Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Maisha ni kidore, nida wanataka kidole. Kwahilo la simu ya mezani naona ni sawa kufanya usajili. Hata hivyo hii adhabu ilitakiwa kutangazwa kabla ya zoezi zima kuanza ili raia waelewe vinginevyo kuna watu wameiona fursa hapo na sasa ni mwendo wa kuvizia na kushtukiza.
 
Coordination ya hii mifumo imefanywa kiholela sana hivi kuingiza data na kutoa designation number inachukua muda gani?
Swala kubwa hapa ni watu kutengeneza matatizo kwenye mfumo ili uendelee kuwanufaisha....
Naona huduma za simu za TTCL zikirudi pamoja na wale wenzangu wa kupigisha mitaani.(Fursa hii wadau)
 
MLIPOAMBIWA MABADILIKO YA KWELI ANAYO JPM,PIA MLIBISHA.

MLIPOAMBIWA JPM HANA URAFIKI,MLIBISHA.

MLIPOAMBIWA JPM ATA- DEAL NA MAFISADI HADI KIELEWEKE MLIBISHA.

MLIPOAMBIWA JPM ATAIRUDISHA TANZANIA KWENYE RIGHT TRACK PIA MLIBISHA,

HAYA WEWE ENDELEA KUPIGA RAMLI

LAKINI NDIO MWISHO WA MATAPELI WA MITANDAO YA SIMU UMEWADIA USIKU WA LEO!

[emoji1241][emoji818]2020 - 2025,JPM[emoji818]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili zoezi ni zaidi ya kumaliza utapeli wa mitandaoni!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
66041984-2A5C-4E38-90CB-8CE34C82B3A7.png
hii hela siilipi 😂😂😂😂 wacha wafungie
 
Since 2014 na barua ya kuniita kuchukuwa kitambulisho ninayo lakini hakionekani popote pale.
NIDA ni tatizo kubwa saana na ni wenye kauli mbaya kwa wateja wao kiufupi wanadhani bila ya wao kuwepo dunia ita acha kuzunguka.
Ona sasa watu wanachukuwa wrong way ya kusajili simu zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna laini itakayofungiwa
Wasalaam.
Ili kuondoa msongamano katika baadhi ya vituo vya nida. Ikaanzishwa huduma ya kucheki au kufuatilia namba za nida kwa njia ya mtandao.
Sasa kwa ambao bado hazijatoka Watapat vipi feedback kama tutafungiwa Line zetu.
Au ndio wananchi watatoka tena maili 100 kuja mjini kucheki namba kama imetoka

Sent using Jamii Forums mobile app


Jr[emoji769]
 
Huduma hiyo itakuwepo kwa mujibu wa nida. Utakuwa na uwezo wa kupokea sms ila hutaweza kutuma sms kwa maoni yangu.
Wasalaam.
Ili kuondoa msongamano katika baadhi ya vituo vya nida. Ikaanzishwa huduma ya kucheki au kufuatilia namba za nida kwa njia ya mtandao.
Sasa kwa ambao bado hazijatoka Watapat vipi feedback kama tutafungiwa Line zetu.
Au ndio wananchi watatoka tena maili 100 kuja mjini kucheki namba kama imetoka

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natabiri leo boss wa nida analiwa kichwa.. kama sio huyo basi lugola atakosa kazi.
Utawala huu wa Magufuli ni rahisi sana kutabiri kitu na kikatokea.
Nilitabiri Babu Seya atatoka ile December 9 2017 ikawa, nilitabiri 2019/2020 watumishi wa umma hawataongezewa hata senti ikawa. Leo narudia tena kutabiri utabiri huu mgumu kuwa line za simu zisizosajiliwa kwa namba ya NIDA kesho tarehe 20 kuelekea tar 21 hazitafungwa.
Kama unabisha tuwekeane dau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
line zitakuwa zikizimwa kwa masaa 12 kila siku,kwa muda wa mwezi1

na pia zitakuwa hewani kwa muda wa SAA 12 kila siku kwa muda huo huo wa mwezi

*ili wananchi wote wasajili na kupunguza hasara ya miamala na vocha kwa wauzaji na watumiaji





N:B...ni kama ombi langu litapokelewa



Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiamua kufunga wafunge tu , kama kuongeza muda haiwezekani. Nadhani JF ishajiandaa kisaikolojia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshasajiliwa na mchumba nitaendelea kudunda hewani kama kawa ingawa kwa namba mpya,,

sasa nione kiburushuti kinamgusa eti anashtakiwa kwa kunisajilia line,,

kama sijatoa mbupu la mtu,,
Wewe utakuwa na Songesha au mpower
 
Namba zenyewe ndio hizo zinaanza za mwaka wa muhusika wa kuzaliwa?

MTC | 101| [emoji769]
 
Watu kama hao hata wakifungiwa laini hakuna hasara.

Kuna watanzania wengine hata kutofautisha kati ya sms ya nida na miamala ya pesa hawafahamu

Unakuta mtu alijiandikisha kitambo tu na nida wamemtumia namba yake ya utambulisho lakini hafahamu kama ni sms ya nida au tigopesa [emoji16][emoji16][emoji16]

Yaani hawa wakijaribu kufunga line watafungia mpaka wasio na sababu ya kufungiwa ni muhimu hekima itumike sio pupa na maguvu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom