Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

Tatizo wewe unaonge ulichosikia wakati mimi naongea nilichokipitia! Aliyekwambia kazi ya mwl ni kufundisha tu bado yuko milembe?

Hebu leo ikifika saa nane kamili angalia nje kama utamuona mwanafunzi anatoka shule!
khaaa..!! huyu jamaa yupo nchi gani hivi.!? wazazi wangu ni walim na tunapiga nao lunch kila siku kabla ya sa9, likizo zote nashinda nao hom sasa sikuelewi unachobisha
 
Acha dharau Kijana !! Heshimu kazi ya kila MTU...km ww ni doctor. Hao wanaokaririsha unachookiita videfinition wasingekuwa Hao ,usinge fika hapo! Heshimu Msingi wa nyumba yako!! Hashimu Msingi wa maarifa yako!!acha dharau kabisa...aiseeeee..ukute mama yako naye ni mwl.au baba yako...
Aliyeleta dharau ni aliyesema daktari alipwe sawa na mwalimu mkuu, otherwise mchango wa kila mtu ni wa muhimu duniani
 
nan amekuambia mim mwalimu mie mkulima...we veeepe acha ukilaza we unajua kila mtu ameajiriwa
Sasa kwani daktari aliyeajiliwa serikalini hawezi kulima?, hawezi kujiajili? , anyway utakuwa mkulima mwalimu basi.
 
1.labda nikuulize, ni hospital gani inakaa usiku kucha bila kupokea mgonjwa hata mmoja?
2. nimesoma shule ya bweni, matatizo ya usiku yalitokea kwa nadra sana. na mara nyingi HP ndo aliyashughulikia na kutoa taarifa kesho yake.

Kwahiyo kila mgonjwa akija usiku dokta ni wewe tu? Kwamba madokta huwa hawalali nyumbani!?

Unajua mpaka sasa baadhi ya shule walimu wamepewa jukumu la kuhakikisha shule hazichomwi moto wakati wa usiku?
 
Sasa kwani daktari aliyeajiliwa serikalini hawezi kulima?, hawezi kujiajili? , anyway utakuwa mkulima mwalimu basi.
we vepe mbona unalazimisha kuwa mimi ni mwalimu ,? njoo ilula tulime nyanya mie mtetez wa wote hasa wanaolikomboa taifa na wazalendo
 
Kuna vitu vingine vinachekesha kweli dunia mzima haupo huo utaratibu mtu na MMED yake ya neurology anachambua ubongo kama mchele amekaa darasani miaka 9 eti alipwe sawa na mwalimu wa civics form one, NONSENSE.
Ukiona sehemu wanalipa vizuri hamia huko.
Binafsi nawaheshimu sana walimu. Mbwembwe na sarakasi zote za huyo neurologist wako, engeneer, pilot na wengine wote, kama sio mwalimu wote wangekua vilaza! Kama sio Mwalimu hata hii JF isingekuwapo!
 
Hata tukizungumuza kwa lugha gani walimu lazima waongezewe tu mishahara. Kumbuka mishahara inapangwa kwa kufuata vigezo vitatu. 1 umuhimu wake kwa taifa 2.mazingira ya kazi 3. Urefu wa masomo/kozi. Sasa swali je? Walimu hawana umuhimu? wakati wanamfundisha kila mtu. Mazingira ya kazi ya mwalimu ni magumu eg hakuna posho yoyote,wanapigwa na wanafunzi nk. Kwenye urefu wa kozi hapa ndiyo kuna tofauti kidogo.
 
Binafsi nawaheshimu sana walimu. Mbwembwe na sarakasi zote za huyo neurologist wako, engeneer, pilot na wengine wote, kama sio mwalimu wote wangekua ******! Kama sio Mwalimu hata hii JF isingekuwapo!
Kwani nani amesema hamuheshimu mwalimu?, ila mwalimu anayetaka alipwe sawa na daktari ataendelea kudharaulika si tu na mimi bali na wanafunzi wake darasani
 
hii mada ya ulinganisho wa mishara kulingana na viwango vya elimu bila kujali kada ni mufilisi kabisa,

