaambia wanasusia ligi. 😂😂
 
Wengine wanahudhuria mazoezi kuhakikisha wachezaj wanajiandaa vizuri kwa mchezo wengine wanaita waandishi wa habari kuwaambia wanasusia ligi. [emoji23][emoji23]
Ndo tofauti ya Timu Bora na Kubwa Barani Afrika (Mnyama) na Timu Kongwe! Uto[emoji12]
 
Nimerejea jukwaani tena baada ya kimya ya majuma kadhaa kupita, nimekuwa nikitoa maoni/Utabiri wangu kuhusiana ushiriki wa Simba kwenye klabu bingwa msimu huu kwanzia game ya kwanza dhidi ya plateau United ya Nigeria.

Haya leo tena ni siku nyingine nzuri kwa wapenzi na mashabiki wa pande zote mbili yaani Simba na Yanga pia maana inapigwa bonge moja la mechi kwenye dimba la Mkapa. Hivyo wapenzi wa mpira wa miguu tutaona burudani ya aina yake siku ya leo.

Sasa kama wewe ni mpenzi ama mshabiki wa Yanga au pengine sio mpenzi wa Yanga lakini moyoni mwako umetokea tu kuichukia timu ya Simba, basi leo nakushauri fanya hivi ili mechi ikiisha uwe na furaha na chuki zako.

Chukua kiasi cha pesa ulichokuwa tayari kukipoteza kama sehemu ya kupata furaha yako, kama ni sh 10,k 20k, 50k, au 100k n.k kisha hiyo pesa mpe Simba double chance (mpe simba au sare) kwenye mechi ya leo Simba amepewa point nyingi kwenye double chance (1.65) hivyo ukitia mzigo wako unaambulia ela ya maana tu

Nini faida yake?
Faida yake ni kwamba moyo wako unakuwa upo neutral yaani unakuwa hauna presha kubwa katika kutamani jambo fulani litokee kwasababu matokeo ya namna yoyote yatakayotokea kwako ni furaha. Ikitokea Simba amefungwa utakuwa na furaha kwasababu ya kuwachukia Simba. Na pia ikitokea Simba ameshinda au katoa sare basi utakuwa na furaha kwavile wamekuingizia hela.

Kwa shabiki yeyote yule asiyeipenda Simba basi leo afanye hivyo ili kuepuka kuangalia mpira huku umenuna au sura umeikunja kama umelamba ndimu. Ukifanya hivyo unaangalia mpira huku ume relax kabisa moyo tuliiii.
 
Utopolo kila wanapogusa pa Moto, Simba SC [emoji881] anakiwasha Tena hatoki mtu.

#TOTAL WAR; POINT OF NO RETURN#

ALL THE BEST LIONS
 
Faida zingine za kuipenda Simba ni pamoja na:
1)Unaongeza uwezo wa mapafu kuwa na oksijen ya kutosha,tatizo la upumuaji litakua historia kwako.

2)Kuongeza vitamin mwilini.

3)Thinking capacity inaongezeka siku baada ya siku.

4)Kiwango cha kipato chako kuimarika,mashabiki wa Simba atunaga njaa,atuna strees za maisha,kipindi cha mvua atusombwi na mafuriko.
 
Utajiri wa mwamedi mnaona ni wa baba zenu
 
anayejua kikosi cha leo tafadhali..! chama la wana SIMBA.
NAPENDEKEZA MWALIMU ATUMIE MFUMO WA 4 2 3 1

4 defenders
KAPOMBE
M.HUSSEIN
WAWA
ONYANGO

2 Defending midfilders
MZAMIRU
TADEO LWANGA

2 Central midfilders + 1 attacking midfilder

BWALYA
MIQWISSONE
CHAMA

1 Striker
KAGERE/MGALU/BOCCO

Mwarabu atapata taabu sanaaa
 
Umepita mulemule nilifyofikiria mimi,ila kwenye stricker aanze Muga,ana uwezo wa kukaa na mipira miguuni.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…