Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

Hatuwadharau walimu ila kusema idara zote mishahara ifanane kuna uwezekano baadhi ya kazi watu hawataamua kusoma.
Mishahara inakua mikubwa kwa baadhi ya sekta ili kuwapa motisha watu wajiunge zaidi na kada hizo.
Unafikiri ni kwann watu wanaosoma ualimu ni wengi kuliko udaktari?
 
Nadhani Idara zinazofanya kazi day and night (24/7), no weekend no sikukuu, ... wanatakiwa kupewa motisha zaidi. Kwa mfano Idara ya Afya na Majeshi should be given priority.
 
Unadhani inawezekana hivi changamoto za idara ya afya unaifananisha na idara ya elimu?

Ufananisho huu unatumia hoja ipi Mkuuu
Pia wingi wa walimu unawapoza
 
Sasa mtalingana vipi kama kuna mwingine ana shahada ila umemkuta kazini miaka kama 6 hivi??
 
Nyie endeleeni kubishania sijui huyu mshahara umefanya kile, sijui yule mshahara hauna lolote..... Kalaga bahooo.
HIVI NI NANI ALIYEWALOGA KUWA WANASIASA WA SASA WATALETA UFUMBUZI?
Mniyaa bahooo..... Mimi nafanya yangu baaasiii
 
Naona kuna watu muda wa kukaa darasanai imekuwa hoja ya kulipwa mishahara wanayolipwa, haaya basi.

Ila mkumbuke kuna watu wanakaa darasanai miezi sita mpaka mwaka mmoja tu na wanawazidi mishahara
 
Ukisema hivyo,mimi niliyechukua digrii ya kufundisha elimu ya awali(Bachelor of Early Childhood Education) unamaanisha ntalipwa kidogo kwasababu nafundisha chekechea,you cant be serious.
 
acha ujinga huyo MMED wa neurology amefundishwa na nani??
 
Kama mapadri nao wangekuwa wanalipwa kama watumishi wengne ndani ya Tanzagiza, kwa kufuata kigezo cha kusoma miaka mingi wangekuwa wanaongoza kwa mishahara
maana miaka 6 darasani sio jambo la sport sport
 
Every Tanzanian deserves a fair shot at a decent wage, and the ability to pursue the jobs they want.
Teachers deserve more than our gratitude, they deserve our full support.

"High-quality early education is one of the best Investment we can make.
 




Umeharibu vibaya sana mwisho wa post yako inawezekana wewe ni zile sample walizozitumia TWAWEZA
 
Acha ushamba kwani hakuna walimu wenye div1? Usiropoke vitu usivokuwa na maarifa navyo nikweli mwalim halingan na dactar lkn div sio kigezo hii ni dalili ya ulimbukeni
mwalimu wa div 1? km yupo ni one in a million...hakuna asiyejua kwamba bongo mtu anaenda ualimu as a last resort usitake kusema otherwise! labda unazungumzia hiyo crush programe ya udom!
 
mwalimu wa div 1? km yupo ni one in a million...hakuna asiyejua kwamba bongo mtu anaenda ualimu as a last resort usitake kusema otherwise! labda unazungumzia hiyo crush programe ya udom!

Mimi ni one in a million unayosema. Na nimeenda kwa hiari yangu.
Je kuna tatizo ??
 
hakuna wafanyakazi wenye ushiirikiano kama walimu sasa. lakini idara ya afya uchoyoooooo umezidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…