haiwezekani nimeshinda porini natengeneza contour, nimeresolve force zote zile za Dr Luambuka (R.I.P) wakina dr nyaoro wananishika mashirt kila mwaka, 4yrs naumia, bado registration board ya Prof Lema wamesisotesha kwa miaka 3, alaf nije nilipwe mshahara sawa na ngwini alikuwa anakaa kwenye kimbweta kwenye mdigrii kwa miaka 3 na BA in education (Kiswahili).
haiwezekani, nasema tena haiwezekani. kama vp na mimi nisome Kiswahili maana si tutapata mshahara sawa, alaf tuone madaraja atajenga nani,
Mbona unaongea kana kwamba umevamia fani!!!!!!!!!..........

si kila anayesoma sayansi ana upeo mkubwa kuliko wale wanaosomea masomo mengineyo na pia si kila anayechukua course zilizo tofauti na za sayansi vyuoni, alipitia masomo ya biashara na sanaa

kuna watu walipitia mzumbe kusoma baf na walitokea pcm,pcb,pgm na sio failures...

Kitu ulichokosa katika maisha yako ni passion katika uliyoyasoma ndiyo maana ulikuwa ukiyaona ni mateso lakini kwa wengineo ilikuwa ni furaha kwao kutimiza ndoto zao....

Ninamuheshimu kila mtu na kada yake na siwezi kuiona ni bora kuliko nyinginezo....
 
Watu mna majungu! Mada imelenga kupanga upya mishahara.Watu mnatoka nje ya mada kwa kulinganisha mishahara ya daktari na mwl! Hatukatai tofauti lakini isiwe kubwa as if mmoja yuko mbinguni na mwingine duniani.
 
walimu vs madaktari ....mnanichekesha sana .....vita vyenu humu jf ni vita vya panzi
 
Nani kasema haitofautiani sana, acha kujipa moyo wewe, DAKTARI MWENYE DIPLOMA TU ANAKULA PESA NDEFU KULIKO MWALIMU MWENYE DEGREE

Mi napita tu wakuu, Madaktari wenye Diploma na Waalimu naona mnang'atana meno fulani anakula ndefu mwingine sijuwi fupi, huku mitaani wake zenu wanatusumbua kwa mizinga! Duh.
 
khaaa..!! huyu jamaa yupo nchi gani hivi.!? wazazi wangu ni walim na tunapiga nao lunch kila siku kabla ya sa9, likizo zote nashinda nao hom sasa sikuelewi unachobisha

1. Acha unafki! Mwalimu anatakiwa saa moja unusu asubuhi awe kasaini na saa tisa unusu--na dk 45 aondoke!

2. Saa mbili kamili ni muda wa vipindi kuanza, sasa shughuli nyingine za asubuhi zitafanyika saa ngapi??

3. Mbona unajaribu kuleta urahisi kwenye ugumu? Hao wazazi wako wanaoingia shule saa mbili na kutoka saa nane kamili ni wa shule gani? Au unazungumzia chekechea??

4. Pia kama kilasiku unashinda nao likizo nyumbani inaonyesha wewe bado mtoto wa mama unaejaribu kubishana na walio kwenye system.
 
Watu mna majungu! Mada imelenga kupanga upya mishahara.Watu mnatoka nje ya mada kwa kulinganisha mishahara ya daktari na mwl! Hatukatai tofauti lakini isiwe kubwa as if mmoja yuko mbinguni na mwingine duniani.
Ili iweje, mutasubiri sana, eti tofauti isiwe kubwa mbona hamuzungumzii tofauti ya miaka chuoni na ada isiwe kubwa, we mtu hadi anauwa MD kachoma zaidi ya 40M uje umlipe sawa na mtu aliyesoma handhouts tu ada degree yake hata 5M haifiki kwa miaka yote hadi akawa na degree, eti tofauti iwe tu kwenye mishahara, narudia tena uwezo wa kufikiri wa walimu ni mdogo sana ndio mana wengi wao walifeli wakawa walimu
 
Kila MTU atalipwa anachostahili,,ukitaka mshahara wa daktari au injinia rudi shule kasomee uinjinia uone ugumu wake then ndo uje ulipwe,tukifanya kama unavyotaka nchi hii haitakuwa na wataalamu,wote watajazana ualimu sababu yann kujitesa kusoma misomo migumu ilhali nakuja kulipwa sawa na mwalimu

