Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Wapuuzi wengi mambo yao hayaendi bila ya DeadlineUmeishia darasa la ngapi?
Siokama sijui chochote ulianza fuatilia kitambulisho mwakagalini?Inawezekana hujui chochote, Mimi ndugu hata hiyo namba hajawahi pata hadi Leo hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili zoezi ni zaidi ya kumaliza utapeli wa mitandaoni!MLIPOAMBIWA MABADILIKO YA KWELI ANAYO JPM,PIA MLIBISHA.
MLIPOAMBIWA JPM HANA URAFIKI,MLIBISHA.
MLIPOAMBIWA JPM ATA- DEAL NA MAFISADI HADI KIELEWEKE MLIBISHA.
MLIPOAMBIWA JPM ATAIRUDISHA TANZANIA KWENYE RIGHT TRACK PIA MLIBISHA,
HAYA WEWE ENDELEA KUPIGA RAMLI
LAKINI NDIO MWISHO WA MATAPELI WA MITANDAO YA SIMU UMEWADIA USIKU WA LEO!
[emoji1241][emoji818]2020 - 2025,JPM[emoji818]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasalaam.
Ili kuondoa msongamano katika baadhi ya vituo vya nida. Ikaanzishwa huduma ya kucheki au kufuatilia namba za nida kwa njia ya mtandao.
Sasa kwa ambao bado hazijatoka Watapat vipi feedback kama tutafungiwa Line zetu.
Au ndio wananchi watatoka tena maili 100 kuja mjini kucheki namba kama imetoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasalaam.
Ili kuondoa msongamano katika baadhi ya vituo vya nida. Ikaanzishwa huduma ya kucheki au kufuatilia namba za nida kwa njia ya mtandao.
Sasa kwa ambao bado hazijatoka Watapat vipi feedback kama tutafungiwa Line zetu.
Au ndio wananchi watatoka tena maili 100 kuja mjini kucheki namba kama imetoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala huu wa Magufuli ni rahisi sana kutabiri kitu na kikatokea.
Nilitabiri Babu Seya atatoka ile December 9 2017 ikawa, nilitabiri 2019/2020 watumishi wa umma hawataongezewa hata senti ikawa. Leo narudia tena kutabiri utabiri huu mgumu kuwa line za simu zisizosajiliwa kwa namba ya NIDA kesho tarehe 20 kuelekea tar 21 hazitafungwa.
Kama unabisha tuwekeane dau
Wakiamua kufunga wafunge tu , kama kuongeza muda haiwezekani. Nadhani JF ishajiandaa kisaikolojia.line zitakuwa zikizimwa kwa masaa 12 kila siku,kwa muda wa mwezi1
na pia zitakuwa hewani kwa muda wa SAA 12 kila siku kwa muda huo huo wa mwezi
*ili wananchi wote wasajili na kupunguza hasara ya miamala na vocha kwa wauzaji na watumiaji
N:B...ni kama ombi langu litapokelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa na Songesha au mpowerNimeshasajiliwa na mchumba nitaendelea kudunda hewani kama kawa ingawa kwa namba mpya,,
sasa nione kiburushuti kinamgusa eti anashtakiwa kwa kunisajilia line,,
kama sijatoa mbupu la mtu,,
Kuna watu wanatafutwa wafungiwe line zao. Hivi bado Kigogo2014 hajapatikana tu?
Kwa kiswahili ndio kasemaje?!
Namba zenyewe ndio hizo zinaanza za mwaka wa muhusika wa kuzaliwa?
MTC | 101| [emoji769]
Kuna watanzania wengine hata kutofautisha kati ya sms ya nida na miamala ya pesa hawafahamu
Unakuta mtu alijiandikisha kitambo tu na nida wamemtumia namba yake ya utambulisho lakini hafahamu kama ni sms ya nida au tigopesa [emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani hawa wakijaribu kufunga line watafungia mpaka wasio na sababu ya kufungiwa ni muhimu hekima itumike sio pupa na maguvu
Sent using Jamii Forums mobile app