Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Kabla hatujafika tarehe 01/03/2023 tunaomba tukumbushane juu ya hii siku muhimu ya kuadhimisha miaka miwili ya Rais DK. Samia.
01/03/2023 tunaadhimisha miaka miwili ya Mh Rais na kwa kutaja mafanikio ya ndani ya miaka miwili na matarajio ya baadaye. Tutazindua madaraja mawili MTO MORI NA MTO WAMAYA, na Barabara ya Nyamaguku Kirogo ( KIWANGO CHA CHANGARAWE) KAMA MOJA YA MAFANIKIO NDANI YA MIAKA MIWILI YA SAMIA.
01/03/2023 tunaadhimisha miaka miwili ya Mh Rais na kwa kutaja mafanikio ya ndani ya miaka miwili na matarajio ya baadaye. Tutazindua madaraja mawili MTO MORI NA MTO WAMAYA, na Barabara ya Nyamaguku Kirogo ( KIWANGO CHA CHANGARAWE) KAMA MOJA YA MAFANIKIO NDANI YA MIAKA MIWILI YA SAMIA.