Kinachotakiwa ni kufanya kazi ambayo mtu anaipenda kutoka moyoni sio suala la kufanya kazi fulani kwa lengo moja tu la kupata mshahara mkubwa hata kama hauna interest na hio kazi. Huo ni utumwa wa fikra
 
Hahahahha vuta nkuvute ya walimu vs kadaktari imeniacha hoi kwenye hii thread [emoji23][emoji23][emoji23]

BTW mi naona wanapopanga mishahara wazingatie yafuatayo:

1. Kiwango cha elimu. Kuwe na utofauti wa mwenye elimu ya ngazi ya cheti, stashahada, shahada, ....

2. Muda ambao umetumika kutumia kusomea utaalamu huo. Mf kuwe na utofauti wa degree za 3, 4, 5,.... years.

3. Waliofuzu na kusajiriwa/kupata weledi wa fani husika. Mf usajiri wa Waandisi, Wahasibu, Madaktari, Wanasheria na wengineo.

4. Risks za kazi husika. Wanaofanya kazi zenye risks wapewe kipaumbele ili kutiwa moyo. Laa sivyo tutarajie wengi kuacha kazi. Mfano: madaktari, askari, mahakimu, ....,

5. Uzoefu kazini. Wenye muda mrefu wapewe nyongeza fulani.

6. Wanaofanyia kazi kwenye maeneo magumu...hard to reach areas wapewe allowances.

N:B kama hayawezi yote hayo kuzingatiwa kwenye salary scale basi waweke allowances zinazojulikana na zitekelezwe. Isiwe kuwa allowances hewa.
 
Hahahahha hii thread [emoji23][emoji23][emoji23]

BTW mi naona wanapopanga mishahara wazingatie yafuatayo:

1. Kiwango cha elimu. Kuwe na utofauti wa mwenye elimu ya ngazi ya cheti, shahada, ....

2. Muda ambao umetumika kutumia kusomea utaalamu huo. Mf kuwe na utofauti wa degree za 3, 4, 5,.... years.

3. Waliofuzu na kusajiriwa/kupata weledi wa fani husika. Mf usajiri wa Waandisi, Wahasibu, Madaktari, Wanasheria na wengineo.

4. Risks za kazi husika. Wanaofanya kazi zenye risks wapewe kipaumbele ili kutiwa moyo. Laa sivyo tutarajie wengi kuacha kazi. Mfano: madaktari, askari, mahakimu, ....,

5. Uzoefu kazini. Wenye muda mrefu wapewe nyongeza fulani.

6. Wanaofanyia kazi kwenye maeneo magumu...hard to reach areas wapewe allowances.

N:B kama hayawezi yote hayo kuzingatiwa kwenye salary scale basi waweke allowances zinazojulikana na zitekelezwe. Isiwe kuwa allowances hewa.
Nikisoma michango kama hii huwa nafarijika kuwa Jamii forum, lakini sometime anatokea tu mpuuzi mmoja anataka afananishe polisi na TPDF bila kujua lengo na changamoto za sehemu hizo 2.
 
jamani vitu vingine tuwe tuna uliza wenyeji mwalimu wa ngazi ipi Tanzania analipwa mshahara wa laki mbili mbona mnapenda kuona kama walimu ndio watumishi hohe hahe kwa kila kitu

Hivi mnajua Kuna walimu wanachukua mshahara milioni moja yani hiyo milioni ni yake hapo makato yote yamefanyika

Hivi mnajua katika watumishi wa umma ukiweza tatu bora mwalimu hawezi kukosa kuwa na mshahara mzuri ukitofautisha na idara nyingine

Tatizo walimu wamejaa uchoyo na unafiki ndio maaana wanaoneka hawana kipato wanaogopa kusema wapo vizuri kiuchumi kwakujua wataobwa au kukopwa
Mwishoni ndio umeharibu ndugu, lakini kuna mwalimu anapokea million 5 tuko nae jirani yaani toka mwaka 86 alikuwa na degree akianzia tarehe 1mpaka 30 anashinda baa tu
 
Back
Top Bottom