Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Maisha ni kidore, nida wanataka kidole. Kwahilo la simu ya mezani naona ni sawa kufanya usajili. Hata hivyo hii adhabu ilitakiwa kutangazwa kabla ya zoezi zima kuanza ili raia waelewe vinginevyo kuna watu wameiona fursa hapo na sasa ni mwendo wa kuvizia na kushtukiza.